Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Wakorea wanne kwenye kikao cha Watanzania 20

Sa100: Nyie mnaakili sana,ndio maana Mna maendeleo makubwa

Mkorea: Hapana nyie Mna akili sana mmetuzidi Sana,

Sa100: masikhara,kivipi??

Mkorea; Sisi kati ya watu kumi,Smart Mmoja,wengine Tisa wote vilaza,

Sa100;Enhee na sisi je??

Mkorea; Nyie kati ya Kila watu kumi, Smart Tisa,kilaza Mmoja..

Sa100;Enhe Sasa Tatizo Nini??

Mkorea;Sisi huyo Mmoja Smart ndio anaongoza hao Tisa wengine,ila nyinyi Huyo Mjinga mmoja ndio anachaguliwa kuongoza hao Tisa Smart,huoni??I mean look at you ma'am,and CV za watu uliokuja nao...
 
Sa100: Nyie mnaakili sana,ndio maana Mna maendeleo makubwa

Mkorea: Hapana nyie Mna akili sana mmetuzidi Sana,

Sa100: masikhara,kivipi??

Mkorea; Sisi kati ya watu kumi,Smart Mmoja,wengine Tisa wote vilaza,

Sa100;Enhee na sisi je??

Mkorea; Nyie kati ya Kila watu kumi, Smart Tisa,kilaza Mmoja..

Sa100;Enhe Sasa Tatizo Nini??

Mkorea;Sisi huyo Mmoja Smart ndio anaongoza hao Tisa wengine,ila nyinyi Huyo Mjinga mmoja ndio anachaguliwa kuongoza hao Tisa Smart,huoni??I mean look at you ma'am,and CV za watu uliokuja nao...
Samia: Inawezekana ng'ombe akachunga kundi la masai?

Mkorea: ????

Samia: Ng'ombe ni ng'ombe tu.
 
Sa100: Nyie mnaakili sana,ndio maana Mna maendeleo makubwa

Mkorea: Hapana nyie Mna akili sana mmetuzidi Sana...
Umeandika kiutani ila kuna ukweli ndani yake. Kuna mtu nilimwambia hata Ulaya wajinga ni wengi kuliko wenye akili.

Tofauti ni moja wenye akili wachache huko Ulaya wanafanya kazi kubwa kuendeleza nchi yao na watu wao,ila huku kwetu hao wachache waliopewa nafasi ndio vinara wakuibia nchi yao na kudidimiza wanachi yao.
 
Umeandika kiutani ila kuna ukweli ndani yake. Kuna mtu nilimwambia hata Ulaya wajinga ni wengi kuliko wenye akili. Tofauti ni moja wenye akili wachache huko Ulaya wanafanya kazi kubwa kuendeleza nchi yao na watu wao,ila huku kwetu hao wachache waliopewa nafasi ndio vinara wakuibia nchi yao na kudidimiza wanachi yao.
Kweli kabisa,huku watunga Sera,watunga Sheria,wapitisha mikataba,Kigezo Cha Elimu kujua kusoma na kuandika tu...
 
Acha uongo mbusi wewe.
KOREA KUSINI SENSA YA MWISHO KUFANYIKA IMETOA MAJIBU KUWA KUNA WAISLAM TAKRIBAN LAKI TATU.
NA KATIKA HAO LAKI TATU LAKI MOJA NZIMA NI WAZAWA YANI WAISLAM ASILI YA KIKOREA.
NA MISIKITI IPO PIA.

Christians ni >27% of the population, waislamu laki kwenye population ya > milioni 50 ni sawa na asilimia 0.% , karibia 30% ya Wakorea ni Christians (western) ndio maana kuna high IQ ambayo inahitajika kuleta maendeleo …
 
Christians ni >27% of the population, waislamu laki kwenye population ya > milioni 50 ni sawa na asilimia 0.% , karibia 30% ya Wakorea ni Christians (western) ndio maana kuna high IQ ambayo inahitajika kuleta maendeleo …
Kwa mtazamo wako muslims hawana IQ ya kuleta maendeleo!?
 
average iq ya Korea (kusini) > 90 vs tanzagiza ~70 isitoshe Korea hakuna uislamu yaani ni O waislamu ukiondoa baadhi ya wanafunzi ktk nchi za kiislamu lkn kuna Christians wengi tu, Korean Christian Church ni moja kati ya Makanisa makubwa Duniani …

Kanisani Korea (Kusini)
View attachment 3008047
Hoja yako hapa ni nini mtanzania mwenzetu?!!!
 
Wananchi ng'ombe au maasai??
Wanaochungwa huwa ni ng'ombe au masai? Akili kubwa haiwezi kubali kuongozwa na akili ndogo muda mrefu, itatafutwa namna tu mwenye akili ataongoza. Miaka zaidi ya 30 unaongozwa na wasio na akili utakuaje na akili? Baadhi ya watanganyika tunajua kujifanya tuna akili na viongozi ndo wajinga.
 
Mmeona sasa. Vijana msipende kudandia picha na kuzipa maneno. Mama alibeba wasanii (kama anavyobeba wafanyabiashara) ili wakajifunze kwa wenzao. Sanaa ni moja ya vyanzo vya ajira kwa vijana...
Nilishaandika kuhusu hilo, in case hukuona

 
Hoja yake iko wazi,yakwamba waislam hawana IQ ya kuleta maendeleo.
Na Korea kusini imeendelea kwasababu ina waislam wachache.
Oh, kumbe. Na vp kuhusu kule kufirwa kwenu kama mlivyoruhusiwa na papa hakuchangii maendeleo yenu?!!! Haiwezekani mabasha wenu kuja na kuchangia mitani?!!!

Back to the topic, Uislamu haujaanza leo kutukanwa.....umetukanwa na kupingwa enzi na enzi tena na wenye akili na uwezo sio kama nyie panya wa JF msiokuwa na lolote lkn wote walishindwa. Nyie panda na jitihada zenu hamsumbui komwe hata sekunde.

Vp South Sudan kuha waislamu?!!!!
 
Back
Top Bottom