Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Tanzania bila mikopo inawezekana ndugai alikuwa sahihi ipo siku nchi itapigwa mnada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan wamekula kila walichwekewa mpaka maji wamemalliza🤣🤣🤣 halafu wana angalia kwa makini ivyo vyakula ambavyo havijaliwa 🤭🤭 ila mbona kama mother hawajamuwekea chakula chochote 🤔Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30..
Hapo ni swala tu la matumizi bora ya rasilimali🤔Hiyo mbona ipo hata huku. Kwani Tundu Lissu mmoja ni sawa na kina Babu Tale million ngapi?
Iwapo ikipigwa je yeye atapona🤔Tz bila mikopo inawezekana ndugai alikuwa sahihi ipo siku nchi itapigwa mnada
😎😁😂🤣Iwapo ikipigwa je yeye atapona🤔
Nimeipenda hiiWalibakiza kidogo waondoke na robot Eunice kwenda Korea,
wakorea hawana muda wa kupoteza
😹😹noma snaaKwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30...
Elizabeth michael/lulu mrs majizoHao Watanzania 20 ni akina nani? Labda ukiwafahamu utajua kwanini wapo hapo.
Basi watakuwa wameenda kujadili kuhusu tamthilia za kikorea.Elizabeth michael/lulu mrs majizo
Tutamkumbuka tuu.Hao Watanzania 20 ni akina nani? Labda ukiwafahamu utajua kwanini wapo hapo.
Ni hatari sana badala ya kwenda na wataalam wanaenda na waigizaji.Basi watakuwa wameenda kujadili kuhusu tamthilia za kikorea.
Aibu kweli yaani! Hao ndio wameuza Bahari yetu, waone walivyo!Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.
Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi kwamba lazima wawe wengi wapambane na za Wakorea ambao inajulikana wana akili sana.
Sasa sielewi hapo wale wa majalalani wako wangapi na wasanii ni wangapi!
Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi. Wakorea wanne tu wamejichukulia bahari yetu kiulaini kabisa.
Pia soma: Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6
atafanyaje anasubiri muda wa ndio mzee.Huyu wa mwanzo mbona anachezea simu