Wako wapi mabinti waliotajwa na FA kwenye wimbo wa “Mabinti”?

Wako wapi mabinti waliotajwa na FA kwenye wimbo wa “Mabinti”?

Hahahahaha sikuhizi popularity imekuwa so cheap kiasi kwamba leo naweza amka nikafanya stunt tu nikawa maarufu allover Tanzania!
Yaani sasa hivi kuwa maarufu ni uamuzi wako tu.

Mimi navihurumia tu vidada ( nadhani hata Shamsa Ford akishaliongelea hili ) viko speed sana.

Vinatumika mnooo.

Kidemu kama Tunda kineshachooka yaani. Ingekuwa siyo kubebwa hapo Vunjabei nadhani kingekuwa kwao. Kimetumika sana.
 
Yaani sasa hivi kuwa maarufu ni uamuzi wako tu.

Mimi navihurumia tu vidada ( nadhani hata Shamsa Ford akishaliongelea hili ) viko speed sana.

Vinatumika mnooo.

Kidemu kama Tunda kineshachooka yaani. Ingekuwa siyo kubebwa hapo Vunjabei nadhani kingekuwa kwao. Kimetumika sana.
Hahahaha zamani waliofanyaga ushenzi wa Tunda walikuwa wanaishia kuchongewa vigodoro yani anapigwa na ngoma grade A ile na fujo hazimalizi mwaka mshazika!
 
Hahahaha zamani waliofanyaga ushenzi wa Tunda walikuwa wanaishia kuchongewa vigodoro yani anapigwa na ngoma grade A ile na fujo hazimalizi mwaka mshazika!
Inasikitisha kweli. Labda mambo yatabadilika huko mbeleni.
 
Fina nadhani ndio Fina Mango alikuwa clouds kitambo akawa anafanyakazi UN nilisikia.

Mercy Galabawa alikuwa kisu
Yah alikulia magorofa ya bank biafra pale
Sahv chuo cha OUT
Ila yupo si unajua watu wamekuwa watu wazima

Ova
 
Yaah..atakuwa alikuwa moto..na wengi inaonyesha shule ilikuwepo,sio hawa kina Amber lulu wa kizazi hiki.

Kweli, tena wanazeeka mapema wanakuwa sawa na Hawa wazamani.

118808717_3587149298003471_6606194597560446416_n.jpg
 
Back
Top Bottom