Wakristo 70 wamekutwa wamekatwa vichwa kanisani DRC

Wakristo 70 wamekutwa wamekatwa vichwa kanisani DRC

Naona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Acha kulalama ili kuficha ukweli dunia nzima wanajua wanaochinja watu ni hiyo dini kwa kuwa wao walishajichafua wameona walichafue na kanisa kwa kwenda ku hinja watu ndani ya kanisa hilo kuficha uovu wao!!
 
Hivi vikundi
Wakristo 70 wamepatikana wakiwa wamekatwa vichwa katika kanisa moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika shambulio la hivi punde dhidi ya waumini kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Kulingana na vyanzo vya habari, mnamo saa nne asubuhi Alhamisi iliyopita (13 Februari) washukiwa wa wanamgambo kutoka Allied Democratic Forces (ADF) - kikundi chenye uhusiano na kile kinachoitwa Islamic State (IS) - walikaribia nyumba za Mayba katika eneo la Lubero, wakisema: "Ondoka, toka nje na usipige kelele yoyote." Wanaume na wanawake ishirini wa Kikristo walitoka nje na kukamatwa.

Wakitikiswa na tukio hili, watu kutoka jamii ya eneo la Mayba baadaye walikusanyika ili kupanga jinsi ya kuwaachilia wale waliokuwa wamefungwa. Hata hivyo, wanamgambo wa ADF walikizingira kijiji hicho na kuwakamata waumini wengine 50.

Wote 70 waliotekwa nyara walipelekwa katika kanisa la Kiprotestanti huko Kasanga ambako waliuawa kwa kusikitisha.
Source and more: 70 Christians found beheaded in church in DRC
Vya kigaidi vipo kwa ajili ya kuharibu Taswira ya uislamu! Boko haramu,alshababu,islamic state ni mashetani tu
 
Naona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Huu ndio ukweli.Hivi vikundi vinapata pesa na silaha kutoka wapi.Na hili jambo la hao wanaowapa silaha na pesa,wasipokemewa,na kuanikwa wazi,hii hali,haitakwisha.
 
Umeulizwa swali wale magaidi wa Kibiti na wale waliokuwa wanachapa viboko watu kwenye mfungo wa Ramadhan nao walikuwa funded na US na Israel ?
Hakuna waislam hapo,fikiria katika akili yako,wanapata pesa wapi,za kula na mahitaji mengine,bila ya kuwa yupo mfadhili mwenye uwezo.Katika masharti ya kufunga katika uislamu
1.Anayefunga asiwe mgonjwa
2.Mwanamke asiwe kwenye siku zake.
3.Msafiri,kapewa ruhusa asifunge.
4kufunga lazima uwe muislamu
5.Mkichaa,haruhusiwi kafunga.
6.Ambaye hajafika umri wa kufunga,yaani amebalekhe au amevunja ungo.
Hawa wote utawajuwaje,kama hakufunga kwa sababu hizo,uwachape tu bakora.
 
Lete ushahidi, kuna Ushahidi wa kutosha Israel na Usa wana fund Isis na Al Qaeda.


Tuliona mpaka Kina Netanyahu wakiwa tembelea Hospital.

Juzi hapa Limebumburuka Boko Haram wanapewa misaada na US Aid, kwenye Bunge la Usa,

Unaweza ukaniambia hao Isis huko Congo
1. Nani anawapa silaha
2. Nani anagharamia kulipa Askari na wengineo?
Kumbe hata huelewi unachoandika, na source zako za kubumba, hapo ni kuwa USAID walitoa msaada kwa waislam kwa ajili ya shule zao, kwa upumbavu wao wakazihamishia hizo hela kwenye shughuli za ugaidi, who is fool now?
 
Wakristo 70 wamepatikana wakiwa wamekatwa vichwa katika kanisa moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika shambulio la hivi punde dhidi ya waumini kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Kulingana na vyanzo vya habari, mnamo saa nne asubuhi Alhamisi iliyopita (13 Februari) washukiwa wa wanamgambo kutoka Allied Democratic Forces (ADF) - kikundi chenye uhusiano na kile kinachoitwa Islamic State (IS) - walikaribia nyumba za Mayba katika eneo la Lubero, wakisema: "Ondoka, toka nje na usipige kelele yoyote." Wanaume na wanawake ishirini wa Kikristo walitoka nje na kukamatwa.

Wakitikiswa na tukio hili, watu kutoka jamii ya eneo la Mayba baadaye walikusanyika ili kupanga jinsi ya kuwaachilia wale waliokuwa wamefungwa. Hata hivyo, wanamgambo wa ADF walikizingira kijiji hicho na kuwakamata waumini wengine 50.

Wote 70 waliotekwa nyara walipelekwa katika kanisa la Kiprotestanti huko Kasanga ambako waliuawa kwa kusikitisha.
Source and more: 70 Christians found beheaded in church in DRC
Hawa mahayawani wana roho za ajabu sana. Unauaje mtu huku ukiwa huna sababu za msingi za kufanya hivyo!
 
Wengi ni ma Agent hasa kwenye top Position, wanakua ni MOSSAD, Cia etc ama watu wao ambao wame kuwa trained miaka na miaka. Anafuga tu ndevu kidogo kudanganya watu.

Vita mbalimbali duniani vime expose hawa jamaa, hasa hasa vita ya Ukraine, jiulize kama kweli hawa jamaa wa natetea Maslahi ya waisilamu vita vya Ukraine vinawahusu nini? Tuliona maelfu kwa Maelfu ya Isis wakienda kusaidia Ukraine, does that even make sense?

Mfano wa Isis/Al qaeda ambao wamekamatwa ama kugundulika ni Abu Hafsa aka Benjamin Efraim, Alikamatwa Libya kama Kamanda wa Isis ila baada ya kuhojiwa ikawa revealed ni Agent wa MOSSAD.
Kwamba waislam wao hawana pridence wakipewa fedha na makafiri wanaua tuu?
Nioneshe makala yako moja tu uliyowahi kuandika humu ukikemea mauaji yanayofanywa na waislamu wenzio nami nikuoneshe makala zako ukifurahia mauaji yanayofanywa na waislamu wenzio!
 
Ivi DRC napo kuna wanamgambo wa Islamic State kama Boko haram wa Nigeria 🇳🇬?
Huwa Najiuliza hawa waasi wanawashida vipi wanajeshi wa UN??
Wewe kwa akili yako hao ni waasi au mabepari wamewaweka kwa mipango yao? Hayo madini yote yanaenda kwa mabepari kwa nusu bei dunia ndio ipo hivyo na dunia nzima inajua
Unaona trump alichomwambia zelensky? Atachukua nusu ya madini ya ukraine kufidia alivyomsaidia
 
Naona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Matajiri wa uarabuni wengi tu wanafadhili makundia ya ugaidi kisiri.
 
Kwamba waislam wao hawana pridence wakipewa fedha na makafiri wanaua tuu?
Nioneshe makala yako moja tu uliyowahi kuandika humu ukikemea mauaji yanayofanywa na waislamu wenzio nami nikuoneshe makala zako ukifurahia mauaji yanayofanywa na waislamu wenzio!
Hakuna hata cha uislamu mkuu hao boko haramu imekuja kugundulika usaid ndio waliyokuwa wanawafadhili
ISis ni branch ya mosad
Wakishindwa kuweka magaidi nchini kwako wanakuua kama libya na iraq
 
Back
Top Bottom