Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Atakuwa ni yule mwandishi wa nani hii ambaye amefunga ndoa majuzi kati hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa ni yule mwandishi wa nani hii ambaye amefunga ndoa majuzi kati hapo.
Hongera zakeFaiza kawa mheshimiwa mkubwa kabisa.Niamini mimi.
Mamndenyi upo?Atakuwa ni yule mwandishi wa nani hii ambaye amefunga ndoa majuzi kati hapo.
Mamndenyi upo?Atakuwa ni yule mwandishi wa nani hii ambaye amefunga ndoa majuzi kati hapo.
Nasikia umelamba shavu kwenye awamu ya mamaYupo.
Salaamoun Aleykum.
Duuuuuu kitambo Sana mkuu upo nchi gani ndugu mpaka nimeandikia kwenye uzi?Yupo.
Salaamoun Aleykum.
Yupo.
Salaamoun Aleykum.
@Hornet amejaa tele humu
Na vipi kuhusu Hawa; Viatu vya Samaki, Demis na Hornet
AlhamduliLlah macho yangu mazima kabisa.Huyu bibi umri umesonga...inaelekea macho yanampa shida.
Ila ukitaka kumwona anzisha uzi wa malumbano ya dini(ukristo na uislam).
Karibu tena Bi. Mkubwa.AlhamduliLlah macho yangu mazima kabisa.
Kwa kukujuza tu, kwa teknolojia ya sasa, macho si tatizo, hata walemavu wa macho wanaingia mitandaoni bila wasiwasi.