Nashauri utumie nguvu NA juhudi hizi hizi ktk kufanya kampeni kubwa kabisa ya kufa NA kuona ktk kuwaelimisha wanawake wenzako NA wasichana ili wajitambue, wawe NA ufahamu wa kutosha kabisa kuhusiana na masuala ya ndoa, pamoja na kuheshimu miiko ya ndoa.Ukitilia mkazo zaidi juu ya umuhimu wa mwanamke kujitunza, kuwa na watoto wakati tu akiwa kwenye ndoa, KUACHA KABISA TABIA YA KUZAA WATOTO AKIWA NJE YA NDOA TENA BILA UTARATIBU WALA ANGO UNAOELEWEKA.
Kuzaa nje ya ndoa KWA mwanamke ni kitendo cha kujifedhehesha sana kupita kiasi, washauri wanawake wenzako NA wasichana kuwa wajitunze, wasizae nje ya ndoa, ili kuepuka fedheha itokanayo NA kudhalilishwa ktk jamii. Mjitunze ili mheshimike ktk maisha yenu, epukeni fedheha?!