Wako wapi waliodai Tume ya Katiba haina weledi na wala si huru!??

Duh, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kweli kuwa na akili za kibavicha ni hasara kwa taifaKwa mawazo yako, watu wanaotakiwa kuijadili rasimu kwa akili yako, unataka rasimu iwajadili wao.Bila aibu uko mbele kutoa ushauri kwa Nape Nnauye.
Masalia you know you cant be accepted back: why are you still paining about Bavicha move on and live your life
 

Kumuuliza Nape swali gumu namna hii ni kumuonea sana ! Hebu swali lako mpelekee Profesa SHIVJI .
 
Tatizo la Nape akishatoa pumba hapa hukimbia kujificha huku akisoma comments zetu kwa mbaali. Mengi yamenenwa na bila shaka mwenye masikio amesikia na mwenye macho amesoma
 
Dah,Nape kwenye AVATAR yako nawaona waziri wa mali asili wa zamani,MH.Kinana,na wewe,mbona umewasahau Mh.malima na Mh. Mtutura, kwenye safari ya kuelekea ruaha game reserve?
 
Usizungumzie matukio ya mwaka huu, jikumbushe historia au kwa kukusaidia pitia kesi na hukumu ya Jaji Kahwa Rugakingira, na tume za (Nyalali na Kisanga) jinsi CCM ilivyoingilia kuzuia mgombea binafsi na mambo mengine.

Wewe kijana una akili mno , umeenda mbali kuliko macho ya Mwanadiwani yalipoishia !
 

Bado mchakato ni mrefu na maamuzi magumu bado yanahitajika. Kuna vipengele vingi vya kurekebusha, watu wamekimbilia kushangilia sana sana kwa vipengele hivi, (i) Kurudi kwa Tanganyika (ii) Ukomo wa Mbunge na Mbunge kutokuwa Spika/Naibu, (iii) Kupunguza baraza la Mawaziri la Muungano.

Lakini bado kuna mambo mengi ya kuangalia wewe umekimbilia kutoa maelezo ya ushabiki zaidi.
(1) Suala la kuteua majaji bado ni kitendawili
(2) Suala la kupata wajumbe wa "Tume Huru" ya uchaguzi pia ni kitendawili kingine.
(3) nk nk nk.

Mkuu, ni bora kukaa kimya mpaka mchakato utakapokwisha, kwani nina Imani wananchi kupitia mabaraza ya katiba, wanaweza wakaja na mambo mengi wananayoyataka wao na ukabaki umeduwaa na tume ikayachukua vile vile.

Safari bado ni ndefu, though it is a good start!
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi
Mmoja wao huyu hapa...
 
Wewe unayejifanya kuwa na busara wakati huna hata tone la busara zaidi ya matusi.

Kwa akili yako hii finyu, unafikiria watu wa kijijini ndiyo wanapenda majungu.

Hebu tuambie wewe wa mjini usiyependa majungu umeweka input gani katika rasimu.

MwanaDiwani una roho ngumu sana kumtetea Nape kwenye hili aisee !
 
NAPE ataacha lini kuharisha hapa jukwaani na kukimbia bila kujibu maswali yetu?
poor ccm!!
 
Naungana nawe Nape kwa sasa, hayo unayoyaona kuwa mapendekezo mazuri ya katiba tunayoitarajia yaendelee kuwa hiyo , wale wajumbe mliowapitisha kwa nguvu wa mabaraza ya katiba watakosoa sana, najua kwa ccm hawawezi kufurahia maoni hayo. Kawaida ya chama chako ni kufanya kile kisichopendwa na watu wengi
 
Me sio mwanasiasa lakini Nape kakangu sincerely unapenda umbea,yani mada imeka kidaku daku hivi
 
kaka mchango wako ni mzuri ila hapo kwenye majimbo hujaipata tume vizuri,imepunguza majimbo kutoka 170 hadi 25 kwa hiyo kila jimbo likitoa ke na me jumla ni 50 ukiongeza 20 znz na 5 wa rais kutoka katika makundi ya walemavu jumla ni 75.punguza kwenye 300 na ushei wa sasa unaweza kuona kuwa hata mil 20 kwa mbunge tunaweza lipa bila wasiwasi.
lakini kwingine upo vizuri.
nape mpuuzeni kwa sababu amesahau ni mawaziri wa chama chake waliosema katiba ya sasa inatosha na wengine wakasema serikali haina hela lakini hao chadema wakakkza kamba mpaka kikatoka hiki tunachokiona lakini tunamwambia kazi baaado,tunataka kila kitu kiwe wazi pccb,dpp,majaji nk panyooshwe hapo na katiba.
na asisahau hata mchawi ukimshikia bango hawezi loga watoto wako na hicho ndicho chadema walichosimamia.
 
EH NAPE, YOU THINK VERY LOW, YOU TALK VERY LOW, Mungu akusaidie kama una watoto au utakapojaliwa wisishike akili zako, watawataabisha waalim darasani, sijui kama umekisoma kwanza ulichokiandika; kwanza kwani ndio katiba imekamilika hapo?! si ni rasimu tu hiyo! kha, style uliyoamua ni vijembe na mipasho kwa kwenda mbele? hujali tena kuwa kuna jamii inakusikiliza na kukutizama unchofanya na unachoongea? ifike mahali ujirekebishe, mbona unaonekana sio mdogo ki-hivyo?
 
Rais lazima hashitakiwe,wakuu wa mikoa hasiwachague.acha wapigiwe kura kama wakuu wa majimbo kwenye nchi zilizo nyingine.wanaitwa gavana.
 
Nape Nnauye Mbona unaongea kishabiki sana, kuna maoni magapi ya chama chako yamezingatiwa? au ni maoni gani yamekukuna sana! Mimi naona kuna maoni mengi ya wapinzani yameonekana kuwa na maana kuliko ya ccm!
 
Last edited by a moderator:

Jamani uwezo mdogo wa kifikra wa Nape mnaujua naombeni msibishane nae.
 

Hivi huko kwenye mabaraza inaenda tena kufanya nini, si tayari Tume imejumuisha maoni ya watanzania, sasa nini tena cha zaidi?? Haya mabaraza ni wastage of time and resources, wataichakachua bure!!
 
Yani huyu jamaa huwa namshangaa huwa anaongea kama ye ndo chama pinzani mfano ajenda ya majimbo ya CDM ni mradi wa wakubwa maneno kama hayo yalitakiwa yatajwe na chama pinzani anaongea kana kwamba CDM wameshachukua nchi na kuanzsha mfumo huo.... huyu jamaa alipaswa kuwa baloz wa nyumba kumi sio katibu chama kikubwa kama CCM
 
Nape you are an idiot. Haya ni mapendekezo tuu. Mambo baado kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…