Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

Labda kama umefika mjini sikuhizi,

hizo story kwa sasa zimepungua sana, miaka ya 2000 hadi 2010 zilikuwa zimeshamiri kila kona.

Kwa sasa kelele zimepungua watu hatuambiwi tunaenda wenyewe maduka yao tunaona wanavyopambana,, wana nidham kali ya pesa duka kubwa ila chakula kinapikwa nyumbani kupunguza gharama, wanauza vitu kwa bei rafiki (hawana tamaa ya faida kubwa sana), mteja hata uende duka kubwa unaheshimiwa ukinunua sindano ya mia, uaminifu upo, n.k.

hata kama kuna ndumba basi jitihada ni kubwa zaidi kuzidi msaada wa ndumba.

kama ni ndumba kwanini wafanyabiashara wengine wanaotokea mikoa maarufu ya ndumba kama sumbawanga, tanga, katavi, n.k. hawafikii huko ??
 
Miaka ya hivi karibu I jamii ya wakinga ni kama imeamua kua serious kupambana na umaskini.

Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki

Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yan blah blah kibao.

Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikua zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi,mchawi na vitu kama hivyo.

Mtu alikua akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.

Sasa hivi wakinga wanaumoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.

Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli

wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe

Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.

BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
Ungekuwa unamfahamu MWAKIPAANDE basi ungeweza kwa kiasi fulani kukubaliana na dhana ya wanaosema wakinga wanatumia uchawi ktk kufanikiwa kwao.

Sasa jitahidi sana umjue huyo mtu na historia yake
 
Ni wapi waliko waganga hao?
Muulizie mwakipaande ingawa alifaruki ila alimrizisha mwanae ambae alikuwa akiishi mwanza wakati wa miaka ya 2000, sjui kwa sasa yuko wapi.
Huyo ndo alikuwa mtaalam wa makafara ya kujipatia pesa.
Nikiwa na muda nitawaletea hadithi ya ukweli ya mkinga aliyetaka kumtoa mkewe kafara, wakati huo huyo mkinga alikuja Dar kutoa gari mpya bandarini akamwambia mkewe amfuate dar ili warudi pamoja................kilichofuata anajua mkewe(ambae aliondoka kwenye ndoa baada ya tukio hilo) na dereva alokuwa amlete mke dar............
 
Wabena wanaingiaje hapa? Ama kweli mafanikio huleta ukaribu wa kulazimisha
wabena na wakinga ni walewale ndugu, tofauti yao wengine wanatoka makete wengine wanatoka njombe, ila tabia zao za ushirikina ni zilezile tu, na waganga wao ni walewale tu. ndicho nilichomaanisha. binafsi sio mbena na nisingejisikia ufahari kuwa mkinga au mbena. wala silazimishi undugu nanyi. nimeongea kwasababu nawajua nilishawahi kuishi maeneo ya njombe, mbeya, tunduma na iringa, sitamani tena kuishi nyanda za juu kusini, nimewaachia weneywe. sisi tukiwaangalia huwa tunawaona ni wale wale tu kumbe ninyi huwa mnajitofautisha kwa ubora wa viwango vyenu.
 
Miaka ya hivi karibu I jamii ya wakinga ni kama imeamua kua serious kupambana na umaskini.

Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki

Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yan blah blah kibao.

Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikua zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi,mchawi na vitu kama hivyo.

Mtu alikua akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.

Sasa hivi wakinga wanaumoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.

Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli

wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe

Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.

BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
Kwa hiyo wanaopambana ni wakinga tu!!??
Hizi akili fupi zitaisha lini?
 
nimekua karibu na wakinga naeza kusema nawajua vizuri. zaman wakinga wengi walikuwa ni jamii maskini sana (ule umaskini mbwa mbwa kabisa) tu kama zilivyo jamii zetu nyingi. wengi walikuwa wanafanya kaz za kuhemea vibarua vidogo vidogo majumban na hasa mashamban yani kam una kikaz chako unamuita anakufanyia.

kilichowainua wakinga ni nidhamu ya juu sana ya kutafuta na kutunza pesa [jamaa sio watumiaji wa pesa]

mkinga anaweza kuwa na burungutu la ela lakini ukakuta anashindia vipande vya mihogo vya mia tano. wako ivo.

cha pili ni wachapakazi sana na wako focused kupita maelezo. anaweza kuwa na duka lakin lazima awe na mashamba yale makubwa uko kwao sio ajabu kukuta tajiri mkubwa tu apo town lakn ana heka 200, 300 au 400 za mazao uko porini.

ni watu wavumilivu na sio watu wa kuendekeza anasa au maisha ya show off kifupi sijapata kuona jamii kama iyo. wanafocus kwenye mambo yao zaidi sio watu wa kupenda kuongeaongea.

hayo mambo ya uchawi kuna jamii gani ya apa tz haina uchawi mbona awaupati uo utajiri? ingekuwa uchawi una maajabu wale watu wa songwe na wenzao wa sumbawanga si wangekuwa matajiri wakubwa sana?
 
Ivi tofauti ya wakinga na waha ni ipi kwenye biashara?
Hamna chochote kick tu za kishamba huyo vunjabei kapawa kichwa, biashara ya kumiliki assets kibao hazina mpango dunia imehamia kweny teknolojia.
wakinga , waha na wasambaa biashara zao za kumiliki assets kaboa faida kidogo , sio labda wanamiliki viwanda ni wazee wa kuagiza kupta commissions.
 
Muulizie mwakipaande ingawa alifaruki ila alimrizisha mwanae ambae alikuwa akiishi mwanza wakati wa miaka ya 2000, sjui kwa sasa yuko wapi.
Huyo ndo alikuwa mtaalam wa makafara ya kujipatia pesa.
Nikiwa na muda nitawaletea hadithi ya ukweli ya mkinga aliyetaka kumtoa mkewe kafara, wakati huo huyo mkinga alikuja Dar kutoa gari mpya bandarini akamwambia mkewe amfuate dar ili warudi pamoja................kilichofuata anajua mkewe(ambae aliondoka kwenye ndoa baada ya tukio hilo) na dereva alokuwa amlete mke dar............
Mkuu tupe story kidogo
 
Back
Top Bottom