Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kwahiyo huyo mwanaume kumtia huyo mwanamke kwa sababu ya hayo 'mazingira' ndiyo hana makosa??
Sihukumu dhambi, naongelea matokeo na madhara yake kijamii, nimesema sana hili. Jaribu hoja mpya
 
Mimi sijasema mimba ikiingia alaumiwe mwanaume hivi mbona wewe mgumu sana kuelewa??

Nimesema hili swala wanaotakiwa kulaumiwa ni WOTE MWANAUME NA MWANAMKE na siyo mwanaume peke yake wala mwanamke peke yake

Halafu mbona hoja zako zinakinzana umesema tusiangalie dhambi tuangalie matokeo halafu hapo unaniuliza mbona mwanamke akiombwa nyuma hatoi ila akiombwa mbele anatoa kwa maana kwamba umerudi pale pale kwenye uzinzi na uasherati

Halafu unaposema tuongelee mimba tusiongelee tendo lililofanyika una maana kumbe walichofanya ni sawa ila mimba kupatikana ndiyo siyo sawa mbona hauelewi unachoandika??
Sihukumu dhambi, naongea na jamii yote kwa
ujumla. Wewe ndio kwa sehemu yako hutaki kuelewa. Unajua mfumo was maisha haupishani sana na mambo ya kiimani.

Hapo nilitaka tu uone kuwa mwanamke anahiari mwenyewe, anakataa kimoja anakubali kingine. Why
 
Such a lame argument ndiyo maana nakwambia unaishi kwenye jamii ya kufirika ambayo kila kitu kiko general yaani kwako wewe WANAWAKE WOTE walioolewa mabikira wanatambua thamani ya mume na WANAWAKE WOTE wasioolewa mabikira hawatambui thamani ya mume aise kweli you need exposure sijui unaishi kwenye dunia gani mwenzetu
Exception cases zipo, mimi nimesema ni dalili. Hivyo dalili hizo zaweza kuwa tofauti pia lakini kwa ujumla wake iko hivyo toka mwanzo, hata kwenye biblia
 
Maisha haya ni enzi za Nyerere akiwa Kijanaa...Achaa upuuzi bhasi[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48] Unakeraa kinyamaa...
Wewe ndio mpuuzi was kiwsango cha lami, kwa wanaoelewa maana wameona kweli. Acha uasherati sio sifa njema, tulia upate mke bora. Unatetea uzinzi na uasherati kwa kigezo cha dunia ya sasa? Tena unakera kuliko, hujui hata unachokiongea.

Kwa hiyo kwa sababu ya dunia ya sasa tuache kukemea upuuzi? Basi tuambie unasema nini kuhusu ushoga na usagaji!! Maana hili nalo halikuwapo wakati wa dunia ya Nyerere
 
Jitu halielewiii..Unadhani limeelewa likirudi linaharibu kabisaa yani unaona kama hamjadiscuss kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Hapana mchukueni mtu wenu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mkuu usichoke endelea .
 
Jitu halielewiii..Unadhani limeelewa likirudi linaharibu kabisaa yani unaona kama hamjadiscuss kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Hapana mchukueni mtu wenu
Kwa mawazo yako nani atakuelewa? Effeminate kwangu hakuna nafasi. Kimsingi huna hoja zenye mashiko zaidi ya kutaka nikubali kuwa uzinzi kabla ya ndoa ni sawa. Siko hivyo ndugu
 
Kwahiyo anayeomba ngono hana makosa ila anayekubali ngono ndiyo ana makosa??

Maandiko yanasema uzinzi na uasherati ni dhambi kwa jinsia ZOTE MBILI sasa inakuwaje anayeomba uzinzi na uasherati asiwe na makosa ila anayekubali uzinzi na uasherati ndiyo awe na makosa??
anayeruhusu ni nani??? mwanamke akikataa yasingetokea hayo yote
 
ukweli unaouma
Basi fahamu haya:

Mwanamke aliyezaa huhamishia mapenzi kwa mwanaye. Hali huwa hivyo hata ndani ya ndoa, kiasi kwamba ndoa nyingi hupoteza mvuto pale tu mtoto anapozaliwa. Kwako wewe kijana unayetaka kujitwika mabomu uoe single mother.

