Masalia you know you cant be accepted back: why are you still paining about Bavicha move on and live your lifeDuh, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kweli kuwa na akili za kibavicha ni hasara kwa taifaKwa mawazo yako, watu wanaotakiwa kuijadili rasimu kwa akili yako, unataka rasimu iwajadili wao.Bila aibu uko mbele kutoa ushauri kwa Nape Nnauye.
......(3) Muundo, madaraka na mambo mengine ya kiutendaji yahusuyoSerikali yaTanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yataainishwa
katika Katiba za Washirika wa Muungano.
Katiba ya Tanganyika itaanza kuandaliwa lini na itapitishwa na chombo kipi? Zanzibar tayari wana ya kwao Nape Nnauye
Dah,Nape kwenye AVATAR yako nawaona waziri wa mali asili wa zamani,MH.Kinana,na wewe,mbona umewasahau Mh.malima na Mh. Mtutura, kwenye safari ya kuelekea ruaha game reserve?Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Usizungumzie matukio ya mwaka huu, jikumbushe historia au kwa kukusaidia pitia kesi na hukumu ya Jaji Kahwa Rugakingira, na tume za (Nyalali na Kisanga) jinsi CCM ilivyoingilia kuzuia mgombea binafsi na mambo mengine.
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Mmoja wao huyu hapa...Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi
"@ LE MUTUZ LIVE HARD STRAIGHT TALK!!:-
AT SOME POINT SERIKALI YA CCM NI LAZIMA IWAKUMBUSHE KAMATI YA KATIBA MPYA KWAMBA WAO WANACHOWEZA KUFANYA NI KUPENDEKEZA TU NA SIO KUAMUA UAMUZI WA MWISHO, NIMEISOMA RASIMU LAST NIGHT, IMEJAA MADUDU MENGI SANA AMBAYO NI PURE NONSENSE!!, SERIKALI TATU KWA PESA GANI TULIZONAZO BONGO? NI NCHI GANI DUNIANI IMEENDELEA KWA HARAKA KUTOKANA NA KUWA NA SERIKALI TATU?
SERIKALI YA SASA INATUPA SHIDA ITAKUWA TATU? INA MAANA KILA SERIKALI KATI YA HIZO TATU LAZIMA IWE NA KATIBA YAKE NA WAAMUZI WAKE? WANANCHI MILLIONI 45 UNAWAWAKILISHAJE BUNGENI NA WABUNGE 75 TU? KAMA SIO INSANITY NI NINI HASA? SPIKA ASIWE MWANASIASA FOOLISH IDEA NI NCHI GANI DUNIANI ILIYOENDELA AMBAYO SPIKA WAKLE SIO MWANASIASA WA CHAMA CHOCHOTE PALE NCHINI?
SIKU MOJA NILIENDA KWENYE MKUTANO WA HIYO KAMATI NDIO NIKAAMUA SITARUDIA TENA, IMEJAA VIONGOZI WENYE HASIRA YA KUKOSA MLO NA SERIKALI YA SASA, WEWE MTUMZIMA NA AKILI TIMAMU LEO MWAKA 2013 UNAWEZAJE KUSEMA SPIKA WA BUNGE ASIWE MWANASIASA KAMA SIO KUFILISIKA IDEAS?
- MIMI NINGEKUA RAIS JUZI NINGEIMALIZA ILE KAMATI YA KATIBA NA KUWAOMBA WAONDOKE HARAKA SANA, NINGECHAGUA WANASHERIA MAARUFU HAPA NCHINI KAMA 10 NA KUWAPA JUKUMU LA KUUNDA KATIBA MPYA BILA MIKUTANO WALA HOUTBA ZA KILA SIKU ZA RASIMU, WHAT IS RASIMU YA KATIBA KAMA NONSENSE? 80% YA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA KATIBA NI WASTE KWA TAIFA, SERIKALI UWAONDOE HAO KATIBA NOW KABLA HAWAJATULETEA MATATIZO NA MAPENDEKEZO YASIYO NA TIJA KWA TAIFA, HAKUNA TIJA KWA TAIFA KUWA NA WABUNGE 75 KUWAKILISHA WANANCHI MILLIONI 45 NI PURE NONSENSE!!, MUNGU AIB ARIKI TANZANIA!! - LE MUTUZ "
Wewe unayejifanya kuwa na busara wakati huna hata tone la busara zaidi ya matusi.
