Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hii ishu nilisikia kariakoo kwa jamaa anasema hata uweje huwezi kuwadhulumu hata kuwaibia , mzigo watatuma popote ila usipotuma pesa umeisha.mtazunguruka saana, ila ukitaka kuwajua wakinga na wabena wakoje, waibie au wadhurumu. hutakuwa mbishi tena.
https://jamii.app/JFUserGuide all kinganian mama e zenu yaani mtu akifungua biashara inayofanana na biashara ya mkinga pembeni yake yaani ameisha maendeleo utayasikia kwa jilaniMiaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini.
Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki.
Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yaani blah blah kibao.
Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikuwa zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi, mchawi na vitu kama hivyo.
Mtu alikuwa akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.
Sasa hivi wakinga wana umoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.
Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli.
Wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe.
Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.
BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
Wanyama Hotel alikufa na hoteli ikapigwa mnada. Vifo vyao vinatokana na kukiuka mashartiWanyama Hotel
Hata ukivunja mlango usiku na ukabeba mali ya duka la Mkinga, asubuhi utakuta limejaa tena.Hii ishu nilisikia kariakoo kwa jamaa anasema hata uweje huwezi kuwadhulumu hata kuwaibia , mzigo watatuma popote ila usipotuma pesa umeisha.
Sina uhakika ila kusema ukweli hili kabila nimelijua kama mwaka 2014 hivi.. Wengi niliokuwa nawajua wahehe kumbe wakinga.
***** wewe yaani wakinga sio wachawi lakini ni washirikina mbwa hawa ukitaka kufanikiwa mbele ya mkinga uzaga tu mchicha na matembele vinginevyo😰😰😢😭😭.nimekua karibu na wakinga naeza kusema nawajua vizuri. zaman wakinga wengi walikuwa ni jamii maskini sana (ule umaskini mbwa mbwa kabisa) tu kama zilivyo jamii zetu nyingi. wengi walikuwa wanafanya kaz za kuhemea vibarua vidogo vidogo majumban na hasa mashamban yani kam una kikaz chako unamuita anakufanyia.
kilichowainua wakinga ni nidhamu ya juu sana ya kutafuta na kutunza pesa [jamaa sio watumiaji wa pesa]
mkinga anaweza kuwa na burungutu la ela lakini ukakuta anashindia vipande vya mihogo vya mia tano. wako ivo.
cha pili ni wachapakazi sana na wako focused kupita maelezo. anaweza kuwa na duka lakin lazima awe na mashamba yale makubwa uko kwao sio ajabu kukuta tajiri mkubwa tu apo town lakn ana heka 200, 300 au 400 za mazao uko porini.
ni watu wavumilivu na sio watu wa kuendekeza anasa au maisha ya show off kifupi sijapata kuona jamii kama iyo. wanafocus kwenye mambo yao zaidi sio watu wa kupenda kuongeaongea.
hayo mambo ya uchawi kuna jamii gani ya apa tz haina uchawi mbona awaupati uo utajiri? ingekuwa uchawi una maajabu wale watu wa songwe na wenzao wa sumbawanga si wangekuwa matajiri wakubwa sana?
Mkuu wabena sio wakinga hao wakinga ndo wana mambo yao sisi wabena hatuna kabisa shiriki 😎😎Wakinga na wabena njoo hapa mtoe michango yenu Siri ya mafanikio yenu Nini kwasababu gani mali zenu zinahusishwa na utoaji wa kafara
Huniambii kitu kuhusu Wakinga. Mimi ni mzaliwa wa Mbeya. Hawa tunao sana wala hatuwaonei wivu kwa vile wanaishi maisha ya kitumwa na kijima sana.nimekua karibu na wakinga naeza kusema nawajua vizuri. zaman wakinga wengi walikuwa ni jamii maskini sana (ule umaskini mbwa mbwa kabisa) tu kama zilivyo jamii zetu nyingi. wengi walikuwa wanafanya kaz za kuhemea vibarua vidogo vidogo majumban na hasa mashamban yani kam una kikaz chako unamuita anakufanyia.
kilichowainua wakinga ni nidhamu ya juu sana ya kutafuta na kutunza pesa [jamaa sio watumiaji wa pesa]
mkinga anaweza kuwa na burungutu la ela lakini ukakuta anashindia vipande vya mihogo vya mia tano. wako ivo.
cha pili ni wachapakazi sana na wako focused kupita maelezo. anaweza kuwa na duka lakin lazima awe na mashamba yale makubwa uko kwao sio ajabu kukuta tajiri mkubwa tu apo town lakn ana heka 200, 300 au 400 za mazao uko porini.
ni watu wavumilivu na sio watu wa kuendekeza anasa au maisha ya show off kifupi sijapata kuona jamii kama iyo. wanafocus kwenye mambo yao zaidi sio watu wa kupenda kuongeaongea.
hayo mambo ya uchawi kuna jamii gani ya apa tz haina uchawi mbona awaupati uo utajiri? ingekuwa uchawi una maajabu wale watu wa songwe na wenzao wa sumbawanga si wangekuwa matajiri wakubwa sana?
