Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nazungumzia zaid hawa tunaowaonja wenye viherehere vyakubeba mimba b4 marriage......ujue mwanamke kama hajazaa huwa kama tango liliotoka kuvunwa then akishazaa huwa kama tango lililolazwa kwenye frij jins linavorojoka so m2 making akiambiwa achague tango unafikir atachagua tango lip kat ya hate?
Next time usije ukafikiria kama mwanamke i sawa na tango
utabakia kuwa na fikra potofu na mbaya kwa maisha yako, siku nyingine kabla ya kumuongela mwanamke jaribu kufikiria mzazi wako kisha anza kumuongelea
mabaya yapo but be postive bro for your own future good
 
Kutaka kwenu 50/50 ndo kunatufanya cc tuwaache na mikelele yenu mbaki mnaoza tuuu mambo ya haki sawa waachien wazungu ambao wanaishi ndoa za majaribio.....Allah anasema mwanamke awe chini ya mwanaume so mkijfanya wabsh nikuwa single mother tuuuuu
Mimi Ni mwaname sio mwanamke
usillalamike wanawake wanataka usawa ila lia na kujutia ukishindwa kuishi na mke wako kwa akili
 
Next time usije ukafikiria kama mwanamke i sawa na tango
utabakia kuwa na fikra potofu na mbaya kwa maisha yako, siku nyingine kabla ya kumuongela mwanamke jaribu kufikiria mzazi wako kisha anza kumuongelea
mabaya yapo but be postive bro for your own future good
Mzaz Wangu sio single mother aliolewa na father Wangu kwa heshma zote na taratb zote za kidin na Allah ndo shahd mkuu.....so Mzaz Wangu sio tango kama hayo matango yanayojiachia achia nakujdai yanataka 50/50
 
Mzaz Wangu sio single mother aliolewa na father Wangu kwa heshma zote na taratb zote za kidin na Allah ndo shahd mkuu.....so Mzaz Wangu sio tango kama hayo matango yanayojiachia achia nakujdai yanataka 50/50
hongera sana
naona ulionja hadi ukajua sio tango kama matango mengine
hatar sana kwahiyo mama yako nikama tango limevunwa leo eee?
nilikuambia ukikua utajua unalazimisha upuuzi
umeona sasa unaropoka siri zako na mama yako?
yaani hadi umejua aina ya tango lake?
heshima kwako dooooooh! Umetisha sana
 
Picha hii ilipigwa mwaka 2013 katika mbuga ya wanyama ya Maasai Mara, nchini Kenya na mpiga picha za wanyama (wildlife photographer) Alison Buttigieg, na ilishinda kuwa picha bora ya mwaka katika tuzo za habari huko Australia.

Swala huyu anayesulubiwa na chui hawa, ni Mama wa watoto wawili. Akiwa na wanae kwenye maskani yao, walivamiwa na chui waliokuwa na njaa. Watoto wake walikuwa wadogo na hawakua na nguvu za kuweza kukimbia na kujiokoa. Mama yao angaweza kuaamua kukimbia na kuwaacha wanae ambao wangeweza kuwa chakula cha chui.

Lakini hakuwaacha alikimbia nao. Baada ya umbali kidogo akaona chui wamemkaribia. Akaacha wanae waende na yeye akapunguza mwendo. Alitaka kuhakikisha wanae wanakuwa salama hata kama yeye atadhurika. Chui wakamfikia na kumparamia.

Katikati ya chui wawili bado aliweza kusimama wima na kuwatazama wanae ambao walikuwa wakizidi kuyoyoma porini. Alikuwa akiwatazama kwa mara ya mwisho maana alijua hatawaona tena!!! Ilikuwa ishara ya kuwaaga.

Kwa macho yenye ujasiri aliwaaga wanae. Aliwakodolea macho hadi wakapotelea kabisa porini kabla ya kukubali chui kumgeuza chakula. Alihakikisha kitu cha mwisho kuona kwenye macho yake ni taswira ya wanae. Ilikuwa ni ishara ya kuwaaga. Alijua hatawaona tena, lakini hakusikitika maana alijua kifo chake kilikua ukombozi kwa wanae.

Picha hii inatuonyesha taswira halisi ya Upendo wa Mama....picha hii ni maalum kwa wanawake wote mnaolea watoto peke yenu..msiogope..Mungu yuko nanyi..pambaneni..

