Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme hivyo kuna jamaa yangu alioa mwanamke ambae huyo mwanamke alisahaa mtoto mmoja sasa jamaa huu ni mwaka wa 8 hajawahi mpa mimba yule mwanamke ikabidi akamchukue yule mtoto wa mume mwenza saa banalea kama wake na anamshukuru munguUkimkuta hana bikra msamehe muoe, ila ukimkuta kazalishwa na ukamuoa naomba nikutunuku cheo cha "mjinga wewe" labda kama aliemzalisha kafariki lakini kama yupo hai usioe.
We jamaa wwNi uzembe wa hali juu sana kuzaa kabla ya ndoa. Ni mwanamke ndiye unayeamua ushike mimba au usishike. Sisi wanaume huwa tunatandika tu.....sasa kama you don't take care about yourself.
😂Fanya makosa yote, ila usioe mwanamke aliyeajiriwa
Salaam, nimekua sipo kwa muda mrefu ila hatimae nimerejea hewani shukrani kwa Muumba. Leo narejea online kwa kudadafua janga kubwa katika jamii, karibu: Kumekua na semina kibao za ndoa ila matatizo ya ndoa ndo yanapamba moto kila majogoo yanapowika. Modern marrages zimekua lege lege kama magoti...www.jamiiforums.com
Hivi ni mimi tu ndo nashangaa au kuna mwingine huko ?!
Ukizungumza na wanawake wenye kujitahidi katika masomo ngazi tofauti tofauti za elimu lengo lao HASA sio kusaidia familia zao hapana, wala kuendeleza ndoa zao badae hapana lengo kuu ni "sitaki kunyanyaswa na mwanaume" yani hili ndo limewakaa vema kwenye ubongo wao na kwa kweli linawapa msukumo...www.jamiiforums.com
Hivi ni mimi tu ndo nashangaa au kuna mwingine huko ?!
Ukizungumza na wanawake wenye kujitahidi katika masomo ngazi tofauti tofauti za elimu lengo lao HASA sio kusaidia familia zao hapana, wala kuendeleza ndoa zao badae hapana lengo kuu ni "sitaki kunyanyaswa na mwanaume" yani hili ndo limewakaa vema kwenye ubongo wao na kwa kweli linawapa msukumo...www.jamiiforums.com
Sijui unapitia nini ila lolote unalopitia Mungu akuvushe
Una akili ya kukariri. Dunia duara jaribu kutafiti matukio ya hii dunia utapata akili huru. Kwenye hii hii dunia Kuna aliyeoa binti na bikra yake kumbe alishatoa mimba tatu, single mother wa marehemu watatu na jamaa huwa ana mawazo kama yako' kila siku kusifia bikra. Sa hivi mtoto wake ni mweusiii, ye mweupe, anajinadi amechukua weusi wa wajomba zao. Wakati mwingine ni sahihi kuoa mwanamke ambaye alikosea huko nyuma akagundua ni wapi alikosea akarekebisha, anaweza kuwa Baraka kwako kuliko kuwa na formula yako ya bikira.Ukimkuta hana bikra msamehe muoe, ila ukimkuta kazalishwa na ukamuoa naomba nikutunuku cheo cha "mjinga wewe" labda kama aliemzalisha kafariki lakini kama yupo hai usioe.
kwani huwa wanabakwa??Wanaume ndiyo chanzo cha Single Mother.
hakuna mzazi/ mlezi wa kike( mama, shangazi,mamdogo) anayefurahi kuona kijana wake wa kiume anaoa mwanamke mwenye mtotoBikra hana na bado ni single mama kwakweli hapa tusameheane.
Labda kama aliyemzalisha kafariki ila kama yu hai ni big no.
Ukishindwa kuutumia ujana wako vizuri hayo ndo matokeo ya ulichokifanya
Narudia kusema kuwa kijana lijari kuoa single mama ni udhaifu na kuaibisha familia yenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmechekaFanya makosa yote, ila usioe mwanamke aliyeajiriwa
Salaam, nimekua sipo kwa muda mrefu ila hatimae nimerejea hewani shukrani kwa Muumba. Leo narejea online kwa kudadafua janga kubwa katika jamii, karibu: Kumekua na semina kibao za ndoa ila matatizo ya ndoa ndo yanapamba moto kila majogoo yanapowika. Modern marrages zimekua lege lege kama magoti...www.jamiiforums.com
Hivi ni mimi tu ndo nashangaa au kuna mwingine huko ?!
Ukizungumza na wanawake wenye kujitahidi katika masomo ngazi tofauti tofauti za elimu lengo lao HASA sio kusaidia familia zao hapana, wala kuendeleza ndoa zao badae hapana lengo kuu ni "sitaki kunyanyaswa na mwanaume" yani hili ndo limewakaa vema kwenye ubongo wao na kwa kweli linawapa msukumo...www.jamiiforums.com
Hivi ni mimi tu ndo nashangaa au kuna mwingine huko ?!
Ukizungumza na wanawake wenye kujitahidi katika masomo ngazi tofauti tofauti za elimu lengo lao HASA sio kusaidia familia zao hapana, wala kuendeleza ndoa zao badae hapana lengo kuu ni "sitaki kunyanyaswa na mwanaume" yani hili ndo limewakaa vema kwenye ubongo wao na kwa kweli linawapa msukumo...www.jamiiforums.com
Sijui unapitia nini ila lolote unalopitia Mungu akuvushe
Huo ndo uhalisia hakuna mzazi anayefurahia kabsa mwanae kuoa single mother nasema hakuna.hakuna mzazi/ mlezi wa kike( mama, shangazi,mamdogo) anayefurahi kuona kijana wake wa kiume anaoa mwanamke mwenye mtoto