Wako wapi mabodigadi na wapambe wa Makonda? Sasa anatembea peke yake vijijini. Je, ni laana ya Warioba? Vijana tuna la kujifunza

Wako wapi mabodigadi na wapambe wa Makonda? Sasa anatembea peke yake vijijini. Je, ni laana ya Warioba? Vijana tuna la kujifunza

Maelezo yako hayo marefu lakini hakuna mahali ulipoeleza makosa hasa ya makonda aliyofanya!

Kukamata madawa ya kulevya na kutetea haki za wajane ndiyo huo mkono wa chuma unaodai alitawala?

Hakuna Rc baada ya Makonda aliyeiweza Dar kwa ubunifu na uibuaji wa miradi mbali mbali kama yeye.

Na kama basi hilo la Clouds ndiyo kutawala kwa mkono wa chuma, kumbuka hayo yalishazungumzwa wakayamaliza tena wakasameheana hadharani kila mtu analijua hilo.

Jambo lolote chini ya jua, likishaongelewa na kupatiwa ufumbuzi, kulirudisha tena mezani ndiyo majungu menyewe hayo!

Huwa kila siku najifikiri ni nini hasa cha mno alichowafanyia kibaya huyo mja huwa nakikosa.

Lakini sababu iliyomfanya Magufuli amlinde mpaka mwisho ni kule kuanzisha kwake vita pevu ya kumpiga vita shetani wa madawa ya kulevya.

Hiyo ndiyo sababu haswa iliyomfitinisha kwenye ndimi za watu mahasidi hadi leo kwa kugusa vyakula vyao haramu walivyozoea kuvila bila ya kufuta midomo!

Kiongozi yeyote wa umma anayepiga vita uharamia, ujambazi na dhulma zingine za mfano huo lazima tu atafutiwe visingizio vya kumvunja moyo na si ajabu sana kwa jamii hii iliyojaa roho za kifisadi na ubinafsi.
Hii ndio type ya wasukuma walivyo na watampa kura arudi bungeni na Yale matako yake makubwa.
 
Makonda, almaarufu Bashite, aliongoza Mkoa wa Dar es salaam kwa mkono wa chuma uliojaa damu, ni yeye na sabaya tu waliotembea na mabodigadi wenye silaha za moto, Makonda alithubutu kwenda clouds fm akiwa na askari wanaodaiwa kuwa wa jumba jeupe(makirikiri).

Sasa anaonekana mpweke, wale aliowa harass Sasa wameshika mpini, Jiji aliloliona la kwake, na wakazi wake kama wapangaji, amelikimbia kama Ghadafi alivyoikimbia Tripoli, au Saddam alivyoikimbia Bhaghdad.

Wale walinzi mahiri, makirikiri, hawako nae tena, Polisi na usalama hawako naye tena, ni mpweke huko maporini akipanda milima na kukatiza njia za waenda kwa miguu, pengine anapishana na watu aliowadhuru ila yeye ameshawasahau!

Ni Makonda aliyewaonya viongozi wakuu wa dola kwamba ana nguvu kuliko wanavyodhani!

Wakati ukutaView attachment 2082013
Cc: Lemutuz
Namuona akiwa pale koromije ameenda kuongeza nguvu ya hirizi yake ili akumbukwe.
 
Maelezo yako hayo marefu lakini hakuna mahali ulipoeleza makosa hasa ya makonda aliyofanya!

Kukamata madawa ya kulevya na kutetea haki za wajane ndiyo huo mkono wa chuma unaodai alitawala?

Hakuna Rc baada ya Makonda aliyeiweza Dar kwa ubunifu na uibuaji wa miradi mbali mbali kama yeye.

Na kama basi hilo la Clouds ndiyo kutawala kwa mkono wa chuma, kumbuka hayo yalishazungumzwa wakayamaliza tena wakasameheana hadharani kila mtu analijua hilo.

Jambo lolote chini ya jua, likishaongelewa na kupatiwa ufumbuzi, kulirudisha tena mezani ndiyo majungu menyewe hayo!

Huwa kila siku najifikiri ni nini hasa cha mno alichowafanyia kibaya huyo mja huwa nakikosa.

