Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slave unamjua lakini???Wifi kivipi? Au ndo ushaanza uchoyo?
Hata mimi nimekusahau. Unaitwa nani vile?Kuna mtu nimemmiss ila nimemsahau jina
Hebu toka bwana Mie nimeusahau mchepuko wangu halafu unaleta utani[emoji17]Hata mimi nimekusahau. Unaitwa nani vile?
Kumbe bado unaniita mchepuko? Nikajua ushanipandisha cheoHebu toka bwana Mie nimeusahau mchepuko wangu halafu unaleta utani[emoji17]
Makapuku ni kule kwa new fish in town mkuu, shida ya huku baada ya kulana wengi wamebadilisha ID kwa kukimbia vimeo sasa waeza jikuta unamtongoza mtu mara mbili, makapuku forum ipo himu humu ya wageni wameanzisha muda kdg.Makapuku ndo wapi tena huko swahiba. Baki hapa tujikumbushie michuchu wetu wa enzi hizo.
Umenionea wapi rubii?
Duh kumbe tena?? Basi huko huchelewi kutongoza mwanao. Bora tutongozane kijamaa huku. Liwalo na liweMakapuku ni kule kwa new fish in town mkuu, shida ya huku baada ya kulana wengi wamebadilisha ID kwa kukimbia vimeo sasa waeza jikuta unamtongoza mtu mara mbili, makapuku forum ipo himu humu ya wageni wameanzisha muda kdg.
Wewe hutujuani hebu acha kunipeperushia ndege wangu wa humu eboooo[emoji12]Kumbe bado unaniita mchepuko? Nikajua ushanipandisha cheo
Isije ikawa umeitoa ile mimba yetu?Wewe hutujuani hebu acha kunipeperushia ndege wangu wa humu eboooo[emoji12]
We kizee usiniharibie mood yangu bwana[emoji17]Isije ikawa umeitoa ile mimba yetu?
Kwenye kuzuga nakukubali.We kizee usiniharibie mood yangu bwana[emoji17]
Hivi yule mzamini wa Miss Chit Chat alikuwa nani...Somebody Ruhazwe...asante mkuu Elli hivi ulikuwa una undugu na ladyfurahia?
Gudi aftanuni...goodmorning Otorong'ong'o
Kuna mmoja anaitwa FloraMADADA WENGI WALIKUWA HAWANIPENDI KWA NYUZI ZANGU IKABIDI ID YANGU NIBADILI JINA ILA HAWA Lizzy Dena Amsi Eliza wa Tegeta,@JESTINA,King'asti WALIKUWA MASWAIBA ZANGU SANA
ni mini wangu. Nilidhani umenisusa, kumbe ulinisahau tu. haaaaa. za long time vpKuna mtu nimemmiss ila nimemsahau jina[/QUOTE