mkuu Eiyer kabla ya afrika kuvamiwa na wakoloni afrika chini ya uongozi wa Mafarao, lilikuwa bara linoongoza kwa tekenolojia na maendeleo duniani, miili ya mafarao waliokufa miaka 3,000 iliyopita ilipakwa dawa ikazikwa haijaoza mpaka leo, maarifa haya leo hayakupo duniani na afrika wakati huo ilikuwa ikiongoza kwa sayansi na utawala bora ikiwa na taasisi nyingi za utafiti wa kisayansi ambazo dini za kigeni mujibu wa dini za kigeni wanaziita Mungu, afrika imewahi kutawala dunia kwa miaka isiyopungua 18,000 au zaidi, tangu hapo afrika lilikuwa bara tulivu kutokana na asili ya watu wake kuwa waungwana na watulivu, (watu weusi)Tawala za afrika zilikuwa tawala za kidemokrasia waatu wake walikuwa na uhuru wa kutoa mawazo yao mradi havunji sheria za nchi, waaafrika wana asili ya utu wema, upole, ni waungwana, wakarimu, hawana asili ya ubaguzi, kama wangelikuwa ni watu wabaguzi, Yusufu wasingempa kazi ya uwaziri mkuu wa nchi yao.
Mambo yalianza kubadilika baada ya Warumi kuchukua dola kutoka mikononi mwa wagiriki waarumi walianzisha utawala wa sheria, mfumo uliowafanya wawe maarufu na kupendwa sana duniani, kwawa bahati mbaya,watawala hawa walijisahau, wakajiingiza katika starehe naufisadi hapo ndipo sayansi, utawala bora na democrasia vikatoweka, badala yake starehe na ufisadi ikawa ndio dira ya watawala, watanashati, wakaasisi siku kuu nyingi za mapumziko kitaifa, siku kuu hizo zilisherehekewa kwa ngono na ufisadi, Moja wapo ya siku kuu za aina hiyo ilikuwa siku ya tarehe 25 Desemba, siku kuu hizo, nyingine zilipigwa marufuku nyingine kubadilishwa kama ile ya Tarehe 25 December ambayo ilibadilishwa ikawa siku kuu ya Chrismas siku ya kukumbuka kuzaliwa kwa Yesu,
kupitia dini walitukandamiza wa afrika wakapanua dola yao kwa kisingizio kuwa wametumwa na Mungu, wazungu walikuwa watu wa kwanza kufika afrika kuleta dini, walitumia ulaghai mwingi kulaghai watu kuzisadikisha dini zao, waarabu nao walipoleta dini, walitumia ulaghai ule ule uliotumiwa na wazungu kusadikisha dini zao, pamoja na kutumia ulaghai mwingi, pia waarabu walitumia mabavu kusadikisha dini yao, yaani jihad, walifanya mauaji ya kikatili ya hali ya juu, mfano mzuri ni pale walipovamia afrika kaskazini, walichinja watu kama watu wanavyochinja kuku, waliwaona watu weusi kuwa nimashetani makafri hawatokani na Mungu, wakidai kuwa wao wametumwa na Mungu kuleta dini, huu ni ushenzi wa hali ya juu waliotufanyia hawa watu na dini zao,