Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

Ni
Huwa najiuliza.

Kama ni uchawi makabila yote ni wachawi.

Na najiuliza kwa nini wakinga leo na sio zamani. Kilochotokea kwa wakinga kimeshindikana vipi kutokea kwa makabila yote.

Huwa najiuliza wanatumia mbinu zipi ambazo wengine hawana?

Kwa ufupi jamaa nimetokea kuwapenda na kuwakubali sana. Wiki hii nilikuwa na mshkaji wangu mkinga ananitembeza madukani kwake kkoo. Alianza kama mbeba mizigo naa sasa ni milionea chini ya bosi wake mkinga mkuu.

Tatizo yeye haongei sana, anatenda sana kiasi kwamba huwezi kupata details zote.
Kupe mfano mmoja tu soko kuu sumbawanga limetawaliwa na wakinga kwa asilimia 90, na 10% ni watu wanao uza nyanya michicha mbogambona, huwezi kukuta makabila mengine kwenye hilosoko kwasababu moja tu kama wewe si mshirikina utopata wateja siku nzima.

Na maisha ya wakinga nikufungua mapema apo sokoni kwani ukichelewa jua huto pata wateja lazima wakuwekee madawa tu! Kwahiyo kabla soko alijafunguliwa wanawahi magetini ili kuwahi kufika eneo analo uzia kablaawaja weka vitu vyao.Wakinga wengi na ushirikina ni kitu kimoja☝.
 
Wakinga zaidi ya masharti hayo la kwanza lazima umuue au umfanye msukule ndugu wa karibu. Yaani Mama, mtoto wako au mdogo wako.

Mali za Wakinga ziangalie hivyo hivyo ila ni mateso matupu, zote ni mauzauza tu. Unakuta mtu ana hoteli ya kisasa lakini analala kwenye chumba cha stoo na mabox
Hii ubongo wako unakuaminisha ivyo Mana labda mmezidiwa. Yaani akifanikisha mwingine mwizi ama kafara Ila ukifanikisha wewe Ni mjanja. Ubongo una kitu kinaitwa self service
 
Getting rich is a taboo topic in our
society. Go outside and tell someone, “I am
going to become super rich,” and they will
think you are crazy. Get rich and then openly
tell people, “I am rich,” and society will label
you a greedy, gluttonous, elitist pig. Tell them
you are poor and they will show you sympathy,
but tell them you are rich and they will despise
you.
The truth is, getting rich—even super
rich—shouldn’t be taboo, it should be your
battle cry.
"Very few people even know how to get money, even fewer know
how to keep it,and almost no one knows how to multiply it."

When you are brought up poor or middle class, you inherit the beliefs of the poor and the middle class. You’re stuck with their ideas. The simplicity of money and economics is not nearly as complicated as the schools, universities, economists, and fnancial channels make it out to be.

Money, economics, and amassing
fnancial freedom is actually very simple.
For instance, anyone who tells you that
money won’t make you happy never had
enough money to know whether it would or it wouldn’t. This idea is born from those who try to make sense of why they don’t have money. People justify it and try to make sense of their condition in life.


Financial freedom is two parts mental and one part mechanical. And
you have to get your mental part right frst.
What I mean is that you probably need to
lose your mind frst, including many of the
beliefs you were brought up with.

Complaining, moaning, and groaning
will not increase your income. Make the
commitment to create wealth, be ethical on
your journey, and do whatever it takes until you achieve it. Let’s face it, being broke is unethical. When you commit you will find a way and it never
means you have to be unethical.
 
Ivi tofauti ya wakinga na waha ni ipi kwenye biashara?
Watu wengi wanadhania watu wanaopambana ni Wakinga sijui Wachaga ila ukizunguka nchi hii mikoani huko,Migodini na kwenye sekta ya kilimo na mifugo utajua kabisa ni mambo ya kukalili tu ila uhalisia watu wanapambna haijalishi ni kabila gani japo upamabanaji pia unatofautiana!
 
Hii ubongo wako unakuaminisha ivyo Mana labda mmezidiwa. Yaani akifanikisha mwingine mwizi ama kafara Ila ukifanikisha wewe Ni mjanja. Ubongo una kitu kinaitwa self service
Ndugu ni kweli yaani kufanikiwa mbele ya mkinga jua ni jeneza linakusubiri tumepoteza ngugu wengi kwa njia hii ya kushindana biashara na wakinga.
 
Ndio maana yataawaliwa sana
Kuna vijana wana mifugo na wanatengeneza hela kibao ukiangalia YouTube nchi zingine jirani
Ila sisi tz YouTube wamejaa kina joti, na mpoki tu
Ug kuna jamaa anauza mayai mpaka 21m kwa mwaka
Ghana kuna kijana 23 ana mifugo, yeye ni kuwapa lishe na kuwanenepesha na kuwauza
Wanaanza na mtaji mdogo tu
Sasa kijana mswahili anataka awe na duka kariakoo just like that
Hapo ndio wanaanza kutafuta mganga yaani mganga hata viatu hana
Nakupata.
 
