Una uhakika gani ni waislamu ?🤣 Uislamu sio kusema Allah akbar ...Yaani watu hawaendi Hija ,hawaswali salah 5 ,hawafanyi mema kazi yao ni kuua watu useme ni waislamu ....Hakuna kitu kam hicho Qur an ilishakataa kuuwa watu.Kwa nini waislamu tuu?
Uislamu ni kansa ya dunia kwa sasa!
Fikiria haya kwanza: pesa wanatoa wapi ? Je,wao ni asilimia ngapi ya waislamu wote duniani ,ISIS na makundi mengine wameua sana waislamu kuliko jamii nyingine kama hujui...Onesha wapi mtume aliamrisha kutumia bunduki .🤣🤣Hija inafanywa na kikundi au mtu mmoja mmoja?Wale wa Kibiti nao walikuwa funded na US?
Tatizo la dini yako ni pale inapotaka kujipa mamlaka ya kisiasa!
Unafikiri silaha wanapewa bure?Mzungu anafanya biashara!Lete ushahidi, kuna Ushahidi wa kutosha Israel na Usa wana fund Isis na Al Qaeda.
US fuels Syrian war with new arms supplies to Al Qaeda terrorists - Dilyana.bg
The Pentagon is buying $2.8 billion worth of weapons for conflict zones around the world. Most of the weapons are destined for Syria.dilyana.bg
Tuliona mpaka Kina Netanyahu wakiwa tembelea Hospital.
Juzi hapa Limebumburuka Boko Haram wanapewa misaada na US Aid, kwenye Bunge la Usa,
Nigeria: American Lawmaker Accuses USAID of Funding Boko Haram, Other Terror Groups
The lawmaker said the USAID's annual budget of $697 million including cash shipments to madrasas (Islamic schools), has inadvertently funded terrorist training camps and extremist groups.allafrica.com
Unaweza ukaniambia hao Isis huko Congo
1. Nani anawapa silaha
2. Nani anagharamia kulipa Askari na wengineo?
Quran ninayoifahamu mimi inaagiza kuua wasioaminiUna uhakika gani ni waislamu ?🤣 Uislamu sio kusema Allah akbar ...Yaani watu hawaendi Hija ,hawaswali salah 5 ,hawafanyi mema kazi yao ni kuuwa watu useme ni waislamu ....Hakuna kitu kam hicho Qur an ilishakataa kuuwa watu.
Enzi za mtume kulikuwa na mapamga na ndiyo mnayatumia kuchinja wasioamini!Fikiria haya kwanza: pesa wanatoa wapi ? Je,wao ni asilimia ngapi ya waislamu wote duniani ,ISIS na makundi mengine wameuwa sana waislamu kuliko jamii nyingine kama hujui...Onesha wapi mtume aliamrisha kutumia bunduki .🤣🤣
Hamas silaha zao zinajulikana most of them ni za kizamani sana ama ni home made hawana silaha yoyote ya kisasa hata kulipua Nyumba tu.Unafikiri silaha wanapewa bure?Mzungu anafanya biashara!
Kwani silaha za Hamas zinatoka wapi?
Wapi? Nikupe maelezoQuran ninayoifahamu mimi inaagiza kuua wasioamini
Nioneshe Walipigana kwenye makazi ya watu ,elimu huna utapata tabu sana 🤣🤣 wenzio walikuwa kama timu za mpira ,wanaenda kweny viwanje vya vita sio kuvamia makazi ya watu.Enzi za mtume kulikuwa na mapamga na ndiyo mnayatumia kuchinja wasioamini!
Bunduki zimekuja hivi karibuni
Unatumia nguvu nyingi sana kuutetea uislamu.Hamas silaha zao zinajulikana most of them ni za kizamani sana ama ni home made hawana silaha yoyote ya kisasa hata kulipua Nyumba tu.