Mwanamke anatakiwa aolewe katika ubikira wake ili mwanamume kujisikia kwamba kweli amepata mtu mwaminifu. Lakini kama hata hilo halikutosha kukushawishi, usithubutu kuoa mwanamke ambaye ni single mama, labda kama una uvumilivu usiopimika. Yako mambo kadhaa ambayo yanamfanya single mama asiwe sehemu ya mtarajiwa wa ndoa.

1. Single mama wengi ni matokeo ya uzinzi ama uasherati. Binti anapojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa kwa kigezo cha kutafuta kuolewa ni dalili mbaya hata kama ataolewa kweli. Hii inaonyesha kuwa ana udhaifu kwenye eneo la ndoa kiasi kwamba yuko tayari kuutumia mwili wake kama rushwa ili kufanikisha ndoa. Hii haitofautiani na mwanamke aliye ndani ama nje ya ndoa kutumia tigo yake kama kishawishi cha kumshika mwanamume. Unapotumia ngono kama sehemu ya ushawishi, ama kama silaha ya kumteka mwanamume ujue kwamba unaondoa thamani yako na kuingia kwenye kundi la makahaba. Ni kweli uchi wa mwanamke ndio silaha yake kwenye mahusiano, lakini si kwa kuigawa hovyo, bali kwa kuwanyima wanaoitamani ili apatikane mwenye nia thabiti ya ndoa.

Inapotokea binti kajiingiza kwenye mapenzi mpaka kupata mimba, tayari keshapata muunganiko mwingine na mwanamume aliyempa mimba hiyo, tayari wameunganishwa na mtoto huyo, ingawa bado mwanamume aliona huyu mwanamke hafai kuwa mke, alikiwa anamtumia tu kukidhi kiu yake mpaka pale atakapompata mtu sahihi. Sasa wewe ni nani hata ukajiingize kuoa mwanamke wa aina hii?

2. Single mama hawezi kukupenda kwa jinsi ulivyo, bali kutakuwa na sharti la mtoto. Kwamba iwapo utamtunza mtoto kama single mama atakavyo basi utapewa mapenzi matamu. Ni ukweli usiopingika kuwa mwanamke apatapo mtoto mapenzi yote huhamia huko, hivyo wewe jiandae kuwa chaguo la pili kwake. Haya sio mapenzi na ujue tu kuwa huwezi kuwa na amani kamwe.

3. Mtoto si wako. Hata kama utampenda na kumhudumia kwa namna yoyote ile, ukweli utabaki kuwa huyo si mwanao, sio damu yako. Ni kwamba umejitwika jukumu la kumhudumia mtoto wa mwanaume mwenzako ambaye ndiye ataendelea kutambulika kama baba mzazi. Siku akikua ataanza kumtafuta aliyechangia mbegu mpaka akaja dunuani, sio aliyechangia ugali. Ikitokea mmeachana na single mama, ujue ndio mwisho wa kuonana na mwanao mpenzi uliyekuwa ukimtunza kwa nguvu zako zote.

4. Utatumia nguvu kubwa kulilinda penzi. Ili ujihakikishie kuwa single mama anatulizana na wewe, utahitaji kuishi maisha ya kumfurahisha yeye, kumpa atakacho ili asije akamkumbuka mume wake wa kwanza. Namna pekee ya kumfurahisha ni kuhakikisha mtoto wa mwanamume mwenzako anapata maatunzo mazuri, nguo nzuri, elimu nzuri n.k. Utalazimika kuwa karibu naye kuliko hata baba mzazi anavyokuwa, yote haya ni kutafuta kumfurahisha single mama. Utaishi maisha ya kujipendekeza, yenye stress nyingi.

5. Huna sauti juu ya mtoto. Hata kama utataka umchujue mtoto huyu kuwa mwanao kamili, umpe malezi halisi ya mzazi, kuna mahali utakwama tu. Huwezi kumwadabisha kwa mikono miwili, lazima mmoja utakuwa nyuma na mwingine utakuwa mbele. Mara zote utakaa ukijiuliza, labda nikimfanya hivi mama yake atadhani namchukia, jamii nayo itanifikiria vingine. Utajikuta wewe mwenyewe unajiwekea mipaka hata kabla pilato hajakuhukumu kwa kuvuka mstari!! Pigo kubwa zaidi ni pale single mama atakapokutamkia kuwa unamtendea hivyo kwa sababu mtoto sio wako. Hapo utabaki kama mjinga fulani aliyepigwa bumbuwazi asijue aukabili vipi ukweli huu mchungu.