Kwa akili yako hii finyu, unafikiria watu wa kijijini ndiyo wanapenda majungu.
Hebu tuambie wewe wa mjini usiyependa majungu umeweka input gani katika rasimu.
kaka mchango wako ni mzuri ila hapo kwenye majimbo hujaipata tume vizuri,imepunguza majimbo kutoka 170 hadi 25 kwa hiyo kila jimbo likitoa ke na me jumla ni 50 ukiongeza 20 znz na 5 wa rais kutoka katika makundi ya walemavu jumla ni 75.punguza kwenye 300 na ushei wa sasa unaweza kuona kuwa hata mil 20 kwa mbunge tunaweza lipa bila wasiwasi.Nape Nnauye , Habari za siku mkubwa.
Kwanza hakuna aliyesema unnayoyasema hapa, ila malalamiko ni mabaraza ya katiba yaliingiliwa na makada wa CCM mmoja wapo ni mama yangu, dada yangu Asha rose Migiro na wewe. Mliwatengeneza watu wa kuingia kuyapigia kura haya maoni. Naomba utafute matamko ya wote waliopinga utajua wapi walipinga. Mpaka sasa tunapinga upatikanaji wa watu watakao jadili na kuyapitisha haya maoni. Je kweli watayakubali wakati wengi ni makada wa kuingizwa wa CCM?
Tutafurahi wengi kama mtawaelekeza makada wengi kuzingatia maoni ya watanzania.
Maoni yangu binafsi sikubaliani na uwakilishi wa wanaume na wanawake kwenye majimbo utaongeza gharama kubwa sana za kuendesha bunge. Kama nimeelewa vyema yaani kuwe na wawakilishi wa kike na kiume kwenye jimbo moja. No huu utakuwa ni mzigo kwa walipa kodi. yaani majimbo 239 yatoe wabunge 478??? come on haiwezekanai. ni wengi mno ukilingisha na uwezo wa nchi. Nilitegemea tume ingepunguza majimbo ya uchaguzi na kufikia walau 70 au 100. ya kudumu.
Nape tujadili hizi rasimu Tanzania ni yetu wote, wewe utapita, Jk atapita, Lowasaa atapita , Membe Atapita ila Tanzania bado tunayo sana, msifikiri ninyi viongozi wa sisasa mna maana sana zaidi ya maisha yetu la hasha ninyi mnatetea ajira tu hamna la maana mnalilifanya, hamtetei taifa, wananchi wala ustawi wa tanzania. hamna uchungu na uhalisia wa maisha magumu ya Mtanzania.
ndio maana hamjali kushuku kiwango cha elimu manapendekeza utumbo wa kuwaongezea wanafunzi alama. Tukishindwa kuwaandaa vijana wetu leo kwanini kesho tulalamike kuhusu huduma za afya, barabra, mahakama , waalimu wabovu?? Kama leo tunashindwa kuandaa wataalamu kwanini kesho tushangae ghorafa zikituangukia ?? Nape serikali yenu imeshindwa vibaya sana. Na ninaomba miradi yote ya viongozi walioshiriki kuuwa elimu ya nchi ife kwa ukosefu wa utaalamu labda mtajifunza. Nape leo mnafurahia kutibiwa nje na kuiuwa Muhimbili na hospitali zote za ndani, ila ukumbuke kesho mnastaafu uwezo wa kwenda nje kwa fedha za walipa kodi masikini mtakuwa hamna. Najua wote mnapigana vikumbo kutuibia ili kujaza mafedha ya kesho mkiwa nje ya siasa za kibazazi.
Ila Iko siku watanzania watadai fedha zao kwa nguvu.
Nape Nnauye Mbona unaongea kishabiki sana, kuna maoni magapi ya chama chako yamezingatiwa? au ni maoni gani yamekukuna sana! Mimi naona kuna maoni mengi ya wapinzani yameonekana kuwa na maana kuliko ya ccm!Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!
Hofu yangu msije kuchakachua kwenye mabaraza ya katiba. Hiyo ni rasimu tu na hayo ni mapendekezo ya Tume na wananchi. Sidhani kama nyie ccm mmefurahia maoni hayo. Tungoje Bunge la Katiba loikae lijadili hayo na tuone yakibaki kama yalivyopendekezwa na si kukurupuka kuanza kusema watu kimafumbo hapa, ndugu Nape.
Nape you are an idiot. Haya ni mapendekezo tuu. Mambo baado kabisa.Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!