Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Habarini watu wa Mungu

Utangulizi:
Kuna kaka yangu alioa (miaka kama mitano iliyopita) mwanamke aliyezaa na mwanaume tofauti na yeye hawajafunga ndoa na pia hawaishi pamoja kutokana na mambo ya kazi kwa pande zote mbili walishatambulishana kwa wazazi pande zote mbili na mahusiano yao ni ya uwazi na jamii inajua.

Pia mwanamke anaishi na mtoto aliyezaa na mwanaume kabla hajaanza kuishi na kaka na huyo mtoto anasoma darasa la 2 sasa(7yrs) kawaida kaka huenda kwa huyo mke kila ijumaa na kurudi jumapili jioni au jumatatu asubuhi sana na kupitiliza kazini kwake.

Tatizo lilipo
Ni kwamba mpaka leo mwanamke (shemeji) anawasiliana na mzazi wa mtoto wake (akiulizwa husema anawasiliana nae kwa sababu ya mtoto na kutuma matumizi na sio kimapenzi), na mara nyingine huja kumwona mwanae anapopata nafasi na kila anapokuja hamshirikishi kaka na akimuuliza hujibu tu alikuja bila taarifa kumwona mwanae na kwasababu anaishi mikoa ya mbali lazima alale hata siku 2 au 3 na akimuuliza analalaje hapo na ataaminije kuwa hawafanyi mapenzi? shemeji husema analala chumba cha housegirl na yeye analala na h/g.

Nimeandika hivi kwa sababu bro hii wiki hajaenda kwa mke kwa sababu kasikia yupo mzazi mwenzie na mke wake, na anakosaga sana amani, wikiendi yote kaishia kulewa tu mpaka sasa mwanaume bado yupo na kaka akitaka kuongea na mwanamke hana shida anaongea nae kwa uhuru lakini mi naona ni maigizo.

Kaniomba jana ushauri na anampenda kweli, nimeshindwa kutoa jibu ila nimemwambia amwambie mwanamke ampeleke mtoto kwa baba yake ili hiyo shida iishe kasema alishamwambia lakini shemeji anadai mtoto wake hawezi kuishi kwa mama wa kambo na kaka mpaka sasa hajazaa nae.

Naombeni pia mawazo yenu, hali ya kaka sio nzuri kwa sasa

(Hanaga mpango na mitandao ya kijamii zaidi ya whatsapp so naamini hawezi kuona huu uzi).
Wanakumbushia namna walivyopata kid
 
Wakuu hakna kitu kibaya kama kuoa mtu aliyezalishwa na jamaa mwingine..kibaya zaidi jamaa mwenyewe bado tupo hai ...hakika mwisho wake ni visasi na mauti ....Ma single mother siyo wa kuoa ni kupiga na kusepa .
Daaa mkuuu nashindwa comment chochte maana mm Dada angu tumbo moja ni single mother,na sisters zangu kwa mzee mdogo ni single mothers pia,
 
Kaka yako ndio anamlisha mwanamke wake na mwanae na baba wa huyo mtoto.

Ni kama wamepanga pesa inaingia wao wanaendelea kuwa pamoja

Mwanamke hampendi kaka yako
mwambie asonge mbele.. anachumwa tu

Akiacha kumpa peea atajua rangi yake ya ukweli..
Mwanamke kamshika haswa kaka yako hafi haendi kwake kisa yule yupo.. duh.. hapendwi

Asake mwanamke mwingine alipo aanze maisha mapya
 
Wanaume kama huyo kaka yako wanatia aibu wanaume wa dunia nzima. Nina wasiwasi na huo uanumume wake !!
 
Bro kwanza huyu ni wew au kaka ako mbona umeandika kama story ni yakooo
 
Kwanza nianze kwa kusema siko biased kwa binadamu yeyote na wote wapasa kupewa fursa sawa ila kwa suala hili aise never date or marry single mothers. NO EXCEPTIONS. Sijawahi kudate na wala sitakuja.

1. Kwanza tu tayari ni used out, you deserve better.
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
4. Kubali usikubali hawezi kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanani vipi kuhusu wewe.
 