Lakini sababu iliyomfanya Magufuli amlinde mpaka mwisho ni kule kuanzisha kwake vita pevu ya kumpiga vita shetani wa madawa ya kulevya.

Hiyo ndiyo sababu haswa iliyomfitinisha kwenye ndimi za watu mahasidi hadi leo kwa kugusa vyakula vyao haramu walivyozoea kuvila bila ya kufuta midomo!

Kiongozi yeyote wa umma anayepiga vita uharamia, ujambazi na dhulma zingine za mfano huo lazima tu atafutiwe visingizio vya kumvunja moyo na si ajabu sana kwa jamii hii iliyojaa roho za kifisadi na ubinafsi.
Baadhi ya watanzania hasa wa mitandaoni wanapenda viongozi legelege, na hawapendi mtu anaye jiamini. Hawapendi mtu anae wazibia maslahi yao yasi halali. Wamebaki kuongelea watu na umbea, usio wasaidia. Hata umuongelee vibaya huyo Makonda, utafaidika na nini, au utampunguzia nini? Alisha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar. Alifanya kwa nafasi yake alofanya. Atabaki katika historia. Kwa sasa anamaisha yake hajaja kwako kukuomba fedha au kulialia. Anaenjoy maisha yake.
Ya Mungu mengi hujui kesho. Makonda bado ni kijana uenda akarudi tena madarakani. Tusiongee sana, tuwe na akiba ya maneno!
 
Hayo ndio matokeo ya kumuabudu binadamu mwenzako, ona sasa huyo mungu wake amekufa sasa anaonekana kama chizi.

Nashangaa kwa nini hadi leo hajapandishwa kizimbani kupigwa mvua kwa maovu aliowafanyia wengine akiwa kama kinara wa kikundi cha wasiojulikana.

Akina Makonda walinufaika na katiba mbovu tuliyonayo inayoruhusu watu kuteuliwa na rais pasipo kuwa na weledi au sifa yoyote ktk wadhifa husika.
 
Bashite alitamka kwa mdomo wake mwenyewe kwamba anawazidi hata wale wanaojiona wapo juu kicheo kuliko yeye, imekuwaje tenaaa?
 
Maelezo yako hayo marefu lakini hakuna mahali ulipoeleza makosa hasa ya makonda aliyofanya!

Kukamata madawa ya kulevya na kutetea haki za wajane ndiyo huo mkono wa chuma unaodai alitawala?

Hakuna Rc baada ya Makonda aliyeiweza Dar kwa ubunifu na uibuaji wa miradi mbali mbali kama yeye.

Na kama basi hilo la Clouds ndiyo kutawala kwa mkono wa chuma, kumbuka hayo yalishazungumzwa wakayamaliza tena wakasameheana hadharani kila mtu analijua hilo.

Jambo lolote chini ya jua, likishaongelewa na kupatiwa ufumbuzi, kulirudisha tena mezani ndiyo majungu menyewe hayo!

Huwa kila siku najifikiri ni nini hasa cha mno alichowafanyia kibaya huyo mja huwa nakikosa.

Lakini sababu iliyomfanya Magufuli amlinde mpaka mwisho ni kule kuanzisha kwake vita pevu ya kumpiga vita shetani wa madawa ya kulevya.

Hiyo ndiyo sababu haswa iliyomfitinisha kwenye ndimi za watu mahasidi hadi leo kwa kugusa vyakula vyao haramu walivyozoea kuvila bila ya kufuta midomo!

Kiongozi yeyote wa umma anayepiga vita uharamia, ujambazi na dhulma zingine za mfano huo lazima tu atafutiwe visingizio vya kumvunja moyo na si ajabu sana kwa jamii hii iliyojaa roho za kifisadi na ubinafsi.

Mnyenyekevu ni yule anayekubali kukosolewa na sio kujiona yupo sahihi. Kuhusu msamaha, Ni Magufuri ndio aliomba wasameheane pale Tanga na so vinginevyo, alikuwa na kiburi cha madaraka. Makonda alikuwa anadharau wengine hakuwa na roho ya Unyenyekevu ndio maana ameshuka mpaka kuwa raia wa kawaida. Alijiona mungu mtu kuwatukana watumishi wa umma hadharani mbele ya camera tena wengine wamemzidi umri.

