Wakongwe wa hii platform jf mkuje na shout out kwenu

Wakongwe wa hii platform jf mkuje na shout out kwenu

Nimeona nasalimiwa sana shikamoo Ikabdi ninyoe ndevu, 🤣nifananie na vijana 20,21, 22 lakini wapi ndo kwanza vipele vya ndevu lukuki
Kubali matokeo mkuu lkn pia kama una hela huwezi kuwa Mzee mbele ya vibinti hivi
 
2007 nilikuwa busy na ngoma za TMK, ZayB,

Papu baadae kwenye 2009 zikaja chupi za TMK Zina kama ramani ya Jamaica basi ulivaa hiyo mnyamwez unaonekana noma, kichizi unabaki kifua wazi, huku chupi ya TMK imepanda juu alafu, unapiga staili ya mapanga shaašŸ™Œ
Hatari sana mkuu.
Nimekuwepo toka enzi za gangwe gear, zile tshirt za east coast nshasahau hata zilikuwa zinapigwa maneno gani.
Enzi tunavaa zile ribon za wacheza basket na watu wanajibandika plast kama nelly, tshirt ya dada na jeans za sean john.
Enzi za bifu la zay b na solo thang akaamua amkomoe amletee sister P
 
Mfano Leo nimebubujikwa na machozi kama Lucas mwashambwa Baada ya kwenda hospital moja hivi nikakiomba kibinti ka-nurse 19 of age
Akanijibu kaka tafuta saizi yako Niache nisome🄶🤣
Kubali matokeo mkuu lkn pia kama una hela huwezi kuwa Mzee mbele ya vibinti hivi
 
Watu wakina nilivyo mkongwe hapa JF wanaweza kufikri me mzee kumbe kijana mbichi, nakula mabibi na mabinti you are welcome
 
Hatari sana mkuu.
Nimekuwepo toka enzi za gangwe gear, zile tshirt za east coast nshasahau hata zilikuwa zinapigwa ni.
Enzi tunavaa zile ribon za wacheza basket na watu wanajibandika plast kama nelly, tshirt ya dada na jeans za sean john.
Enzi za bifu la zay b na solo thang akaamua amkomoe amletee sister P
Basi kipindi hicho ukivaa mlegezo 🤣alafu staili ya kudunda babu lazima uwe nayo mimi nilikua najiita "bastola mbili" 🤣kundi letu lilkua linaitwa "guantanamo crew geita"GCG🤣
 
Back
Top Bottom