6. Chanzo cha vurugu kwenye familia. Hata ikitokea mmezaa watoto wengine, bado mapenzi hayawezi kuwa sawa. Single mama wana kawaida ya kuwaandalia mazingira watoto wa baba wengine tofauti hao wa baba waliye naye wakati huo. Hufanya hivyo kwa hofu kuwa watoto hawa mara nyingi hawana urrithi kwa baba aliyewalea. Hii huleta mgawanyiko mkubwa kwenye familia kiasi cha watoto wenyewe kuchukiana. Hata ndugu wa mwanamume hawawezi kamwe kumhesabu mtoto huyu kama sehemu ya familia kwa sabubu sio damu yao na anao ukoo mwingine kabisa. Hawezi kujitambulisha kwa jina la baba wa kambo kwa sabubu hana muunganiko wowote naye. Hata ikitokea baba mlezi amekufa, ukoo wake hauwezi kumhesabu mtoto huyu kama sehemu ya urithi. Tunajifunza kwa wanyama wengine pia kama simba, ambapo anapoinuka dume mwingine kuongoza majike, huua watoto wote àliowakuta kisha huanza upya kusaka watoto wake. Sasa sisi hatuwezi kuua, bali tunaweza kuepuka taabu hii kwa kutokuoa mwanamke mwenye watoto.

7. Mume wa kwanza ana nafasi ya kuendelea kumtafuna single mama atakavyo. Kwa kawaida mwanamke akishazaa na mwanamume, ule muunganiko huwa haufi. Tayari ni mzazi mwenza na hana cha khmficha tena, hivyo kupasha kiporo ni jambo la kawaida tu. Pia mama atataka mtoto amjue baba yake halisi kwa ajili ya siku zijazo, hivyo hawezi kujiweka mbali na mzazi mwenzake. Sasa mzazi mwenza ni juu yake kuamua kuendelea kumla ama la, kwani hakuna kutongozana tena, ni kupanga miadi tu na kukutana kuserebuka. Kidume wewe utageuzwa baba mlishi huku haki nyingine zote zikielekezwa kwa mwenye mwanaye.

Ukweli ni kuwa single mama anapopata mume, focus yake sio ndoa bali ni malezi ya mwanaye. Anataka uhakika tu kuwa mwanae ataishi na atapata matunzo bora ili siku za usoni aje kumsaidia yeye.

Ewe kijana, usijiingize kwenye mtego utakaoharibu maisha yako. Tafuta bikira atakayefunga kiapo nawe, achana na wanawake waliozaa hovyo kwa kukosa mwelekeo.

Hapa sijazungumza juu ya walioolewa kisha waume zao kufariki, kwani kwao hawa yako mambo mengi pia nyuma ya pazia ya kuchunguza.
 
Sasa hili uliloliongea ndiyo lilitakiwa lifanyike hata kwenye jamii ya sasa kwamba hata ikitokea mwanaume kampa mimba mwanamke basi amuoe huyo huyo na siyo kukataa mtoto na kumtupia lawama zote mwanamke
Hii sio concept mpya, tangu kale ilikuwa hivyo mpaka pale lilipokuja wimbi ka feminism. Zamani ilikuwa kijana akiacha maadili na kulala na binti, binti huyo aliambatana na wazazi wake kwenda kwa kijana husika. Huko ilipothibitiksa kilichofuata ni majadiliano ya mahari kwani tayari kijana alishajipatia mke.

Kama binti alijulikana kuwa ni mgawaji mzuri basi ilikuwa ni aibu ya familia yake na mara nyingi alifukuzwa nyumbani. Utaweza kusema kufukuzwa ilikuwa ukatili, lakini nakuhakikishia ilikuwa ni hatua sahihi ili kunusuru wadogo zake wasijeiga upuuzi huo. Huwezi kufundisha maadili wakati ndanikuna kahaba. Mabaya huvutia zaidi kuliko mema mpaka pale ubaya unapothibitika.
 