Wabena wachache siyo wote. Mfano ni yule marehemu Widambe aliyefia kwa ajali pale Mnazi Mmoja miaka ya mwanzo ya 2000.Mkuu wabena sio wakinga hao wakinga ndo wana mambo yao sisi wabena hatuna kabisa shiriki 😎😎
Mama yangu ni Mkinga, ilikuwa inawezekana kula maharage+ mchicha week nzima wakati ndani ana Mil 20Sharti la kwanza la Wakinga ni ubahili. Sharti la pili ni kusaidiana.
Tukiwa wadogo Mbeya kulikuwa na msemo, "Mbahili kama Mkinga!!"Mama yangu ni Mkinga, ilikuwa inawezekana kula maharage+ mchicha week nzima wakati ndani ana Mil 20
Siku hizi hawa wenye haya maneno sio tu siwapendi siwasikilizi wala siwapi muda. Ni ujinga tu, Kama ishu ni kutoana misukule, watu wameanza hizo mishe tangu enzi za zinjantropa huko oldonyo Lengai.Mswahili kumuaminisha kuwa anaweza bila uchawi, ni ngumu sana kwani 90% wanaamini ushirikina ingawa wengi wanachifanya kumuamini Mungu ila wanaigiza sana
Hamiwezi kuendelea kana mnaamini kafara wee ziba masikio pambana na hali yako na uwe na malengo
Hayo makafara ndio yanawafanya hata wenye elimu wanaamini ujinga huo badala ya kubuni au kuanzisha miradi yao endelevu
Vijana huko Kenya, Ug na hata Ghana wanapambana haswa na wapo wenye pesa haswa
Ila mswahili anaona kuanza kitu from scratch ni ngumu lazima aende kwa mganga asiekua hata na million 5
Jamii ipi iliyoamua kuacha kupambana?Miaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini.
Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki.
Unfortunately maneno yamenza mara uchawi mara kafara yaani blah blah kibao.
Ukweli mchungu jamii nyingi za Tanzania zamani zilikuwa zinahisi pesa ni mbaya yaani ukiwa tajirii utasemwa wewe ni fisadi, mchawi na vitu kama hivyo.
Mtu alikuwa akiwa na uhakika wa kula basi ana relax pasi kuangalia future generations.
Sasa hivi wakinga wana umoja wa kuinuana kiuchumi hasa kwenye biashara.
Haya maneno nahisi yatawatoa kwenye reli.
Wachaga walisemwa vibaya sana kuhusu pesa miaka ya nyuma Ila wakawa kama kisiki Cha mpingo hawakujali Wala nini. HADI Leo bado wanasema Ila hawajali chochote wao ni pesa na pombe.
Ieleweke dunia ya Leo culture ni moja tu ambayo ni HELA.
BILA HELA UTAISHI KWA MATESO SANA DUNIA YA LEO
Kasisi huyo, kuna siku nimemkuta anasimamia ujenzi nikahisi ni kibarua kumbe ndo boss, kavaa ndala na pensi ya jeans ilyokatwa,yaani Nina pesa hata kuvaa nisivae vizuri?Huniambii kitu kuhusu Wakinga. Mimi ni mzaliwa wa Mbeya. Hawa tunao sana wala hatuwaonei wivu kwa vile wanaishi maisha ya kitumwa na kijima sana.
Ina maana gani umiliki hotel kama Paradise ya Soweto Mbeya na Duka kubwa la jumla kuliko yote halafu unaishi Ilemi kwenye nyumba ya matofali yasiyo chomwa ? Unatafuta mali kwa ajili ya nani?
Matajiri wote Wakinga wa Mbeya waliokuwa na mali miaka ya 1980s baada ya kufa hakuna hata ambaye mali imehamia kwa wanaye. Cheki Nkwenzulu Motel, Memba, Tweve na Fresh ya Shamba.
Lakini Wahindi waliokuja Mbeya miaka ya 1930 kama Kanji Lalji, Dandhoo, Hussein Lalji, Shariff Alwi Ahmed bado vizazi vyao vinaendesha biashara.
Nafuu niishi maisha ya ukweli bila mali kuliko maisha ya Wakinga na masharti. Ni utumwa tu huo
Ndio maana watatawaliwa sanaSiku hizi hawa wenye haya maneno sio tu siwapendi siwasikilizi wala siwapi muda. Ni ujinga tu, Kama ishu ni kutoana misukule, watu wameanza hizo mishe tangu enzi za zinjantropa huko oldonyo Lengai.