Wako wapi mabodigadi na wapambe wa Makonda? Sasa anatembea peke yake vijijini. Je, ni laana ya Warioba? Vijana tuna la kujifunza

Siku hizi watu wanachukua video wakati wa kuuwa?. Tatizo watanzania kutetea uovu tupo juu mpaka Marekani alipomuwekea ngumu ya kwenda kwenye nchi yake kwa sababu alizuia haki ya watu kuishi. Mpaka mgeni anaona wewe mwenyeji umeshupaza shingo.
Sababu iliyopelekea Makonda kuzuiwa kuinga Marekani “Ni kupambana na ushoga” sasa narudi kwako wewe, labda utuambie wewe ni shoga tujue moja.
 
Hapo tanga, Tanga Ruge Maskini
 
Makonda kawa kama chizi wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mna laana? Mtu kajikalia kimya anakula maisha nyie eti kawa kama chizi?

Mbona picha inaonesha kawa chizi. Tena chizi aliyekata tamaa ya Maisha.
 
Nawe wanakushughulikia kwa hilo neno pumbavu. Tuone umekaa kiumbeaumbea kama makonda mwenyewe utakuwa na matako makubwa sana.
Pole sana dogo, inaonekana kwa hasira zako hizi Makonda alikugonga na kitu chenye ncha kali
 
Le mobimba le mutus le commandant le field marshal
 
Hapo tanga, Tanga Ruge Maskini

Sijakuelewa. Tanga maana yake ilikuwa siku ya mkutano wa kutia saini mkataba wa Bomba la mafuta na mkutano huo ulifanyikia Tanga. Wakati Rais Magufuri akihutubia mkutano, ndipo alipowaita Ruge na Makonda wasameheane hadharani. Kweli walikuja mbele na wakapeana mikono Kama ishara ya msamaha.
 
Sio laana ya Mzee Warioba tu, bado wale aliowapora fedha zao na alioshiriki "kuhujumu maisha" yao
 
Sababu iliyopelekea Makonda kuzuiwa kuinga Marekani “Ni kupambana na ushoga” sasa narudi kwako wewe, labda utuambie wewe ni shoga tujue moja.

Wewe ndio shoga na familia yako. Acha mazoea ya kijinga. Ile statement uliisoma lakini?. Ilisema right to life, Yani haki ya kuishi. Alizuiliwaa kwa kosa la kuzuia wengine kuishi, maana kuua wengine. Ipo siku ukweli utakuwa wazi.
 
Hivi kuna haja gani nifatilie maisha ya mtu, kinasaidia nini? Kila mtu anastili yake ya kuishi na kuongoza. Aliongoza kwa staili yake. Aliona inamfaa. Na pengine alikuwa na watu walio ona anafaa. Si wewe ukiona hafai basi na wengine wataona hivyo la hasha.
 
Ubaya huvuma kuliko wema
 
Kabisa mkuu hii ndio dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…