Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.![]()
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hatare sheikh... Uyo anataka umuoeNakupa laki moja kwa mwezi unaiona ndogo unaamua kunipeleka ustawi wa jamii napangiwa kukupa 50k kwa mwezi unakasirika unachukia unasusa. Unakimbilia kusema umetelekezewa mtoto. Aseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto walio kataliwa na baba zao kwaio wanawake wanalea wenyew....Hivi tafsiri halisi ya 'single mothers' ni waliozaa nje ya ndoa hata kama baba kakubali au ambao wana watoto waliokataliwa na baba?
Aisee kudate single mother inahitaji uwe na roho ya chuma kweli kweli.
Wamejaa lawama, gubu za kiwango cha juu, hawana Jema kabisa. Kila kitu mtoto wangu mtoto wangu. And always hawana shukrani. [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Huwez mtenganisha mama na mwanae..so ni Aidha uwe nae yeye na mwanae au achana nae kabisaNashangaa single maza wanavotaka tuwape kipaumbele watoto waliokataliwa na baba zao yaani wanaona watoto wao kama mtaji fulani wa kuutunza kumbe ni mzigo kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
As long as hakukuficha ulipomtongoza basi ww ndo mwenye makosa maana kama hauna moyo wakumchukulia yule mtoto kama wako usitegemee mamake kukupa nafasi kwake kwa mwanamke mtoto anatangulia afu baba ndo anafuata hata kama ni baba mzazi wa mtoto wake,so kama ukitaka upata nafasi anza kupenda mtoto kwanza pengine kuliko hata yeye huwezi hivyo basi muepuke tu mwanamke wa hivyo maana waliozitoa hizo mimba wapo wengi piaNashangaa single maza wanavotaka tuwape kipaumbele watoto waliokataliwa na baba zao yaani wanaona watoto wao kama mtaji fulani wa kuutunza kumbe ni mzigo kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa single maza wanavotaka tuwape kipaumbele watoto waliokataliwa na baba zao yaani wanaona watoto wao kama mtaji fulani wa kuutunza kumbe ni mzigo kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwasemi vibaya single maza ila shida yao kubwa ni pale anapolazimisha kukueleza story za mtoto wake na jamaa yake sometime uwa inakera mbaya zaidi anajikanyaga leo anasema hivi kesho vile.
Ukiwa unapenda watoto naturally hauwezi kuona kero ya single mother kwa sababu kupewa story za mtoto sio kero kwa mtu anayependa watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani umenivunja mbavu aiseeeh