Kubali matokeo mkuu lkn pia kama una hela huwezi kuwa Mzee mbele ya vibinti hiviNimeona nasalimiwa sana shikamoo Ikabdi ninyoe ndevu, 🤣nifananie na vijana 20,21, 22 lakini wapi ndo kwanza vipele vya ndevu lukuki
Hatari sana mkuu.2007 nilikuwa busy na ngoma za TMK, ZayB,
Papu baadae kwenye 2009 zikaja chupi za TMK Zina kama ramani ya Jamaica basi ulivaa hiyo mnyamwez unaonekana noma, kichizi unabaki kifua wazi, huku chupi ya TMK imepanda juu alafu, unapiga staili ya mapanga shaa🙌
Kubali matokeo mkuu lkn pia kama una hela huwezi kuwa Mzee mbele ya vibinti hivi
Ndio nan
Isije ikawa tu ni ya shem wangu binti kiziwiSure yapo madume ila pia kuyatambua ni rahisi mfano Kuna I'd Moja inajiita Binti Nini sijui hiyo inajianzishia Uzi halafu inaswitch Ile yenyewe then inatembea na uzi
Hapana,Isije ikawa tu ni ya shem wangu binti kiziwi
Siendi popote nipo na ww 😹💃🏾Kwendraaa
Upo na mimi wapSiendi popote nipo na ww 😹💃🏾
hawezi😂 utatukanwa
Tafuta mishangazi kukwepa aibu kama hizi... Haisumbui hiyoMfano Leo nimebubujikwa na machozi kama Lucas mwashambwa Baada ya kwenda hospital moja hivi nikakiomba kibinti ka-nurse 19 of age
Akanijibu kaka tafuta saizi yako Niache nisome🥶🤣
Maana huyo shem wangu binti kiziwi kanyooka sana hana makando kando.Hapana,
Jichanganyehawezi
Basi kipindi hicho ukivaa mlegezo 🤣alafu staili ya kudunda babu lazima uwe nayo mimi nilikua najiita "bastola mbili" 🤣kundi letu lilkua linaitwa "guantanamo crew geita"GCG🤣Hatari sana mkuu.
Nimekuwepo toka enzi za gangwe gear, zile tshirt za east coast nshasahau hata zilikuwa zinapigwa ni.
Enzi tunavaa zile ribon za wacheza basket na watu wanajibandika plast kama nelly, tshirt ya dada na jeans za sean john.
Enzi za bifu la zay b na solo thang akaamua amkomoe amletee sister P
Ukinipa kunyonya svuti nyonyo lote unavuta ch*chu tu😹😹😹😹 Baki na vipele vya ndevu
😘😘Amna mdogo wangu tupo pamoja
Mtu wangu wa nguvu baba kijacho😞Ndio nan
mlete..Jichanganye
Tumuulize holoholo akipigwa vzuri ataongeaMaana huyo shem wangu binti kiziwi kanyooka sana hana makando kando.