Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaahhaa tende na maziwa, hahahahaaa mchakamchaka hadi mwisho wa kituoSiku hizi kuna machine za kufuta tatoo....nini muhuri binamu.
Ila nyie viumbe wengine wa kiume bhana, huwa mnakulaga nini?....utakuta nakaa na protini yako siku 3.
Jamaniiiii.....
Sawa bhana-...umetajanatajana huko juuu kooote ndio unakuja nitaja now....hamna namna sasa
marejesho ntakupitie twende kwa mromboo.......sawa...
Muanzisha uzi mwenye sio mkongweIwe hivi sasa...
Bila kujali muda na Umri wako Jf
Chit chat iamke!!
Wakongwe Hoyeee.
Nitakuja na list muda sio mrefu.
miss chagga upo?
Una kila sababu yakutunukiwa crown ya ukongwe! I miss those old time here,
Mr Rocky sitaki kuamini kuwa vidole vimezeeka and u can't write
To be continued...
Hahahha nipooo hapaa...miss you sana
nimemmiss pia
Keki ya watoto. Mi nataka kitumbua kilichotunaHebu njoo nikupe utamu wa keki
Lowrey mzungu wa mangeUmeniacha njia panda ya Vikawe ujue.