Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hawa wanazalishwa bila kujuwa baba za watoto wao huwa ni washawasha, zamani tunawashauri wasikubali mwanamme yeyote kumfungulia kufuli (kumvulia chupi) hawakutuelewa, Sikh hizi wameamua hata kufuli hawatumii tena.

Utegemee nini akiwa ana binti yake anaishi nae? Kwa maana hiyo hata mashoga wengi hutokana na hawa "single mother". Si mabinti zao tu wanaoliwa na mabwana zao.

Mwanamke asiyejiheshimu na asiye na maana ndiye anaweza kujinasibisha kuwa ni "single mother". Hiyo ni tiketi ya maasi.

Kwa niaba Naomba niseme asante sana kwa tafakuri...
 
Hawa wanazalishwa bila kujuwa baba za watoto wao huwa ni washawasha, zamani tunawashauri wasikubali mwanamme yeyote kumfungulia kufuli (kumvulia chupi) hawakutuelewa, Sikh hizi wameamua hata kufuli hawatumii tena.

Utegemee nini akiwa ana binti yake anaishi nae? Kwa maana hiyo hata mashoga wengi hutokana na hawa "single mother". Si mabinti zao tu wanaoliwa na mabwana zao.

Mwanamke asiyejiheshimu na asiye na maana ndiye anaweza kujinasibisha kuwa ni "single mother". Hiyo ni tiketi ya maasi.
Something isn't right about u..!
 
Something isn't right about u..!
Ukweli huwa mchungu.

Watu wanafikiri u "single mother" ni sifa njema. Hapana. Hiyo ni tiketi ya uasherati na uzinzi.

Binti umlee ndani ya nyumba ambayo kila anaeingia anaambiwa "mwamkie baba'ko", utegemee nini? Na yeye anaiga kuwa kazi ya mababa ni kuwapanda tu, mbona mama anapandwa na kila baba!

Kwa maana hiyo hata watoto wa kiume wanaolelewa na hao wanaojiita "single mother" mwishowe huwaiga tu mama zao kwa kupandwa na "mababa", matokeo ni ushoga tu.
 
As a man thinketh in his heart so is he!

Huo ndiyo uhalisia wako bro. Kwa hiyo umeamua tu kufunga ila pole sana mzee
 
kila aliyesoma ulicho andika , ana uwezo wa kukuelezea tabia , jinsia , umri na wako🙈🙊💩...
 
Unajua kuna mabinti walipata ujauzito sababu ya kubakwa? Leo hii unawapa lawama kwamba ni washerati bila kuwataja wabakaji....Eti ukweli huwa mchungu

Unajua kuna mabinti under-age waliorubuniwa na watu wazima wenye akili timamu, watu ambao huwaongelei kwenye kauli zako za kuwadharau single-mothers? ...Eti ukweli huwa mchungu

Unajua kuna wanawake waliofiwa na baba wa watoto wao, leo hii unawaita waasherati? Eti ukweli hua mchungu.

Unajua kuna wanaume waliokimbia familia na majukumu yao kama wazazi na kuwaacha wanawake kama single-mothers?, leo unawaita waasherati... Eti ukweli huwa mchungu..

Kama hujui basi huujui ukweli mchungu.!!

Ukweli huwa mchungu.

Watu wanafikiri u "single mother" ni sifa njema. Hapana. Hiyo ni tiketi ya uasherati na uzinzi.

Binti umlee ndani ya nyumba ambayo kila anaeingia anaambiwa "mwamkie baba'ko", utegemee nini? Na yeye anaiga kuwa kazi ya mababa ni kuwapanda tu, mbona mama anapandwa na kila baba!

Kwa maana hiyo hata watoto wa kiume wanaolelewa na hao wanaojiita "single mother" mwishowe huwaiga tu mama zao kwa kupandwa na "mababa", matokeo ni ushoga tu.
 
Back
Top Bottom