Wako wapi mabodigadi na wapambe wa Makonda? Sasa anatembea peke yake vijijini. Je, ni laana ya Warioba? Vijana tuna la kujifunza

Siku hizi watu wanachukua video wakati wa kuuwa?. Tatizo watanzania kutetea uovu tupo juu mpaka Marekani alipomuwekea ngumu ya kwenda kwenye nchi yake kwa sababu alizuia haki ya watu kuishi. Mpaka mgeni anaona wewe mwenyeji umeshupaza shingo.
Mtabaki kuamini Marekani kama Marekani ni Mungu kwani huoni uovu wa Marekani?
 
Watasugua bench hadi vichupi viishe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtabaki kuamini Marekani kama Marekani ni Mungu kwani huoni uovu wa Marekani?
Shida watu wanadhani Marekani ni Mungu. Marekani kauwa wananchi wangapi wasio na hatia! Hapa majuzi imetolewa pendekezo Kuchunguza jeshi la Marekani huko Afghanistan, inasemekana Marekani waliua sana wananchi wasio na hatia.

Watu wangapi wanauwawa Marekani kila siku. Tena polisi wao wanaongoza kwa kuuwa! Bado tunaishangilia Marekani. Watu wanautumwa wa akili. Marekani ilikiri kuwa kumuuwa Gaddafi walifanya kosa. Je niviongozi wangapi Marekani imewauwa ukiwa kinyume nao! Tazama Sadam Hussein, walidanganya anasilaha za maangamizi wakamuuwa.
Kumbuka Makonda liwahi kukanusha kuwa ugaidi uliotangazwa na Ubalozi wa Marekani kuwa utatokea maeneo ya Masaki na Oysterba, haupo na hakuna tishio lolote, wananchi wasiwe na wasiwasi. Hii iliwauma sana wamerekani. Na kweli hakuna ugaidi wa shambulio uliotokea hayo maeneo.
Tusiwaabudu wamarekani.
 
Wale walioathiriwa na Bashite hawawezi wakamsamehe kamwe. Suala la Bashite kushtakiwa na kunywea kikombe anachonywea Sabaya ni suala la muda. Anaweza kuwa anakingiwa na Rais SSH kufikishwa Mahakamani kwa sasa. Ila baada ya Samia kutoka madarakani, basi kesi ya kwanza ya Rais mpya awe wa CCM au UPINZANI itakuwa ya MAKONDA aka Bashite
 
Amebaki anatingisha traaako peke yake bila walinzi
 
Huo utumbo ulioandika hapa kawasimulie wanao kama unao, au peleka kijiweni kwenu
 
Uparen hapo,.nadhan itakuwa tae au mwembe
Tena upareni huko nadhani, may be Mshana Jr aangalie picha vizuri anaweza kupajua, mshana alishatoa Uzi wa waganga wakali wa upareni, nahisi Bashite atakuwa anatembea na nyuzi za mshana
 
She Ahaadi baada ya bashite kupigwa tu chini na wajumbe akaanza kujitenga
 
Juz alikuwa msibani maeneo ya hedaru wilayan same huko..
 
Kwa huyo Sangoma ndiko alimpeleka Magu, baada ya pale ikawa humwambii kitu Magu kumhusu Bashite
Huyo mganga mbona kashindwa kuwasaidia kupambana na nature.
Ndumba zikiexpire kifuatacho ni fedheha
 
Tena upareni huko nadhani, may be Mshana Jr aangalie picha vizuri anaweza kupajua, mshana alishatoa Uzi wa waganga wakali wa upareni, nahisi Bashite atakuwa anatembea na nyuzi za mshana
Cha ajabu wamejaa umasikini
 
Hata raiya to wenye asili ya kiafrika wanauawa sana Marekani
 
Mga6 anakupa matumaini feki,angetumia akili yake asingetenda huo upumbavu.
Waganga ni watu hovyo kabisa
 
Nebkadineza baada ya kumchukiza Mwenyezi Mungu alimlaani akamwambia Kwa miaka 7 atakuwa anaishi porini akila nyasi kama hayawani.

Je Paul siku hizi anaishi porini??
 
Mahakamani ipo pale pale ngoja mama atoke kwanza jinai haifi.
Chama kimerudi kwa wenyewe Rizimoko,Nape ndani ya nyumba bushmen chawa wa Magu watachomokea wapi.Musiba,hapi,muro,kessy,nkamia,wameufyata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…