Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu naona wako over occupiedWatu siku hizi hawana time na mijadala migumu automatically hawaitajiki wala hakuna gap
Wale kompyuta zao ziliingia majiWazee wana story za Fix ao sijui wanazitoga wapi
Nilijua tu mkuu, pole sana naona kijiwe kiko moto sana siku hizi mbili 3Ni kweli mkuu sipumziki kabisa over time kama zote huku stendi[emoji30]
Faiza kawa mheshimiwa mkubwa kabisa.Niamini mimi.Jamani wanjf Ni muhimu pia kutafutana ikiwa Kama tuko jukwaa moja la JamiiForums, hao watu tajwa hapa juu na wengine wako wapi? Tumemiss nyuzi zao😵NGEZEA WENGINE AMBAO WAMEPOTEA KWENYE JUKWAA HILI.Tuwapate.
Hahaha Malaria Sugu alisumbua sana enzi zake
Bibi shikamooYupo.
Salaamoun Aleykum.
Huyu hapa,we unastahili tuzo japokuwa kaudini kamekukaaYupo.
Salaamoun Aleykum.
hivi picha uliyo iweka kwenye profile yako ndio wewe au ndugu yako?