Wako wapi hawa watu? Faiza Fox, Kichwa Kichafu na Wa Stend

Wako wapi hawa watu? Faiza Fox, Kichwa Kichafu na Wa Stend

watu wamebadili I'd tuu humu.eiza watongoze au watongozwe🤣🤣🤣🤣suinajua tena..
 
AlhamduliLlah macho yangu mazima kabisa.

Kwa kukujuza tu, kwa teknolojia ya sasa, macho si tatizo, hata walemavu wa macho wanaingia mitandaoni bila wasiwasi.
Karibu tena Bi. Mkubwa.
 
Kwani COVID-19 iliacha wangapi hai? Halafu siku hizi hawatangazi maambukizi na idadi ya vifo. Jana tu nimemuona PM katinga Barakoa sehemu sehemu. 😁 😁
 
Salama humu ndani? Tupo tuna majukumu mengine sasa. Hapa kazi yetu ilishamalizika. CCM ipo katika mikono salama. Hakuna upinzani tena
 
Back
Top Bottom