Hapa linaongelewa tendo la mimba kuingia kwa watu wawili ambao tayari wameshaamua kutenda dhambi, hivyo sio sawa kuongelea dhambi hapa kwa sababu ipo tayari. Ongelea matokeo yake, sio nani hana dhambi. Kukubali kutoa uchi ni kukiri udhaifu na kutokujitambua kwa mwanamke. Mbona wengine wakiwa chumbani wakiombwa kuingiliwa nyuma wanakataa? Sema tu ukweli kuwa nanyi mnapenda mfanywe na mnaridhia, ila mimba ikitokea mnanyoosha kidole.
Mwanamume anamwomba mwanamke ampe nyuma, anakataa. Mwanamume anamwomba mwanamke amnyonye, anagoma kabisa. Mwanamke huyo huyo akiombwa atoe mbele anakubali!! Nini kimebadilika kumshawishi aone kutoa mbele bila ndoa ni halali? Kwani hapo ipi ni dhambi na ipi sio dhambi? Naomba jibu.