C&P

FB_IMG_1561876971863.jpeg
 
Sio akina mama wote wenye tabia kama ya huyo swala, wapo wakina mama wenye ukatili mkubwa na hata kuwaua watoto wao kwa mikono yao wenyewe kuliko kusubiri hata pengine wauwawe na wanyama wakali
 
Picha hii ilipigwa mwaka 2013 katika mbuga ya wanyama ya Maasai Mara, nchini Kenya na mpiga picha za wanyama (wildlife photographer) Alison Buttigieg, na ilishinda kuwa picha bora ya mwaka katika tuzo za habari huko Australia.

Swala huyu anayesulubiwa na chui hawa, ni Mama wa watoto wawili. Akiwa na wanae kwenye maskani yao, walivamiwa na chui waliokuwa na njaa. Watoto wake walikuwa wadogo na hawakua na nguvu za kuweza kukimbia na kujiokoa. Mama yao angaweza kuaamua kukimbia na kuwaacha wanae ambao wangeweza kuwa chakula cha chui.

Lakini hakuwaacha alikimbia nao. Baada ya umbali kidogo akaona chui wamemkaribia. Akaacha wanae waende na yeye akapunguza mwendo. Alitaka kuhakikisha wanae wanakuwa salama hata kama yeye atadhurika. Chui wakamfikia na kumparamia.

Katikati ya chui wawili bado aliweza kusimama wima na kuwatazama wanae ambao walikuwa wakizidi kuyoyoma porini. Alikuwa akiwatazama kwa mara ya mwisho maana alijua hatawaona tena!!! Ilikuwa ishara ya kuwaaga.

Kwa macho yenye ujasiri aliwaaga wanae. Aliwakodolea macho hadi wakapotelea kabisa porini kabla ya kukubali chui kumgeuza chakula. Alihakikisha kitu cha mwisho kuona kwenye macho yake ni taswira ya wanae. Ilikuwa ni ishara ya kuwaaga. Alijua hatawaona tena, lakini hakusikitika maana alijua kifo chake kilikua ukombozi kwa wanae.

Picha hii inatuonyesha taswira halisi ya Upendo wa Mama....picha hii ni maalum kwa wanawake wote mnaolea watoto peke yenu..msiogope..Mungu yuko nanyi..pambaneni..

C&P

View attachment 1142740
Mmmmmmh,

BIG UP KWA SWALA HUYU.

NADHAN HATA KWA MUMEWE ALIKUWA NA UPENDO WA DHATI.
 
Kijana usi mzalishe binti yoyote ambaye hauna mpango wa kumuoa ..maana madhara unayomuachia ya kijamii na kisaikolojia ni makubwa sana..
 
Hao sio chui ni duma (cheetah) hata angeamua kukimbia asingefika wapi hao cheetah ndio fastest animal
Picha hii ilipigwa mwaka 2013 katika mbuga ya wanyama ya Maasai Mara, nchini Kenya na mpiga picha za wanyama (wildlife photographer) Alison Buttigieg, na ilishinda kuwa picha bora ya mwaka katika tuzo za habari huko Australia.

Swala huyu anayesulubiwa na chui hawa, ni Mama wa watoto wawili. Akiwa na wanae kwenye maskani yao, walivamiwa na chui waliokuwa na njaa. Watoto wake walikuwa wadogo na hawakua na nguvu za kuweza kukimbia na kujiokoa. Mama yao angaweza kuaamua kukimbia na kuwaacha wanae ambao wangeweza kuwa chakula cha chui.

Lakini hakuwaacha alikimbia nao. Baada ya umbali kidogo akaona chui wamemkaribia. Akaacha wanae waende na yeye akapunguza mwendo. Alitaka kuhakikisha wanae wanakuwa salama hata kama yeye atadhurika. Chui wakamfikia na kumparamia.

Katikati ya chui wawili bado aliweza kusimama wima na kuwatazama wanae ambao walikuwa wakizidi kuyoyoma porini. Alikuwa akiwatazama kwa mara ya mwisho maana alijua hatawaona tena!!! Ilikuwa ishara ya kuwaaga.

Kwa macho yenye ujasiri aliwaaga wanae. Aliwakodolea macho hadi wakapotelea kabisa porini kabla ya kukubali chui kumgeuza chakula. Alihakikisha kitu cha mwisho kuona kwenye macho yake ni taswira ya wanae. Ilikuwa ni ishara ya kuwaaga. Alijua hatawaona tena, lakini hakusikitika maana alijua kifo chake kilikua ukombozi kwa wanae.

Picha hii inatuonyesha taswira halisi ya Upendo wa Mama....picha hii ni maalum kwa wanawake wote mnaolea watoto peke yenu..msiogope..Mungu yuko nanyi..pambaneni..

C&P

View attachment 1142740
 
Huyo mwanamke ni mpumbavu angekua na akili huo ujinga asingefnya,yaan mtu anaonesha waz kabisa kua hakuhitaj still unamnyenyekea na kuuliza et niolewe mfyuu mtoto isiwe kigezo aisee ,mapenz yakiisha yangu yang hayakuhusu na yako hayanihusu..angeolewa tu jamaa atapataga taarifa nae akioa atasikia tu anamuliza kama nan wanawake wengne bhna hao ndo wanaofnya sngle mom tuonekane WA hovyo kumbe sivyo
weye bado mdogo, mapenzi ni kitu nyingine kabisa, nyamaza yasije yakakukuta
 
Kiukweli tumechoka na stori za single maza....wengi wenu jamiiforums mnazungumzia single maza ambao walikua kabla ya kuzaa walikua malaya...
Mabint kibao tunawaona wameolewa hawana watoto, lakini kitaani wanakanyagwa balaa na michepuko yao

Wapo wanaojitambua.....

Uzinzi na umalaya ni tabia ya mtu.....!
hakuna umalaya.hapo wewe ulitoka wapi, si ajabu wewe ulipatikana kwa mtindo huu ni watu wawili walipigana chini wamesimama,
 
Heri ya mwaka mpya wakuu wote hapa JamiiForums


Kuna rafiki yangu mmoja hivi nilisoma naye chuo, huyu jamaa katika mwaka wake wa pili tangu aanze kazi alikutana na mfanyakazi mwenzie ambaye ni mtaalamu wa madawa ya binadamu (Pharmacist)

Wakaanza mahusiano ya mapenzi,lakini kiuhalisia jamaa yeye alikuwa naye kwa kujifurahisha tu kwa kuwa tayarialikuwa na mchumba wake lakini alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine, akaamua amchukue huyu mfamasia kwa ajili ya kucheza rafu za hapa na pale na kuondoa upweke usio wa lazima.

Lakini kumbe mdada wa watu kajiongeza na hatimaye akamtegea jamaa siku zile za hatari, jamaa akiwa hana habari na mpango wa bibiye hatimaye akamtandika ujauzito, jamaa akaja juu kwamba kwanini ameshika ujauzito bila makubaliano? Akamwambia achoropoe,bibiye akagoma.

Basi jamaa kwa hasira akampiga kibuti demu,mahusiano yakafa lakini baadaye akasema wtashirikiana kumlea mtoto ila mapenzi yafe, mdada akasema haina shida.

Kwa hiyo kila mara wanatembeleana kwa ajili ya mtoto ila mambo ya mapenzi hakuna.

Sasa imepita miaka kama miwili hivi kajitokeza mshikaji mwingine anataka kuchukua mzigo jumla (kuoa), sasa katika process za utoaji barua, eti bibiye anampigia simu baba wa mtoto kuwa anataka kuolewa hivyo ampe ruhusa ya kuolewa ahahahahahhahahahah; jamaa akamwambia we olewa,unaniomba ruhusa kama nani wakati mi na wewe tulishaachana?

Kwa kufupisha stori, kiufupi pamoja na mchakato wa ndoa kuendelea lakini binti anaonesha matendo ya kidhaifu mno kwa mzazi mwenzie kiasi kwamba hata jamaa akiamua kuomba mzigo anaweza kupewa bila masharti; hali hii imefanya kutokea mgogoro mkubwa kati ya mume mtarajiwa na binti,mgogoro unaotokana na wivu wa mapenzi unaochagizwa na tabia ya binti kuwa dhaifu mno kwa mzazi mwenzie.

Kwa mujibu wa rafiki yangu anakiri kiukweli wakikutana na bibiye kwa ajili ya kumjulia hali mtoto, bibiye anakilegeza mno,yani anajiweka kiromantic na hayuko seriously sana kama mtu ambaye kweli anatarajiwa kuolewa.

Sasa, mimi naomba kuwauliza humu wana JF, Hivi ni sababu ipi haswa inayopelekea mabinti wengi kuwa dhaifu kwa wanaume waliozaa nao kiasi cha kuwapa wakati mgumu waoaji?

Hivi haiwezekani mkizaa mkaachana moja kwa moja bila kuwa na shauku ya kukumbushia mapenzi?
Hivi unawezaje kuoa singo maza?


Huo moyo hata motoni unakaaa
 
Back
Top Bottom