Anafanya biashara toka wapi? Unahisi kununua silaha ni child play? Zina gharama matrilioni ya hela, hao Is wanatoa wapi hayo Matrilioni ya hela, hapo hio Article wameonesha tu baadhi ya Silaha ni 2.8B usd zaidi ya Trilioni 6, kikundi cha waasi kinatoa wapi Trilioni 6.
Na kama Is wanatibiwa Israel, wanapewa Silaha na Marekani iweje uwanasibishe na waisilamu ambao kila siku wanauliwa na hao Is? Asilimia zaidi ya 90 ya watu Wanaouliwa na Is ni waisilamu.
Swali kwanini wanaokubali kutumiwa na hao uliosema wengi au wote wanatumia jina la Mungu wa kwenye uislam?Lete ushahidi, kuna Ushahidi wa kutosha Israel na Usa wana fund Isis na Al Qaeda.
US fuels Syrian war with new arms supplies to Al Qaeda terrorists - Dilyana.bg
The Pentagon is buying $2.8 billion worth of weapons for conflict zones around the world. Most of the weapons are destined for Syria.dilyana.bg
Tuliona mpaka Kina Netanyahu wakiwa tembelea Hospital.
Juzi hapa Limebumburuka Boko Haram wanapewa misaada na US Aid, kwenye Bunge la Usa,
Nigeria: American Lawmaker Accuses USAID of Funding Boko Haram, Other Terror Groups
The lawmaker said the USAID's annual budget of $697 million including cash shipments to madrasas (Islamic schools), has inadvertently funded terrorist training camps and extremist groups.allafrica.com
Unaweza ukaniambia hao Isis huko Congo
1. Nani anawapa silaha
2. Nani anagharamia kulipa Askari na wengineo?
Unatumia nguvu nyingi sana kuutetea uislamu.
Shida ya dini yako ni kutaka kuwa na mamlaka ya kisiasa na si vinginevyo!Hao wa Isis,Boko harama, Kibiti na wengineo ndoto yao ni kuutawala ulimwengu kupitia uislamu.Watafanya kila hila ili azma yao itimie.
NOMA SANA...Siku wakiingia hapa Tanzania hutosikia CHADEMA wala CCM. Hakutakuwa na kidumu chama wala peeples, zitatawala Allah Akbar kila kona.
Mbona kurani 9.5 inawataka waislamu kuwaua waamini miungu wengi unless wakubali kuwa waislamu?....Hakuna kitu kam hicho Qur an ilishakataa kuuwa watu.
Ilikuwa ni wakati wa vita ambapo waliwekeana treaty ya nakubaliano ,some mwanzo mwisho yaani ile kushambuliwa na wao wanashambulia...Soma Qur an nzima yaani surah nzima sio nusu nusu .Mbona kurani 9.5 inawataka waislamu kuwaua waamini miungu wengi unless wakubali kuwa waislamu?
''Then when the sacred months have passed, kill the polytheists wherever you find them, capture them, besiege them, and lie in wait for them at every ambush. But if they repent, establish prayer, and give zakah, then let them go their way. Indeed, Allah is Forgiving and Merciful."
Ilikuwa wakati wa vita ? So una maana hiyo aya imepitwa na wakati?Ilikuwa ni wakati wa vita ambapo waliwekeana treaty ya nakubaliano ,some mwanzo mwisho yaani ile kushambuliwa na wao wanashambulia...Soma Qur an nzima yaani surah nzima sio nusu nusu .
Kwa hiyo ukute tu watu uanze kuwakamata 🤣🤣
Suala ni kwamba wanajinadibisha na Uislam, na wanashanhiliwa na juungwa mkono na Waislam wengi,akiwemo Faiza!Naona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Akikujibu unijuze!Ilikuwa wakati wa vita ? So una maana hiyo aya imepitwa na wakati?
ni moja tu hiyo inayoitwa amani kumbe ni vita ndiyo ya kishetaniDini hizi ndio ushetani wenyewe.