Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Sema unataka kuolewa yeye ndo akutambulishe kwao na wewe najua unayafuta mtaji sio penzi.
 
Safi sana mkuu
Unaoa mke utakaeishi nae wewe. Badala ya kujiuliza kama anakufaa au atamudu changamoto za ndoa, unaanza kujiuliza kama mama atakubali au ndugu zako watakuonaje!

Inawezekana umri umefika but you still lack that maturity thing!
 
Haya mwanamke mwenzenu huyo anawashauri
Screenshot_20190509-123600~2.jpeg
 
Mie bora kuwa single mother kuliko kuwa mke wa pili/mke mwenza

Yani nakaa najua kabisa leo mume wangu hayupo yuko na mke mwenza anampa mambo!
Mkuu dunia inapoelekea ilo alipingiki tena kuna vitu wazee wa zamani waliona mbali sana ila miaka 30 ijayo mke mwenza litakuwa jambo la kawaida
 
Mie bora kuwa single mother kuliko kuwa mke wa pili/mke mwenza

Yani nakaa najua kabisa leo mume wangu hayupo yuko na mke mwenza anampa mambo!
Mmmh! Sasa kama hamuutaki uke wenza mbona mkiolewa hamuachi kuwa na michepuko?
Hakuna namna itabidi mmfungue mioyo, idadi ya wanaume inazidi kuwa ndogo hvyo wanawake mnazidi kuwa wengi na wote mnahitaji wanaume .... Raha sana kuumbwa mwanaume
 
Mie bora kuwa single mother kuliko kuwa mke wa pili/mke mwenza

Yani nakaa najua kabisa leo mume wangu hayupo yuko na mke mwenza anampa mambo!
Sasa huyo mtoto utazaa na Nani?
Mtoto akiulizia baba unaanza kujiuliza hata Cha kumjibu

Wanaume waoaji wachache Sana!!
 
Sasa huyo mtoto utazaa na Nani?
Mtoto akiulizia baba unaanza kujiuliza hata Cha kumjibu

Wanaume waoaji wachache Sana!!

Point yako sijaipata

Mtoto nitamzaa na nani kwamba hakuna wanaume single wenye uwezo wa kutia mimba?
 
Point yako sijaipata

Mtoto nitamzaa na nani kwamba hakuna wanaume single wenye uwezo wa kutia mimba?
Hata huyo single Kuna siku atakuwa mume wa mtu.
Hakuna mwanaume anakaa kuishi peke yake muda wote.!!
Ukikutana na wa hivyo hata mimba hawawezi kutia!!
 
Mmmh! Sasa kama hamuutaki uke wenza mbona mkiolewa hamuachi kuwa na michepuko?
Hakuna namna itabidi mmfungue mioyo, idadi ya wanaume inazidi kuwa ndogo hvyo wanawake mnazidi kuwa wengi na wote mnahitaji wanaume .... Raha sana kuumbwa mwanaume
Wanataka usingle mother na bado wanachepuka na waume za watu
 
Mie bora kuwa single mother kuliko kuwa mke wa pili/mke mwenza

Yani nakaa najua kabisa leo mume wangu hayupo yuko na mke mwenza anampa mambo!
Hutaki uke wenza, unataka usingle mother lakini mume wa mtu unamtolea macho[emoji3][emoji3][emoji3].
 
Back
Top Bottom