Kwanza nianze kwa kusema siko biased kwa binadam yeyote na wote wapasa kupewa fursa sawa ila kwa suala hili aise never date or marry single mothers. NO EXCEPTIONS. Sijawah kudate na wala sitakuja.

1. Kwanza tu tayar ni used out, you deserve better.
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
4. Kubali uskubali hawez kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanan vipi kuhus wewe.
Ndio maana ukienda kuomba kazi wanataka mwenye UZOEFU, sasa hawa ma singo maza Uzuri wao wanaUZOEFU sana nakuambia hutajuta, kwanza anaogopa kuonekana kua ndio maana aliachwa yeye n mbaya, pili hua anajitahidi sana kuvumlia maana anajua mengi kwenye tasnia hiyo
 
Usidanganye watu,matatizo waliyopitia ni darasa tosha kwao.Hao unused(sealed) sijui kama wapo kwanza anaweza kuwa hajazaa lakini katoa kama 10 bora yupi???
BTW wewe hugegedi?? je huna mbegu kuwapa ujauzito?? kama jibu ni ndiyo basi SINGLE MOTHER anakuhusu 100%
 
Mnapowaita hawa watu single mother, kuna watu wenye mother zaidi ya mmoja? Yaani kuna double mother, triple mother etc?

Sasa katika hizo tabia ulizozitaja, ni ipi ambao hawana watoto hawana mkuu? Haya mambo ni tabia ya mtu, kuwa na mtoto sio kigezo.

Tena kwangu iko tofauti sana, mtu mwenye mtoto nampa heshima kubwa hasa waliopata ujauzito bila kuwa kwenye ndoa wakiwa na migogoro au kukataliwa, kumbuka wangekuwa na uamuzi wa kutoa mimba, lakini wameona bora wachukue jukumu la kuwa na mtoto japo sio kitu rahisi kama tunavyofikiria, wengi hutoa mimba sema hakuna kipimo cha kuonyesha ni mimba ngapi.

Wewe kama ni mtakatifu na mkamilifu sana, tafuta wakufanana na wewe.
 
Umeandika kwa chuki sana,siku yakimkuta dada yako na wewe ndio uwe msaada kwake,nadhani utaelewa maana ya ujinga uliouandika hapa,kwahiyo akiwa hana mtoto/watoto ndio hawezi kutafunwa ukimuoa?kutafunwa ni tabia ya mtu,au uzembe wa mumewe kutokumridhisha mkewe,either kwa wingi wa majukumu yake katika utafutaji,au na msongo wa mawazo kutokana na ugumu wa maisha,au ugonjwa n.k,na je? unayajua mazingira au sababu ya huyo mwanamke kuwa single mama?
mkuu umekurupuka,nina mashaka na umri wako,lkn pia nina mashaka na akili yako...don`t be rude!
 
Mnapowaita hawa watu single mother, kuna watu wenye mother zaidi ya mmoja? Yaani kuna double mother, triple mother etc?

Sasa katika hizo tabia ulizozitaja, ni ipi ambao hawana watoto hawana mkuu? Haya mambo ni tabia ya mtu, kuwa na mtoto sio kigezo.

Tena kwangu iko tofauti sana, mtu mwenye mtoto nampa heshima kubwa hasa waliopata ujauzito bila kuwa kwenye ndoa wakiwa na migogoro au kukataliwa, kumbuka wangekuwa na uamuzi wa kutoa mimba, lakini wameona bora wachukue jukumu la kuwa na mtoto japo sio kitu rahisi kama tunavyofikiria, wengi hutoa mimba sema hakuna kipimo cha kuonyesha ni mimba ngapi.

Wewe kama ni mtakatifu na mkamilifu sana, tafuta wakufanana na wewe.
Mkuu umemaliza
Kunywa soda kwa Mange
Inaonyesha mtoa mada kakataliwa na single mother
Aangalie asije pata presha akaanguka na kabla hajafikishwa hospitalini anakufa
 
Back
Top Bottom