monga farm
Member
- Jun 25, 2021
- 89
- 163
Hahaha maharage ndo mboga kuu ya wakinga,vp umekua sasa tuambie ulaji wako upoje sasa unajitegemea??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cargo,Simba wa BahariMapembelo
Kweli kabisa mkuuHafahamu kama uko mbele toka miaka ya 70s, of course biashara za kiafrika na ushirikina hazipishani lakini ushirikina sio kigezo cha mafanikio na sio wote waliofanikiwa basi wamepitia huko, wakinga wapo wanaopitia hizo ndagu ila siri nyingine ya wakinga wanamiliki maekari ya miti mikaratusi na mipaina so unaweza kuona mtu anabiashara ya kawaida kumbe ana hekari 100 za miti baada ya miaka 8-10 akipasua mbao tayari anapata mtaji was kuanzisha biashara kubwa kariakoo.
🙄🙄WewCargo,Simba wa Bahari
Wasukuma madoni TZ yote, zunguka mikoani ujionee si kukariri hapo usukumani tu, Mtu mmoja tu ana eka 500 za mashamba, ng'ombe zaidi ya 6000, nyumba za kupanga 60, bado ni maskini?Hii nayo ni sababu ya msingi sana ambayo haisemwi. Uchawi usukumani karibu kila familia inamganga na kila kitu hata kuandaa shamba lazima waloge. Misukule ya kutosha lakini wengi wanaungaunga tu.
Kuna rais aliyeasisi ukabila kama marehemu magufuli=msukuma?Katika kundi la wasukuma 10 basi 9 wana chale maeneo mbalimbali ya miili yao, ila wasukuma ndo kabila pekee Tanzania unaoweza kuishi nao na mkapiga Moshe vizuri kabisa hawana wivu wala roho mbaya wala ubaguzi wa dini,kabila au ukanda tofauti na makabila kama wachaga,wahaya,wambulu
Safari njema Berlin na Amsterdam ya Buza Makangarawe.Hata nikisema haitakusaidia chochote
Nimepambana sana kwa miaka zaidi ya 40
Leo wanangu hawana dhiki na mimi nakula maisha huku bado napambana
Kuna bank holidays 2 mwezi may nategemea moja niende Berlin na nyingine ijayo Amsterdam
Kuna lingine boss?
Sio kujisifu bali maisha nayamudu
Ulitaka niwapige picha wakilala kwenye maboksi? Je wakiniona si wangenitoa kafara hata mimimim nikajua unetuma picha ya wahenga wakiwa wabatoa kafara au wanalala kwenye chumba cha stoo kumbe maneno tu😂
Masikini utamjua tuSafari njema Berlin na Amsterdam ya Buza Makangarawe.
Kwani anayetambia kwenfa Amsterdam na Berlin ni nani? Si ni wewe!! Mimi nimekupongeza tu kwa kusafiri kwa ndotoMasikini utamjua tu
Kwa hiyo kusafiri London to Amsterdam unaona ni pepo eti?
Pole sana
Utabaki kusindikiza tu na roho ya kwanini 😄
Kwa wewe ni ndoto ila mimi naishi kiuhalisiaKwani anayetambia kwenfa Amsterdam na Berlin ni nani? Si ni wewe!! Mimi nimekupongeza tu kwa kusafiri kwa ndoto
Dunia huku Afrika ilikuwa gizani bado, now watu wapo kwenye mwanga!.Mbona wachaga hawakuhusishwa na makafara
Ungekuwa unaishi huko usingekuwa limbukeni wa kujisifia kwenye mitandao. Pimbi uko Kigogo hapo unapigwa na mafuriko tuKwa wewe ni ndoto ila mimi naishi kiuhalisia
Usiumie kwa kukosa bali umasikini ni Laana, na inakufanya uwe na roho mbaya
Relax mkuu usione kila anae comment humu ni jirani yako
Tembelea forums za Dunia utajifunza uhalisia hata kama ni masikini usiumie kwa waliokuzidi bali pambana na wewe ufike mahali
Walioishi iringa nao hawawafaham wakinga?Kwanza kuwazungumzia wakinga angalau uwe umeishi hii mikoa Njombe, Mbeya kama sivyo kwa asilimia kubwa utakuwa unajidanganya kuhusu wakinga.
Nakumbuka sana maisha ya Mbeya na Njombe ila wakinga😎
Wakinga wa Iringa hawana mauza uza sana.Walioishi iringa nao hawawafaham wakinga?
PoleUngekuwa unaishi huko usingekuwa limbukeni wa kujisifia kwenye mitandao. Pimbi uko Kigogo hapo unapigwa na mafuriko tu