Issue ya madawa ya kulevya ilikuwa siasa tu na kujifaisha tu. Wangapi walioitwaa kwenye listi yake wamehukumiwa jela?. Hakuna hata mmoja zaidi kaishia kuwatishia wahindi wampe hongo. Kiburi ndio kimemuangusha makonda mpaka chini.
 
Hakuna kitu kama hicho lete video makonda akiwaua hao uliowataja?

Siku hizi watu wanachukua video wakati wa kuuwa?. Tatizo watanzania kutetea uovu tupo juu mpaka Marekani alipomuwekea ngumu ya kwenda kwenye nchi yake kwa sababu alizuia haki ya watu kuishi. Mpaka mgeni anaona wewe mwenyeji umeshupaza shingo.
 
Ukiwaona Bavicha wanavyotiririka kwenye huu uzi utafikiir wanafanana kwa maisha na Makonda,

Kumbe wanakula vumbi tu huku mwenzao akiponda raha ya maisha

Unayajua Maisha ya makonda?. Unajua Sasa hivi ana Hali gani?.
 
Team ROHO MBAYA Work!

Mnahangaika na watu wanaoendelea na maisha yao bila siasa.

Nyinyi mbaowafuatilia ndio mnaoteseka kila uchao.

Wao maisha yako kawaida na wameridhika na hali zao.

Nyinyi team roho mbaya ndio mnakonda kwa Stress tupu.

Kila mkikaa kijiweni kumbukumbu ya uchaguzi 2020 inawatesa na kuwafanya muone kila mtu ni adui wenu.

#Hatutakiwahuni
 
Hayo ndio matokeo ya kumuabudu binadamu mwenzako, ona sasa huyo mungu wake amekufa sasa anaonekana kama chizi.

Nashangaa kwa nini hadi leo hajapandishwa kizimbani kupigwa mvua kwa maovu aliowafanyia wengine akiwa kama kinara wa kikundi cha wasiojulikana.

Akina Makonda walinufaika na katiba mbovu tuliyonayo inayoruhusu watu kuteuliwa na rais pasipo kuwa na weledi au sifa yoyote ktk wadhifa husika.
Makonda kawa kama chizi wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha mna laana? Mtu kajikalia kimya anakula maisha nyie eti kawa kama chizi?
 
Siku hizi watu wanachukua video wakati wa kuuwa?. Tatizo watanzania kutetea uovu tupo juu mpaka Marekani alipomuwekea ngumu ya kwenda kwenye nchi yake kwa sababu alizuia haki ya watu kuishi. Mpaka mgeni anaona wewe mwenyeji umeshupaza shingo.
Basi kama huna video taja aliowaua
 
Baadhi ya watanzania hasa wa mitandaoni wanapenda viongozi legelege, na hawapendi mtu anaye jiamini. Hawapendi mtu anae wazibia maslahi yao yasi halali. Wamebaki kuongelea watu na umbea, usio wasaidia. Hata umuongelee vibaya huyo Makonda, utafaidika na nini, au utampunguzia nini? Alisha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar. Alifanya kwa nafasi yake alofanya. Atabaki katika historia. Kwa sasa anamaisha yake hajaja kwako kukuomba fedha au kulialia. Anaenjoy maisha yake.
Ya Mungu mengi hujui kesho. Makonda bado ni kijana uenda akarudi tena madarakani. Tusiongee sana, tuwe na akiba ya maneno!

Nyie ndio mnaomuharibu Makonda. Baadala mkubali madhaifu yake na mumshauri ajirekebishe nyie mnatetea uongo. Nyie ndio mlikuwa mnamdnganya alipoangushwa kura za maoni na Ndungulile kuwa Rais atamrejesha?. Mshaurini huyo kijana ajirudi siku zingine asiongoze kwa dharau na kiburi, bali awe mnyenyekevu kwa wale anaowaongoza.

Makonda hakuwa na kujiamini chochote Bali Ni kiburi na dharau. Na hicho ndicho kilichomuangusha. Makonda aliambiwa na mkubwa wake ukigombea ubunge utakuwa umejifukuzisha. Kwa sababu ya kiburi akapuuza ushauri akaendelea kugombea ubunge na hatimaye kushindwa hadharani Kila mtu akiona.
 
Back
Top Bottom