Yaani sasa hivi kuwa maarufu ni uamuzi wako tu.Hahahahaha sikuhizi popularity imekuwa so cheap kiasi kwamba leo naweza amka nikafanya stunt tu nikawa maarufu allover Tanzania!
Hahahaha zamani waliofanyaga ushenzi wa Tunda walikuwa wanaishia kuchongewa vigodoro yani anapigwa na ngoma grade A ile na fujo hazimalizi mwaka mshazika!Yaani sasa hivi kuwa maarufu ni uamuzi wako tu.
Mimi navihurumia tu vidada ( nadhani hata Shamsa Ford akishaliongelea hili ) viko speed sana.
Vinatumika mnooo.
Kidemu kama Tunda kineshachooka yaani. Ingekuwa siyo kubebwa hapo Vunjabei nadhani kingekuwa kwao. Kimetumika sana.
Inasikitisha kweli. Labda mambo yatabadilika huko mbeleni.Hahahaha zamani waliofanyaga ushenzi wa Tunda walikuwa wanaishia kuchongewa vigodoro yani anapigwa na ngoma grade A ile na fujo hazimalizi mwaka mshazika!
Kama una JICHO la kupoint uyo Dem Ni kisu balaa.Mbona wa kawaida au hapa kachaka kwa kukaa celo?
Sahivi wote ni namba A mzee! Kama unaelewa unaelewa tu nini namaanisha!
Yah alikulia magorofa ya bank biafra paleFina nadhani ndio Fina Mango alikuwa clouds kitambo akawa anafanyakazi UN nilisikia.
Mercy Galabawa alikuwa kisu
Wadigo kutoka TangaHilo jina Bandawe ni wenyeji wa wapi? Enzi zetu pia Kuna "pisi kali" ilipata umaarufu Sana katika tungo za nyimbo. Aliitwa Lucy Bandawe.
Yaah..atakuwa alikuwa moto..na wengi inaonyesha shule ilikuwepo,sio hawa kina Amber lulu wa kizazi hiki.
Dashboard inasoma 7,800,780 km..
Asante.Wadigo kutoka Tanga
Yupo Gereza la UkongaTupieni picha ya shose basi tuone hiyo midomo mizuri
Alishagatoka kitamboYupo Gereza la Ukonga
Mithili ya Kibibi
Na kuna wimbo wake aliimbiwa, "Lucy Bandawe nipeleke Tanga"Sahihisho:mke wa mwanamuziki wa MSONDO ni Lucy Bandawe,si Halima
Yule mume mwenzie na Harmonize?Alafu beat kasimamia Baba yake mzazi Paula . kipindi hicho studio zinahesabika
Juma nature na sinta tulijuaje kiki zilikuwepo sema sio zasasaNa hatukuwahi kumjua demu wake, enzi hizo muziki sio KIKI.