Kabisa...........hatutangaziTunakulaga kisirisiri.....
hahaaaa upara wa utajiri....itakuwa makuku hayo mana wengi wavivu wa kutafuna nyama ngumu.Ile zamani wakisemaga ni kipara cha utajiri. Siku hizi upara unawaibukia mpaka madogo. Sijui ni hawa kuku hawa??
Na hizi chat hapa tunadelete... kwanza tunatania tuKabisa...........hatutangazi
hahahaaaa.............dah acha nami niunganishe dot kwa msaada wa AsprinHuu hapa...mfereji wa kati umeuona?
Ndo uwaraza huo....watu wananyoa vipara kuukwepa akiwepo huyo Asprin wako
View attachment 370672
na shughuli yako si mchezo lazma remba lidondoke......Remba likidondoka atarudi kulekule
Hahah mi upara wangu ananinyoaga sister mwenyewe. Para zote mbili...Huu hapa...mfereji wa kati umeuona?
Ndo uwaraza huo....watu wananyoa vipara kuukwepa akiwepo huyo Asprin wako
View attachment 370672
hahaaa mbona umekuwa muoga wewe........hata kama ni kweli shida nini.Na hizi chat hapa tunadelete... kwanza tunatania tu
Ewaaaaa.Uje umepiga ile mini yako... hakyamama atakuachia ile Ravafoo
Usiseme kwa sauti.... wezi wengi ujue...na mie napenda unavyonichoma choma vile raha burudani mstarehe.
Ana kibamia ndio maana muogahahaaa mbona umekuwa muoga wewe........hata kama ni kweli shida nini.