Wako wapi hawa watu? Faiza Fox, Kichwa Kichafu na Wa Stend

Wako wapi hawa watu? Faiza Fox, Kichwa Kichafu na Wa Stend

Ongezea nyani ngabu, miss natafuta napendaga sana vigongo vyao miye!

Kama wapo majukwaa mengine wasinishangae kwa uwepo wao, maana mi huingia kwa machale na kuishia kuperuzi "hoja na habari mchanganyiko".

Nikiranda randa kwa muda mfupi najiondokea mapema.
Nyani ngabu alikuwepo kwenye uzi wa juzi wa bujibuji simba nyamaume.
 
Jamani wanjf Ni muhimu pia kutafutana ikiwa Kama tuko jukwaa moja la JamiiForums, hao watu tajwa hapa juu na wengine wako wapi? Tumemiss nyuzi zao😵NGEZEA WENGINE AMBAO WAMEPOTEA KWENYE JUKWAA HILI.Tuwapate.
Nyani ngabu
 
Jamani wanjf Ni muhimu pia kutafutana ikiwa Kama tuko jukwaa moja la JamiiForums, hao watu tajwa hapa juu na wengine wako wapi? Tumemiss nyuzi zao😵NGEZEA WENGINE AMBAO WAMEPOTEA KWENYE JUKWAA HILI.Tuwapate.
Walinishawishi sana hawa watu miaka ya nyuma mpaka nikajiunga na jf
 
Jamani wanjf Ni muhimu pia kutafutana ikiwa Kama tuko jukwaa moja la JamiiForums, hao watu tajwa hapa juu na wengine wako wapi? Tumemiss nyuzi zao😵NGEZEA WENGINE AMBAO WAMEPOTEA KWENYE JUKWAA HILI.Tuwapate.
Bibi yule kikongwe hakanyiki alipata uteuzi awamu ya sita. Inawezekana majukumu yamemzidia mdini yule
 
Wee acha tuu hujakaa hapa unaambiwa nenda pale ukifika unaambia njoo huku ukienda unaambiwa nenda kule yaani
🤣🤣🤣🤣 sitasahau juzi nimetoka mjini saa 4:00 usiku bila kupenda hadi kwa wakulima wa nanasi kuchukua umbea wa kizaramo, ngachoka kabisaa 😁😁😁
 
Back
Top Bottom