Kwahiyo taasisi ya ndoa siyo ya nani kumuonea nani huruma??
Angalia members wangapi wana mtazamo wako, but kupishana ni jambo jema ndio kujenga kwenyewe. Taasisi ya ndoa sio sehemu ya kutafutiua huruma, standards ni za juu.

Tuwalinde dada zetu na watoto wetu wasiingie kwenye huu mtego, nadhani hapa sijateleza
 
Binti ndiye anayechungwa, mvulana anaelekezwa tu aishije na aache mabaya. Ni maumbile hata kama hutaki
Mbona magonjwa nayo yanaua wote hayachagui maumbile??

Siyo sitaki ila huo ndiyo uhalisia acheni kuwa na akili za kushikiwa na mitazamo ya jamii fikirieni nje ya box!!
 
1. Ndoa kudumu kama unavyojua wewe kwani haujui maana ya ndoa kudumu??

2. Ndiyo maana nikakwambia nipe andiko linalomruhusu mwanaume kuwa mkorofi kwa mkewe au mwanaume kumpiga mkewe!!
1. Kumrudia muumba ni uhusiano binafsi na Muumba. Yeye anajua mioyo ya wanadamu. Ndoa kudumu ni jambo jema tu na ndicho tunachokitafuta. Sasa kudumu kwa ndoa kuna mambo mengi, labda ufafanue.

2. Mamlaka ya mume hayaondoki hata kama ni mkorofi, atabaki kuwa mume tu. Ndio maana kuna njia za kutatua migogoro, lakini hakuna atakayekuambia acha kumheshimu mume wako. Ukifanya hivyo ndoa hakuna
 
Fine, mwanamke ataitwa kahaba, mwanamume je? Mwanamke akitaka kutulia aolewe atasubiri sana, kwa waganga itakuwa kimbilio lake, mwanamume je? Heshima ya mwanamke kwenye jamii itaporomoka mpaka zero, mwanamume je? Think loud!!
Again unaongelea JAMII kwani what is JAMII kwani Jamii ndiyo Mungu??

Hii jamii imejaa maovu na mitazamo yake mingi inakinzana na maandiko sasa wewe unafuata mitazamo au unafuata maandiko chagua moja yaani kweli mtu anaogopa kuhukumiwa na jamii ambayo nayo imejaa maovu??

Badala ya kuogopa kuhukumiwa na Mungu mtu anaogopa kuhukumiwa na Jamii basi ndiyo maana wanaume wanafanya uzinzi na uasherati wanavyojisikia kwa sababu tu Jamii haiwahukumu na imewadanganya kuwa wao hawapati madhara lakini wanasahau kwamba ni dhambi kwa Mungu na anachukizwa na hayo matendo kwa jinsia zote!!

Jamii na Mungu ni vitu viwili tofauti na tena vipo kwenye ulimwengu wa aina mbili tofauti na mitazamo na maandiko pia ni vitu viwili tofauti na siku zote vinakinzana kwahiyo ni mtu kuchagua moja anafuata mitazamo ya Jamii au maandiko ya Mungu lakini eti hauwezi kusema unafuata mitazamo ya Jamii na maandiko ya Mungu kwa wakati mmoja utakuwa muongo!!
 
Sasa hili uliloliongea ndiyo lilitakiwa lifanyike hata kwenye jamii ya sasa kwamba hata ikitokea mwanaume kampa mimba mwanamke basi amuoe huyo huyo na siyo kukataa mtoto na kumtupia lawama zote mwanamke
Tatizo anakuwa na wengi. Inatakiwa aliyemtoa bikra, sio aliyempa mimba. Kuna tofauti kubwa hapo
 
Mbona single mothers wengi tu wanaolewa na ndoa zao zinadumu kwa amani??

Ndiyo maana nikakuuliza wewe mwenzetu unaishi kwenye dunia gani??
Narudia tena, wote wamekubali kutenda dhambi, wanalalana. Then what, wamemrudia muumba, mwanamume anatubu anaoa binti wa ndoto yake, mwanamke atafuta mume, bahati mbaya sifa zake ziko vinywani mwa jamii, hawezi kumpata mume wa ndoto yake.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hata hivo umejitahidi tangu Jana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe hii mada bado inatembea
 
Back
Top Bottom