Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Kuna wasaa unaweza kudhani mwenzako anateseka kwa mtazamo wako kama ulivyomzoea. Ilihali kwenye kichwa chake keshakubali matokeo life goes on.
Makonda angekuwa anaona noma asingekuwa anakatiza Kariakoo na sandals (wakati bado anayo hela ya kujikimu vizuri tu).
Inaonekana ni mtu ambae aliji tune madaraka yanamwisho. Shida ipo kwa mtu kama Nape na baadhi ya wachache wanaodhani privilege ni haki yao ya kuzaliwa.
Na kwenye hiyo picha shida aipo kwa Makonda bali kwa mtu anaetaka kuamini hali yake sio nzuri. Maisha yatazame kwa jicho la muhusika sio kulazimisha mtazamo wako. Wewe unawaza A mwenzako kumbe anawaza Z miles apart.
Makonda angekuwa anaona noma asingekuwa anakatiza Kariakoo na sandals (wakati bado anayo hela ya kujikimu vizuri tu).
Inaonekana ni mtu ambae aliji tune madaraka yanamwisho. Shida ipo kwa mtu kama Nape na baadhi ya wachache wanaodhani privilege ni haki yao ya kuzaliwa.
Na kwenye hiyo picha shida aipo kwa Makonda bali kwa mtu anaetaka kuamini hali yake sio nzuri. Maisha yatazame kwa jicho la muhusika sio kulazimisha mtazamo wako. Wewe unawaza A mwenzako kumbe anawaza Z miles apart.