Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bi Faiza wewe siyo ndiyo mama yetu aseeeh aka Hangaya?Yupo.
Salaamoun Aleykum.
Siku hizi ni mijadala ya kula tunda kimasikhara.Watu siku hizi hawana time na mijadala migumu automatically hawaitajiki wala hakuna gap
Hapa JF wengi wao sio manaswara. Bali ni wapagani waabudu sanamu.Nafurahi kuona umerudi. Kuna maswali mengi wameuliza manaswara. Ukipitia utaona wape majibu. 😅😅
Nilimfanya aombe permanent banRebecca nae kapotea sana
Kachakazwa na maisha hata mb za kingia humu Hana!Msalani naye Yuko wapi?
KICHWA KICHAFU ni mzima wa afya
🤣🤣🤣Huyu bibi umri umesonga...inaelekea macho yanampa shida.
Ila ukitaka kumwona anzisha uzi wa malumbano ya dini(ukristo na uislam).