Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mama ameenda na WasaniiHuyu wa mwanzo mbona anachezea simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ameenda na WasaniiHuyu wa mwanzo mbona anachezea simu
Wakina tale 23500Hiyo mbona ipo hata huku. Kwani Tundu Lissu mmoja ni sawa na kina Babu Tale million ngapi?
Acha uongo mbusi wewe.average iq ya Korea (kusini) > 90 vs tanzagiza ~70 isitoshe Korea hakuna uislamu yaani ni O waislamu ukiondoa baadhi ya wanafunzi ktk nchi za kiislamu lkn kuna Christians wengi tu, Korean Christian Church ni moja kati ya Makanisa makubwa Duniani …
Kanisani Korea (Kusini)
View attachment 3008047
Hapo January anawaza Simba tu, Mwigulu anawaza Singida fountain gate unategemea wataongea nini na hao wa Korea? ni klazima ubebe mawaziri na wajumbe hata 50 ili upate akili za kuokoteza okoteza.Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30...
Ana hela zake akiamua anahama nchi tu.Iwapo ikipigwa je yeye atapona🤔
Naomba nitoe ufafanuzi kidogo kutokana na ufahamu wangu juu ya hili. Hicho kilikuwa kikao cha directors wa Korea Kusini na wadau wa sanaa nchini kuanzia viongozi, waigizaji hadi watayarishaji wa maigizo na tamthilia .Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30...
MbusiiiiTutamkumbuka tuu.
qengeh
Sijaafiki hilo suala la rais kuambatana na hao wasanii.Naomba nitoe ufafanuzi kidogo kutokana na ufahamu wangu juu ya hili. Hicho kilikuwa kikao cha directors wa Korea Kusini na wadau wa sanaa nchini kuanzia viongozi, waigizaji hadi watayarishaji wa maigizo na tamthilia ...
Naomba nitoe ufafanuzi kidogo kutokana na ufahamu wangu juu ya hili. Hicho kilikuwa kikao cha directors wa Korea Kusini na wadau wa sanaa nchini kuanzia viongozi, waigizaji hadi watayarishaji wa maigizo na tamthilia...
Mmeona sasa. Vijana msipende kudandia picha na kuzipa maneno. Mama alibeba wasanii (kama anavyobeba wafanyabiashara) ili wakajifunze kwa wenzao. Sanaa ni moja ya vyanzo vya ajira kwa vijana.Basi watakuwa wameenda kujadili kuhusu tamthilia za kikorea.