Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sio lugha ya kwetu hiiNi lugha ya huko kwao. Ataachaje kuielewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lugha ya kwetu hiiNi lugha ya huko kwao. Ataachaje kuielewa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wengine lugha za watu tulianza kujua salamu na matusi kabla ya maneno mengine mfano kihaya nilianza kujua salamu nikafuata kujua matusi ila siyo kosa langu ni kosa la waliokuwa wananifundishaWatu tuliokulia vijijini hatupati tabu kuelewa lugha.
Labda wataniteta kwenye matusi na maneno mengine mengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wengine lugha za watu tulianza kujua salamu na matusi kabla ya maneno mengine mfano kihaya nilianza kujua salamu nikafuata kujua matusi ila siyo kosa langu ni kosa la waliokuwa wananifundisha
Ntaanzia wapi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo unafwata nyayo zake!??
Mpaka Sasa sijaona wa kumfikia kiranga.
Huyu jamaa Ni namba nyingine..
Sasa hizi sifa zimezidi za wahaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1373][emoji1373]Ntaanzia wapi.
Yule P. O. Lumumba anavyoongea hata akina David cameron au Donald Trump hawaongeagi vile na ndio wenye lugha hii, P. O. Lumumba anaongea zile zinaitwa "victorian words" ambayo asilimia kubwa hayatumiki siku hizi.
Ile chata acha kabisaKinaeleweka akiwa anateremsha mwingine...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mimi kingereza kigumu hicho sikiwezi kwa kweliIla kiboko Yao Ni kiranga
Basi akianza kubishana na watu kule kuhusu Mungu anang'ang'ania atumie kiingereza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa yaani na ukijichanganya havungi anakukosoa hapo hapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]loohMbona juzi tu amepost Uzi...akawa anawaponda wale waliotapeliana hela za memory [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti laki 2 tu ndio inawafanya wanaume wapigizane kelele,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana kawaida tu tena cha kwake kina kwikwi sometimes. Kwa maoni yangu ni Kiranga, Nyani, Lizarazu halafu na wengine wanafuatia....Ahahahah sema hata Mshana naye yuko vizuri yule
You are just taking me back to what I said earlier, I don't have to doubt my comprehension because I am absolutely sure that it is not frail.
Aisee huyo Prof P. O. Lumumba anapenda sifa ni balaha.
Aliwahi kuwa muadhiri na mkuu wa idara ya sheria chuo kikuu cha Nairobi, wanafunzi wake wanakwambia anavyoongeaga kwenye conferences mbali mbali ndio hivyo hivyo hata akiwa ana fundisha.
Yaani hili uweze kwenda nae sawa yapaswa ukae kamusi karibu.. Nilichoka nilivyoskia hayo.
Kama utakua umesoma vizuri mpaka mwisho mwadishi wa huu uzi ametoa condition ya kundi ambalo halipaswi kuwepo kwenye hii mada nalo ni hili la hao waliofiwa na waume zaoWatu wanataka tuishi kwa kukariri.
Yani mtu kashakariri kila single mom ni matokeo ya uasherati.
Wakati kuna wengine wajane wamefiwa na waume zao.
Embu acheni bhana.So if i may ask what actually did befuddle you and failed to grasp my comment if your comprehension is free from any form of frailty?
Hakika Yule ndio muhaya sasa tena wa muleba.
Hahaha!! Hao jamaa wawili hili lugha ya kuazima ilishakuwa kama yao kumbuka hata mazingira wanayoishi yana mchango mkubwa sana wao kuwa hivi tunavyowaona.
Na maria
Sasa huo utacheka Hadi utoe machozi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]looh
Tatizo hii lugha nayo pana mno!! Tena kwa sisi ambao hatuiongei mara kwa mara hatujui hata tofauti ya kimatumizi kati ya kundi moja na lingine kwenye neno lile lile.Siyo neno la Kisukuma. Na Kisukuma hakina r. Kukaa kimya ni gufumula (Kinyantuzu) au kufumula (kinang'weli)...
Halafu tabu mnapata wote hata ambaye ulikuwa nyumbani umelala, Mungu anawaona
Wote wako kwa Trump hao. Tena mmoja wao midola nje nje. Naomba niishie hapa...Oohh kumbe hawaishi bongo??