Wakongwe wa hii platform jf mkuje na shout out kwenu

Wakongwe wa hii platform jf mkuje na shout out kwenu

Salamu wakubwa jaman nilikua na survey Kuna member since 2007 ndo natambaa sijui ila ivi mnajuaga kama Kuna watu wamepotea, au hatupo nao Tena ila muendelee kutupa madini nawaheshimu viongozi muendelee kuepo 💯.
2007 unatambaa? Aisee nmezeeka kwa kweli. Hizo ni enzi ambazo natembea na daftari mbili nizikunja nimeweka mfuko wa nyuma naenda shule.
 
2007 unatambaa? Aisee nmezeeka kwa kweli. Hizo ni enzi ambazo natembea na daftari mbili nizikunja nimeweka mfuko wa nyuma naenda shule.
2007 nilikuwa busy na ngoma za TMK, ZayB,

Papu baadae kwenye 2009 zikaja chupi za TMK Zina kama ramani ya Jamaica basi ulivaa hiyo mnyamwez unaonekana noma, kichizi unabaki kifua wazi, huku chupi ya TMK imepanda juu alafu, unapiga staili ya mapanga shaa🙌
 
Back
Top Bottom