Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..
Felister usinambie na wewe ni single mother?

Dah kama ndio hivyo aisee hawa wanaume wabaya sana,binti mpole kama wewe wanakuzalisha kisha wanasepa [emoji27]
 
Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..
Umeongea kwa uchungu sana single mother...
 
Wanaume wanaooa singomaza wanataniwa umeanza mechi ukiwa ushapigwa bao Yani 1-0
 
Waacheni single maza's waenjoy life...kwanza ukioa single maza unakua na uhakika wakupata mtoto, sio unaoa toto limetoa mimba saba hadi na kizazi mnaishia kuhama makanisa kusaka miujiza.
Pia single maza's watamu sana kwenye 6*6 wanatoa yote hawabaniiiii, unafaidi vinono.

Nitaoa yeyote mradi tuendane.
 
Aiseee!!!

Nipo tayari kukolekti povu lote litalofuata hapa, nina coaster kama tatu zinanisubiri nizioshe na bosi hajaacha hela ya sabuni
Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..
 
Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..

Babe achana naye huyo, ametoka usingizini huyu. Kwema lakini mrembo wangu Depal 🥰🥰
 
Waacheni single maza's waenjoy life...kwanza ukioa single maza unakua na uhakika wakupata mtoto, sio unaoa toto limetoa mimba saba hadi na kizazi mnaishia kuhama makanisa kusaka miujiza.
Pia single maza's watamu sana kwenye 6*6 wanatoa yote hawabaniiiii, unafaidi vinono.

Nitaoa yeyote mradi tuendane.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..
Duuh we kumbe ni mkalii
 
[emoji2][emoji2]
Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/

Acha hizo kijana..
 
Back
Top Bottom