Nimeona nasalimiwa sana shikamoo Ikabdi ninyoe ndevu, 🤣nifananie na vijana 20,21, 22 lakini wapi ndo kwanza vipele vya ndevu lukukiWakati huo wewe uko na umri gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona nasalimiwa sana shikamoo Ikabdi ninyoe ndevu, 🤣nifananie na vijana 20,21, 22 lakini wapi ndo kwanza vipele vya ndevu lukukiWakati huo wewe uko na umri gani.
Mhh dada ulinidanganya kumbeSalamu wakubwa jaman nilikua na survey Kuna member since 2007 ndo natambaa sijui ila ivi mnajuaga kama Kuna watu wamepotea, au hatupo nao Tena ila muendelee kutupa madini nawaheshimu viongozi muendelee kuepo 💯.
Sasa mzee wangu Eron mimi bado damu inachemka😝niriluka stage kipind wenzangu walipokuwa under 25 mimi nilkua nishaanza majukumu ya wakubwa, kwahyo Ata muda wa kutongoza sikuwa naoAcha mara moja kuharibu mabinti zetu mkuu🤣🤣
Siyo kujitunza kutokuliwa,I mean usmart tu,kupiga zoezi na kunywa maji mengi...pia kutokuwa na stress za kijinga...mwili hauzeeki....kupigwa fimbo apigwe tu maana uji nao ule unasoftisha mwili😘Balehe ikiwa inamsumbua asahau kujitunza, wana wanajisevia tu.
Bado katoto kumbe 😹🙌🏾
Amna mdogo wangu tupo pamojaMhh dada ulinidanganya kumbe
To yeye katika ubora wako🤣Siyo kujitunza kutokuliwa,I mean usmart tu,kupiga zoezi na kunywa maji mengi...pia kutokuwa na stress za kijinga...mwili hauzeeki....kupigwa fimbo apigwe tu maana uji nao ule unasoftisha mwili😘
Yote kama yanafaidaUnataka madini Joto au baridi 😝😅
🤣🤣🤣🤭 Tulia wewee 🥴To yeye katika ubora wako🤣
Eeh nitapenda unipe nyonyo zako ninyonye 😝Bado katoto kumbe 😹🙌🏾
Sipingi hilo mkuu wapo wazuri sana na baadhi nawajua ila pia wapo wanaowaharibia wenzao.Hum Kuna madem wazuri mkuu ondoa fokra potofu hizo hata mim nilikuwa naamini hivyo
KwendraaaUnazingua Tena 😹😹
2007 unatambaa? Aisee nmezeeka kwa kweli. Hizo ni enzi ambazo natembea na daftari mbili nizikunja nimeweka mfuko wa nyuma naenda shule.Salamu wakubwa jaman nilikua na survey Kuna member since 2007 ndo natambaa sijui ila ivi mnajuaga kama Kuna watu wamepotea, au hatupo nao Tena ila muendelee kutupa madini nawaheshimu viongozi muendelee kuepo 💯.
😂 utatukanwaMali ya 2007 cheki avatar ya 1990...🤣
😹😹😹😹 Baki na vipele vya ndevuEeh nitapenda unipe nyonyo zako ninyonye 😝
😹😹🙌🏾💔Sipingi hilo mkuu wapo wazuri sana na baadhi nawajua ila pia wapo wanaowaharibia wenzao.
Sure yapo madume ila pia kuyatambua ni rahisi mfano Kuna I'd Moja inajiita Binti Nini sijui hiyo inajianzishia Uzi halafu inaswitch Ile yenyewe then inatembea na uziSipingi hilo mkuu wapo wazuri sana na baadhi nawajua ila pia wapo wanaowaharibia wenzao.
2007 nilikuwa busy na ngoma za TMK, ZayB,2007 unatambaa? Aisee nmezeeka kwa kweli. Hizo ni enzi ambazo natembea na daftari mbili nizikunja nimeweka mfuko wa nyuma naenda shule.