Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Habarini wakuu.wa hii medula ya kichwa na masikio mixer macho yasiokuwa na machozi.senku kwa promotafor promotion.

Niingie kwenye uzi moja kwa moja .Kuna bi dada ni single mother ila katokea kunipenda sana tena sana .Kutaokana na harakati za hapa na pale tulipotezna kimawasiliano ila kwa sasa tupo pamoja na ananipenda sana.

Nikisema ananipenda coz hata siku moja hakuwahi kunipiga vibuti kama girls wengine ana niheshimu sio muongo wala hana habari za nitumie cjui nn..

Ila mtoto wake ana kaa kwa dada yake uko mkoana si tunaishi dar na anafanya kazi ya bar us muhudumu.

Ila kilichonishangaz kuna cku aliniambia naumwa nikamuuliza nn akanijibu kuwa anataka akatoe vijiti vya kuuzuzia mimba nikamuuliza uliweka vya nn akaniambia alikuwa ajui kuchza na kalenda

Swali likabaki for medula Je wadau hapa siibiwiii au ndio natafutiwa kifo cha kuaga dunia kwa magonjwa .

Senk mabaria tupia neno hapo down mniokoe baharia nisije kufa[emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
painboy, Wewe unaonaje kwani? Sema kama vipi temana naye.

Anyways.

Kila mtu ashinde mechi zake!
 
Kwani we unaonaje au umeamua vipi na halimashauri ya ubongo wako ?

Maana mfano tunaweza kwambia achana nae je utaachana nae ?na bado mnapendana
Usiniambie kwamba hujachanganua hilo au hujui itakuwa ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom