Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Utofauti wa single maza wa miaka ya nyuma na siku hizi Ni handling ya mtoto/watoto wake.
Zamani watoto walikuwa wanaachiwa wajomba hata baba yao atawafuata huko.
Siku hizi unapewa sharti la kumpenda yeye na mtoto wake.
Yaani unaoa mke unapewa na watu wawili.
 
Nje ya mada..
Chato kuna chatu kule mkuu'
If you know you know[emoji38]
 
Yani Bogus kabisaa... Acha Unafiki ishi maisha halisi sio kukaa nyuma ya Keybod unaandika Utumbo hapaa kujidai Unajua kushauri..!! Anza kushauri hao waliooa Dada zako na ndugu zako wa kike malaya as u said ambao waliamua kuanza uzinzi mapemaa... Hao wengine walikuwa wanakulea lea unaongea Utumbooo!! Next time jifunze kuongea maisha halisi sio hadithi za abunuasi.
Sina mda na watookama wewe, wanau walioharibika akili. Mnafiki unayejipendekeza for nothing. Bye
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wewe huoni kosa lako bado au??? Kama vile ambavyo wewe hukuweza kuingilia ndoa za hao masingle mama wa kwenu bhasi hivyo ndivyo Wengine tunaheshimu maamuzi ya wengine na Kuacha kiherehere cha kujidai tunajua sana na kuanza kuingilia Mahusiano ya watu wengine. Kama single mama alikushinda wewe tulia mzee baba huna haja ya kuwachukia Wadada wengine waliopata ujau uzito wakiwa nyumbani na kuanza Kupreach kuwa ni Malaya na wazinzi ukasahau hata ukoo wenu wamejaa hao unaoona ni wazinzi. Kawahubirie Huo utumbo ndugu zako kwanza ndo uje kushupaza shingo hapa.
Umeguswa kwa namna fulani, naheshimu maamuzi yako. B6e
 
Jamaa ni bwegr tu kujikuta anajua kushauri hapa huku anawatoa kasoro na kuwatukana wadada wa watu...!![emoji23][emoji23][emoji23] Akati kwenye ukoo wake wamejaa kibao hajawai waambia hata kupitia Group la ukoo akwende huko Mtu mnafiki Muogope sana.
Hizi ni mada za wanaume, sio male feminists
 
So ndoa imehalalisha uzinzi ndo maana unaona ambao hawajafunga ndoa ni Wazinzi hapo tu ndo kuna kosa ila mwanamke Akiolewa ukaachika unakuwa sio single mama... bhasi tuwaite single bibi maana sio wajane...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119]
Kwa hiyo aliyeachika ni mjane? Ngoja nipitie kamusi kwanza
 
Hawa wanaume wamekuwa watu wa ajabu sana,tena sana

Wanawake wapo tu wengi mtaani,wazuri na wavumilivu na wanaojua mapenzi lakini anawaacha anakimbilia wanafunzi ,halafu wanawapa mimba miaka 30 jela

Hiyo haitoshi,nimekutana na kaka mmoja analalama kwa mwenzake alivyo kwenye mahusiano na binti wa umri wa miaka 17 na anavyomnyanyasa

Huyo mwanaume anadai amekuwa kwenye mahusiano na huyo binti wa kidato cha Tatu ndani ya miezi 4 tu ametumia zaidi ya laki Tatu

Anasema mwanafunzi amekuwa akimuomba hela ya matumizi mara kwa mara,na amekuwa akimuomba amnunilie vitu vya gharama

Hata wakiwa 6 kwa 6 hapati ushirikiano wa kutosha na hudai amechoka mapema na siku ya kumpa mapenzi ni baada ya mwezi mmoja na huku kila siku anatumiwa SMS za kuombwa hela

NB.Nimegundua wanaume hawana akili,unamuacha single mother mtaani,wa kukupa mapenzi unavyotaka unakimbilia under 20 halafu unaanza kulalama kwa wenzio

Mtaishia gerezani wote, acheni wanafunzi, madada tupo wengi mtaani,tunajua mapenzi na unapewa bila ratiba,na matumizi yetu ni kidogo sana

Acheni maisha ya risk
Wewe naona ni single mother, Hivi unaona unavyoteseka kiasi unatoka mwanza hadi Dar kutafuta 7,800 tu. Je hiyo pesa inatosha kununua hata maziwa ya mtoto? Ni ujinga mtupu mtu kwa nyakati hizi mwanamke kuzaa na mwanaume ambaye hawezi kumtunza mtoto wakati ndomu zipo kibao. Aidha unakimbilia nini kuzaa wewe binti huna uwezo wa kumtunza hadi unajiingiza katika umalaya ili upate hela ya kumtunza mtoto. Humu JF kuna mabinti kibao ambao wanahaha kutafuta pesa kwa mabwana ili watunze watoto. Aidha wewe si mwanaume hujui faida na uzuri wa under 25 ukilinganisha na over 25. Akiwa alishatotoa ni hatari zaidi. Waswahili husema ukitaka kula nyama ya kitimoto tafuta mnono. Nyumbani nimwache bimkubwa niende kwa single mother? Huo ni uhanisi ila hujui utamu na mapenzi ya under 25 wewe
 
Kwa maneno ya jamaa Mwanamke akiolewa akiachika anafaa kuolewa kabisaa huyo Sio single mama hata kama ana watoto..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana alifunga ndoa. Na Hajui ndoa zenye misukosuko ni za aina hiyo ambapo wanaume waliowazalisha wanawake baada ya kufunga ndoa na kuachana nao wanakuwa bado wapo hai. Mwanamke ambae mwanaume aliemzalisha either kwa ndoa au bila ndoa alifariki, wengi wao huwaga hawana shida na ndoa zao mpya na wengine huamua kutulia wasiolewe kabisa.
Onyesha wapi nimenena hayo. Soma kamusi uelewe maana ya neno mjane ndio uje upost.
 
Ana shida mahali.
Kila Uzi umejaa kilio kuhusu wanawake.
Ukiona hivo ujue alishashikwa pabaya au ndoa yake haina furaha anakuja kupooza machungu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
No problem, ukweli utasemwa tu. Subiri next episode
 
Nilishamwambia kila mtu anajua anachotaka.
Watu hawaongozwi na hisia za maoni ya wachambuzi uchwara wa mahusiano huku mitandaoni.
Nikamuuliza yeye kila kitu kuhusu wanawake anakijua hiyo experience kaitoa wapi? Sikumbuki kama alinijibu zaidi ya kupanic.
Yaani amekariri maisha kisa yeye kafeli anachukua hiyo kama ndio sheria.
Siku ukinijua utashangaa. Nina mpango wa kujifunua humu jf wala sihitaji kujificha. Ngoja nimalize mabandiko yangu. Na pia kama mtu amefeli huoni kuna chakujifunza hapo? Shupaza shingo tu, kizazi cha nyoka kilichaharibika.
 
Onyesha wapi nimenena hayo. Soma kamusi uelewe maana ya neno mjane ndio uje upost.
Haya mimi ya Mjane siitaji kuyajua... Kumbe wajane tu ndo wanahaki ya kuolewa??? Ila waliolewa wakaachika hawastahili maana ni masingle mamaa...labda wasubiri wanaume zao wafe wakiwa wajane hapo ndo sahihi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji846][emoji846][emoji846] Bhani yako mbaya sana.
 
Tena alinyooshwa haswa.
Maana kila Uzi akifungua ni wanawake , wanawake. Single mother, single mother [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Halafu ukimlima fact, anapaniki na kumwaga maneno makali ya ajabu ajabu utadhani alichoandika ni sheria hakitakiwi kupigwa.
Basi farijianeni kwa maneno haya
 
[emoji28] nadhanikuna watu wakikutana na mimi watanimeza. Mwanadamu kiasili hayuko tayari kusikia ukweli
Na wewe tunakupa ukweli wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tushausikia ukweli wa single mama kwa upande wako. Najua ukweli huu wa UNAFIKI unakuuma ila umeze tu mzee!
 
Back
Top Bottom