Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakianza hako kamchezo ka kukazana hawatatoboa mkuu. Tena unasisitizia ''wakazane sana''Wakazane sana asee..Game Ngumu na ina ushindani
Lord eyes katoka mwenyewe Mtonyo wangu wapi, G nako weusi, Bu nako namuona mitaa ya milestone anakula maisha.Wakijikaza wanaweza wakarudisha japo
Nusu ya heshima yao
Nako2nako dha ndo
Tuliwazka kabsa au kuna
Sku mtafufuka
Let's wait ,time will tellP1 black,Saida karoli,Dudu baya,Tid,Chid Benz,Mansul...nk
Je watatoboa kwa Vijana kwa Digitalia?
Time will tell.
Siku zote napenda uimbaji wake, tangu wakati uleeee anaenda enda China na mama yake.Huyu bidada naye karudi naona jana katambulisha video yake
sasa kama we unawaza vingine mimi simaanishi hivyo..Wakianza hako kamchezo ka kukazana hawatatoboa mkuu. Tena unasisitizia ''wakazane sana''
Sie tunakomaa humu humu,Commercial Niggaz wana pumu,mistari inawahukumu....Wakazane sana asee..Game Ngumu na ina ushindani
P1 black,Saida karoli,Dudu baya,Tid,Chid Benz,Mansul...nk
Je watatoboa kwa Vijana kwa Digitalia?
Time will tell.
Nini dhambi............................baada ya father nelly kupumzika nyumba yake ya milele(Rip) Kundi lilipotea kabisa ila walikua wanapiga ngumu balaa