Ni

Kupe mfano mmoja tu soko kuu sumbawanga limetawaliwa na wakinga kwa asilimia 90, na 10% ni watu wanao uza nyanya michicha mbogambona, huwezi kukuta makabila mengine kwenye hilosoko kwasababu moja tu kama wewe si mshirikina utopata wateja siku nzima.

Na maisha ya wakinga nikufungua mapema apo sokoni kwani ukichelewa jua huto pata wateja lazima wakuwekee madawa tu! Kwahiyo kabla soko alijafunguliwa wanawahi magetini ili kuwahi kufika eneo analo uzia kablaawaja weka vitu vyao.Wakinga wengi na ushirikina ni kitu kimoja☝.
Mbonq nchi nzima washirikina. Wao wananini cha ziada.
 
Huwa najiuliza.

Kama ni uchawi makabila yote ni wachawi.

Na najiuliza kwa nini wakinga leo na sio zamani. Kilochotokea kwa wakinga kimeshindikana vipi kutokea kwa makabila yote.

Huwa najiuliza wanatumia mbinu zipi ambazo wengine hawana?

Kwa ufupi jamaa nimetokea kuwapenda na kuwakubali sana. Wiki hii nilikuwa na mshkaji wangu mkinga ananitembeza madukani kwake kkoo. Alianza kama mbeba mizigo naa sasa ni milionea chini ya bosi wake mkinga mkuu.

Tatizo yeye haongei sana, anatenda sana kiasi kwamba huwezi kupata details zote.
Nawe ukaamini kabisa hizo ngonjera? Kweli akili ni nywele kila Mtu ana zake...[emoji38]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
M
Mswahili kumuaminisha kuwa anaweza bila uchawi, ni ngumu sana kwani 90% wanaamini ushirikina ingawa wengi wanachifanya kumuamini Mungu ila wanaigiza sana

Hamiwezi kuendelea kana mnaamini kafara wee ziba masikio pambana na hali yako na uwe na malengo
Hayo makafara ndio yanawafanya hata wenye elimu wanaamini ujinga huo badala ya kubuni au kuanzisha miradi yao endelevu

Vijana huko Kenya, Ug na hata Ghana wanapambana haswa na wapo wenye pesa haswa
Ila mswahili anaona kuanza kitu from scratch ni ngumu lazima aende kwa mganga asiekua hata na million

Marafiki zangu wengi ni wakinga.

Wana pesa mno
na niWashirikina.
Mungu wao ananguvu kuliko mungu wenu,ushirikina nindhana tu.
 
M



Mungu wao ananguvu kuliko mungu wenu,ushirikina nindhana tu.
Kwa hiyo washirikina wana mungu wao kivyao ama?
Ndio anaewatuma watoe kafara mama na watoto?
Au sijakuelewa
Hebu fafanua hapo huyo mungu ni yupi? Wa wachawi?
 
Kuna kipindi nikikuwa kwa wabena huko njombe, wale ndugu wananidhamu ya pesa isiyo elezeka.

Mzee alikuwa ana muasa mwanaye anaekaa dar jinsi ya kutunza pesa, jinsi alivyokuwa anamuelekeza kama ndio falsafa yao ipo hivyo kwenye hela acha watoboe tu.

Kingine ni umoja, wanaumoja wa kusaidiana na kupeana ramani, unakuta kijana amepewa shamba amepanda miti, baada ya miti kukua walao miaka 7 mpaka 10 anakuja mjini kujishikiza kwenye biashara ya ndugu yake, baada ya miaka miwili unakuta nae anaagiza mzigo china, hapo hapo wabongo tunaanza kumuita freemason!
 
Kuna kipindi nikikuwa kwa wabena huko njombe, wale ndugu wananidhamu ya pesa isiyo elezeka.

Mzee alikuwa ana muasa mwanaye anaekaa dar jinsi ya kutunza pesa, jinsi alivyokuwa anamuelekeza kama ndio falsafa yao ipo hivyo kwenye hela acha watoboe tu.

Kingine ni umoja, wanaumoja wa kusaidiana na kupeana ramani, unakuta kijana amepewa shamba amepanda miti, baada ya miti kukua walao miaka 7 mpaka 10 anakuja mjini kujishikiza kwenye biashara ya ndugu yake, baada ya miaka miwili unakuta nae anaagiza mzigo china, hapo hapo wabongo tunaanza kumuita freemason!
Hili jambo nimelisikia sana vijana wengi wa njombe waliachiwa miti na wazazi wao sasa mtu anavyoona mkinga anakuwa kwa Kasi kwenye biashara anakuwa anahisi uchawi
 
Nimemaliza siwezi tetea watu ambao wanataka labda uuze mchicha na mbogamboga ndo watakuacha vinginevyo wakinga wasikiage tu kwenyeaduka yao.
Hawa wapo kitambo usukumani huko kila kona wamejaa lakini bado wajomba wanaungaunga tu.
Tafuta sababu za msingi mkuu
 
Back
Top Bottom