Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hahahahah..! Mdanganye mwenzio mechi inaaanza mwenzio tayari anagori la mezani( moja bila nani akubali dhuluma hii)

Napenda sana watoto mkuu kwaiyo hapa nafuraha tayari ninaye mmoja ntamlea kama mwanangu sitegemei chochote kutoka kwake haaahaaaaa
 
Babu eee
Babu: ndio mjukuu wangu, habari za mjini?
Mimi: nzuri babu tumekuja watembelea msimu wa sikukuu babu

Babu: vizuri mjukuu wangu vipi lakini ushapata mchumba

Mimi: ndio babu lakini?
Babu: Lakini ya nini tena mjukuu wangu

Mimi: mchumba wangu ana mtoto mmoja babu nataka kumuacha babu

Babu: ooh ana mtoto je? Baba wa mtoto yupo?
Mimi: ndio babu tupo pale pale mjini

Babu: sawa sawa je uyo mtoto wa kike au kiume?

Mimi: mtoto wa kiume babu

Babu: sawa je mnapendana?

Mimi: ndio babu tunapendana sana

Babu: sawa mjukuu wangu sasa nikuambie kitu kama mwenzako ana mtoto wa kiume wewe huna mtoto yoyote nakushauri anza kutafuta mchumba mwingine, endapo mchumba wako angekuwa na mtoto wa kike mmoja na kama ulivyosema mnapendana basi ningesema kamuoe hamna shida ila kama ana mtoto wa kiume usioe

Mimi: kwanini babu?

Babu: ukioa mwanamke ambaye tayali ana mtoto wa kike hakuna tatizo maana watoto wa kike hawanaga shida hata ukimlea yeye na baba yake akiwepo atakuheshimu kama baba na akikuwa atakutunza na hawezi kugombana na mwenzake ambao utazaa na mama yao kumbuka mtoto wa kike ni mtawaliwa si mtawala hivyo basi ndoa yako haitakuwa na changamoto yoyote ile ya kimalezi sababu dada yao atawapenda wadogo zake na kuhisi wao ni wamoja japo baba tofauti lakini mtoto wa kiume ukimlea akianza kukua na akatambua wewe si baba yake ataanza msuguano na wenzake kwani atajiona yeye ndie mkubwa hivyo Mali nk cha pale kwako atajiona ni chake na ana mamlaka nacho jambo ambalo watoto wako hawawezi kukubali hata ukiwaeleza kuwa wawe na busara walimwengu watawafitinisha tu hivyo basi msuguano huu mama huingilia na kuwa upande wa mtoto wake ambaye yupo peke yake hapo ndio balaa utokea, haya mambo tumekuwa tunayaona wewe Fanya uchunguzi familia unazozijua hapo ulipo utaona watoto wa nje was kiume huwa wasumbufu tofauti na wa kike

Jamani huu ndio ujumbe kanipa babu mda huo uku jijini kwetu watalamu wa mambo je kuna ukweli wowote?
 
Ila single mother aisee wana changamoto sana. Mimi nilipotezewa kwa muda mrefu alikuwa hana hata habari na mimi. Nikaona its OK kwa sababu maisha ni yake na maamuzi ni yake. Baada ya miaka kupita nikakutana naye tena. Nipo cool tu na kila mtu na wala sina chuki, akaniletea tena mazoea na hatimaye akanitongoza na kuniambia ananipenda kwa dhati.

Kidume nikaona huyu binti aje mbona imekuwa kwa ghafla hivyo. Baadae kuja kugundua kumbe tayari ameshazalishwa na mshikaji ambaye alimfanya hawezi kunifikiria mimi. Nikajifikiria nikasema huyu binti ananifanya Mimi ni mjinga(?)

Akatoa samahani nyingi na machozi ya hapa na pale na ahadi lukuki kwamba atakuwa muaminifu kwangu. Nikaona siyo mbaya nitabeba majukumu. Kwa ghafla jamaa aliyemzalisha akasema anataka arudi wayamalize kwa wazazi, naye anataka kumlea na kumuona mtoto wake. Drama zikaendelea mwisho wa siku nami nikawa miongoni mwa hiyo drama yao. Baadaye hizo issue na jamaa yake mara Maza wa jamaa aliyemzalisha anapiga simu kuhusu mjukuu wake. Nikaona daaaamn! Jamaa mara anamsumbua binti anampigia pigia simu anatumia kigezo mtoto wake. Mara mama wa huyo mshikaji anataka kumuona mjukuu.

Nikamwambia mama lengo langu na ahadi zangu zilikuwa na nia njema lakini hii hali kadri inavyozidi kwenda inaniumiza sana. Hii drama nayo inaonekana ni endelevu na moyo wangu sidhani kama utakuwa na uwezo wa kuvumulia hiyo mikiki. Nikamwambia tuachane. Alining'ang'ania sana, binafsi nikamwambia siwezi.

Tangu niachane naye mpaka sasa hivi yapata ni miezi 7. Nilimpenda lakini hiyo mikiki yake kiukweli hapana. Ila yeye mpaka sasa hivi ananipigia simu na kunitumia msg. Sijibu chochote katika hivyo na wala sijam' block.
doh!
pole zako
 
Wanawake wenye akili timamu nao wasiwe wanakubali kuolewa wala kuhusiana na single fathers pia. Single fathers (wengi sio wote)wanayo potential ya kuzidi kuongeza watoto bila kujali kuhusu kusettle.

Kuna katabia ka kushambulia wanawake walioamua kuzaa watoto kabla ya kuolewa kana kwamba walijibebesha wenyewe hizo mimba.

Mtu aseme, mimi siwezi kuoa single mother acha kujumuisha wanaume wote; mambo ya mapenzi hayana kanuni bayana.

Haya na wale walioolewa na wakazaa na waume zao wakafariki wakiwa na miaka 24,27,32,35?🤷🏽‍♂️ tuwaweke fungu lipi?

Mapenzi yaone hivi hivi kwenye movie, nguvu yake inatisha baba.

N.B: Wanawake; ni wajibu wenu kufahamu vizuri mizunguko yenu ya hedhi. Mtoto sio jukumu jepesi.
 
Ila single mother aisee wana changamoto sana. Mimi nilipotezewa kwa muda mrefu alikuwa hana hata habari na mimi. Nikaona its OK kwa sababu maisha ni yake na maamuzi ni yake. Baada ya miaka kupita nikakutana naye tena. Nipo cool tu na kila mtu na wala sina chuki, akaniletea tena mazoea na hatimaye akanitongoza na kuniambia ananipenda kwa dhati.

Kidume nikaona huyu binti aje mbona imekuwa kwa ghafla hivyo. Baadae kuja kugundua kumbe tayari ameshazalishwa na mshikaji ambaye alimfanya hawezi kunifikiria mimi. Nikajifikiria nikasema huyu binti ananifanya Mimi ni mjinga(?)

Akatoa samahani nyingi na machozi ya hapa na pale na ahadi lukuki kwamba atakuwa muaminifu kwangu. Nikaona siyo mbaya nitabeba majukumu. Kwa ghafla jamaa aliyemzalisha akasema anataka arudi wayamalize kwa wazazi, naye anataka kumlea na kumuona mtoto wake. Drama zikaendelea mwisho wa siku nami nikawa miongoni mwa hiyo drama yao. Baadaye hizo issue na jamaa yake mara Maza wa jamaa aliyemzalisha anapiga simu kuhusu mjukuu wake. Nikaona daaaamn! Jamaa mara anamsumbua binti anampigia pigia simu anatumia kigezo mtoto wake. Mara mama wa huyo mshikaji anataka kumuona mjukuu.

Nikamwambia mama lengo langu na ahadi zangu zilikuwa na nia njema lakini hii hali kadri inavyozidi kwenda inaniumiza sana. Hii drama nayo inaonekana ni endelevu na moyo wangu sidhani kama utakuwa na uwezo wa kuvumulia hiyo mikiki. Nikamwambia tuachane. Alining'ang'ania sana, binafsi nikamwambia siwezi.

Tangu niachane naye mpaka sasa hivi yapata ni miezi 7. Nilimpenda lakini hiyo mikiki yake kiukweli hapana. Ila yeye mpaka sasa hivi ananipigia simu na kunitumia msg. Sijibu chochote katika hivyo na wala sijam' block.

Aisee pole sana kaka. Mwanamke hapo ni wa kulaumiwa kwa kukosa msimamo na mapenzi ya dhati
 
Wanaoowa wanawake waliozalishwa tayari huwa mnafikiria nini lakini mbona nikinyaa sana kwangu?
.
Au ndio ile kauli mbiu ya kipumbavu ya kipendacho roho hula nyama mbichi mnaifuata?
Kwa mwanamume kuwa na mtoto haina shida kwa sababu haingiliwi, mwanamke hata akikusaliti nashauri usimtake tena hatoacha huyo.
 
Kuoa single mother ni sawa na kununua kiwanja bila kupewa hati.Wanaume wenzangu nawashauri usije ukavuta bangi ukajichanganya ukaoa single mother...Labda awe mwanamke mjane lakini sio single mother.Mwanamke umemkuta sio bikra,hapo hapo tena hata bikra ya kumpeleka labour nayo Tena unakuta haipo ahgggggg!!!!

Umefanya dhambi gani kubwa isiyosamehewa mpaka ukaoe single mother???

Kama ulikosea 2018 anza 2019 upya,Tukutane next year.Pablo a.k.a Don,a.k.a Drug dealer,Ova!! Mapovu ruksa!!
 

Attachments

  • 0040093021c9f664defe6c4591fd3db88a7a5abearc614x376w614us1.jpeg
    0040093021c9f664defe6c4591fd3db88a7a5abearc614x376w614us1.jpeg
    15.8 KB · Views: 28
Kuoa single mother ni sawa na kununua kiwanja bila kupewa hati.Wanaume wenzangu nawashauri usije ukavuta bangi ukajichanganya ukaoa single mother...Labda awe mwanamke mjane lakini sio single mother.Kama ulikosea 2018 anza 2019 upya,Tukutane next year.Pablo a.k.a Don,a.k.a Drug dealer,Ova!! Mapovu ruksa!!
Ungetoa sababu.. na mifano ku support ushauri wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom