Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
POLE
NDIO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIO
Ndio nini hiki?Huwa unayasema kwenye mada nyingi sana
Hii 7 umeipata wapi ?53 kwa 7[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji134]
Tobaa.
Huu Ni Zaidi ya ubakaji
Bora niozee kwetu.Nacheka sana,kwa jinsi nilivyokuwa mtu mbaya katika haya mambo ya wanawake,wewe utakuwa tu mke wa tatu.
Sijaona ndio unionyeshe wewe sasa ametudanganya wapi ?Bora niozee kwetu.
Kwa akili zangu hizi timamu haitakuja tokea nikafanya huo upumbavu.
Huyo Muhammad aliwaambia muoe wake wa4 eti sunna..
Hivi zuri na kisomo chako chote ulichonacho kakangu wewe ..hukuona Kama jamaa aliwadanganya?
Nitakuomba radhi mpaka utakapo nionyesha kosa langu liko wapi.
Sawa 9Hii 7 umeipata wapi ?
Ni 53 kwa 9.
Ubaya wake uko wapi ?
Nini maana ya ubakaji kwa mujibu wa Kiswahili ?
Yaani brother unahemka zaidi kuliko uhalisia. Acha tu tuufunge huu mjadala kati yangu na wewe maana naanza kuhisi kuwa ndugu yangu unaweza kuwa wewe mwenyewe au miongoni mwa familia yako mmoja akawa muhanga wa single mothers. Otherwise mjadala huu umekuwa ni wamanufaa kwetu na wasomaji kwa ujumla.Yawezekana kabisa Sio wote wana matatizo ndio but mind you in statistics a representative sampling suffices Na huo ndio ukweli, ukioa mwanamke asiyekuwa na bikra tu unahesabika umeoa mke wa mtu kiimani na hata kijamii pia sembuse single mother ambaye tayari ana muunganisho usiojificha wa usiofutika na bwana yake. Pia mleta mada hajazuia watu wasio single mothers bali alichofanya ni kama kutoa taadhari hivyo utaamua mwenyewe kama ushauri wake unafaa au haufai Sasa huu mtazamo wako hapa sio mahala peke ungesubiri au ungetafuta mada inayo fit na huo mtazamo wako ukachangia ingeleta maana, ukiuleta hapa kwenye mada hii utakuwa unafanya contextual derailment. Ukilazimisha kuuleta hapa sana sana tutakuona wewe ni single mothers sympathizer na unajaribu kufanya justification ya maovu yao na huna lingine Nafikiri kwenye mjadala kama huu hapakuwa na umuhimu wa kuleta blah..blah za ulinganisho na zinginezo, ulichopaswa kufanya hapa ni kuchangia mada bila kutoka nje ya mantiki ya mada yenyewe, habari za kuuhusishanisha hii mada na nyingine ambayo hazipo hapa ni dalili za kutokuwa na hoja yenye mashiko yaliyo sawia na mada husika, mbona kuna walipigana na hii mada bila kutoka nje ya mantiki kabisa, wewe una kwama wapi?
Dude hapa hatuko jukwaa la elimu wala la lugha, halafu sioni kama lengo lako ilikuwa ni kuja hapa hili ufundishwe namna ya kujadili mada. Hii haiwezi kuwa serious hata kidogo.
Mimi si tunamalizana huko huko kitaa. Kwanza huwa sipendi kujulikana.Kosa lako ni kuniomba uwe kibenten changu
Halafu nikikubali ukapata unachokitaka ukaniacha na wewe uje uanzishe uzi hapa kuja kusema kwamba wewe kuniomba haukuwa na makosa ila mimi kukubali ndiyo nina makosa
Sasa kwanini muombe kama mnajua kuwa wanaodharaulika ni wanawake na siyo wanaume??Ni hiari yetu.
Hivi mwenye kukanusha na kuthibitisha huwa wako sawa ?
SI hapo kuwaambia muoe wake wanne..na wakati ndoa Ni ya mke na mume...mke Ni ubavu wa mumeSijaona ndio unionyeshe wewe sasa ametudanganya wapi ?
Wewe huwa unajuaje kama jambo fulani la kweli na jambo fulani la uongo ?
Good do youYaani brother unahemka zaidi kuliko uhalisia. Acha tu tuufunge huu mjadala kati yangu na wewe maana naanza kuhisi kuwa ndugu yangu unaweza kuwa wewe mwenyewe au miongoni mwa familia yako mmoja akawa muhanga wa single mothers. Otherwise mjadala huu umekuwa ni wamanufaa kwetu na wasomaji kwa ujumla.
Uzijibu..maana zinakuhusu@SaintAnne what's up with all these mentions!? Am getting sick of it.
Na Leo atatoka hapa yupo hoi maana[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha utoto sasa,hapa tunaongelea elimu,jambo kama huna elimu nalo uliza au kaa kimya.Sawa 9
53-9=jibu unalo.
Huyu si mjukuu kabisa Kama SI kitukuu[emoji44].
Na nyie huyu jamaa aliyebaka kitoto akaja kuwaambia alidondoshewa Aya mkaamini kabisa!????
Wamemchokoza kibenten wako,na mimi siwaachi hawa mpaka wakimbie.
Nimewaambia hivi,huwa siitiki mpaka niitwe,wameniita nimeitika.
Huyo ni kulwa na Mimi ni dotombona wewe unaonekana mdogo kwake
Nakujibu kwa swali,kwani tukiomba lazima mtupe ?Sasa kwanini muombe kama mnajua kuwa wanaodharaulika ni wanawake na siyo wanaume??
Kivipi??
Ndivyo wanavyotaka.Kosa lako ni kuniomba uwe kibenten changu
Halafu nikikubali ukapata unachokitaka ukaniacha na wewe uje uanzishe uzi hapa kuja kusema kwamba wewe kuniomba haukuwa na makosa ila mimi kukubali ndiyo nina makosa