Wakristo 70 wamekutwa wamekatwa vichwa kanisani DRC

Wakristo 70 wamekutwa wamekatwa vichwa kanisani DRC

Utasemaje kuhusu mauaji yale yaliyofanywa kwenye supermarket na chuo kikuu hapo nchini Kenya, ambapo watu walikuwa wanaulizwa dini zao na maswali kutoka kwenye mafundisho ya dini ya kiislam, ukishindwa kujibu unauawa?
Wewe ushukuru hujalishwa hayo mafundisho ya uislam shetani.
Jiulize, uliwahi kusikia mahali popote Duniani alitokea gaidi mwenye imani au hata jina tu la kikristo au budha au hindu akawa anawachagua watu wa dini fulani tu na kuwaua? Wapo waovu katika dini zao, lakini uovu wao hawaufungamanishi na dini zao, na ndiyo maana hata uovu wao hautalenga watu wa imani fulani.

Sina chuki na wala siwezi kuwa na chuki na uislam, lakini ni ukweli ulio dhahiri kuwa kuna baadhi ya mafundisho ndani ya uislam yanayosababisha watu kuwa mashetani katika mazingira yetu.
Nipe ayah inayohalalisha walichokifanya , dhumuni la kuvamia ilikuwa n nn kama unajua au ulikuwa bado mdogo ?

watu wanaotaka Ranson ndio wanapigania dini?
 
Naona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Unamkumbuka maremu Rogo wa Mombasa? usiseme tu islamophobe. Hili lidunia ndivyolilivyo. Maisha yaendelee tu
 
Wakristo 70 wamepatikana wakiwa wamekatwa vichwa katika kanisa moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika shambulio la hivi punde dhidi ya waumini kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Kulingana na vyanzo vya habari, mnamo saa nne asubuhi Alhamisi iliyopita (13 Februari) washukiwa wa wanamgambo kutoka Allied Democratic Forces (ADF) - kikundi chenye uhusiano na kile kinachoitwa Islamic State (IS) - walikaribia nyumba za Mayba katika eneo la Lubero, wakisema: "Ondoka, toka nje na usipige kelele yoyote." Wanaume na wanawake ishirini wa Kikristo walitoka nje na kukamatwa.

Wakitikiswa na tukio hili, watu kutoka jamii ya eneo la Mayba baadaye walikusanyika ili kupanga jinsi ya kuwaachilia wale waliokuwa wamefungwa. Hata hivyo, wanamgambo wa ADF walikizingira kijiji hicho na kuwakamata waumini wengine 50.

Wote 70 waliotekwa nyara walipelekwa katika kanisa la Kiprotestanti huko Kasanga ambako waliuawa kwa kusikitisha.
Source and more: 70 Christians found beheaded in church in DRC
Dini inapokuwa mzigo mzito
 
Mipango ya wazungu tu kuchafuwa Uislamu, na makafiri ya bongo yalivyokuwa hata hayawezi kufikiri yanakurupuka tu, kama mpaka sasa hujafahamu juu ya mchezo huu basi huna budi kurudi shule. Hivi juzi wabunge nchini Marekani wanaeleza uchafu wa USAID kupatia pesa vikundi vya kigaidi kama Al-Qaida na ISIS zaidi ya USD Million 679 Mwaka 2024. na kilasiku haya yanaelezwa lakin still mijitu hailewi. Nchi kama Congo na Uislamu wapi na wapi ?
 
Siku wakiingia hapa Tanzania hutosikia CHADEMA wala CCM. Hakutakuwa na kidumu chama wala peeples, zitatawala Allah Akbar kila kona.
Kama historia yako hukuwahi pata hata B ya Mathematics basi usiwe una comment kwenye mada kama hizi, Inahitaji Magenius tu kuelewa huu mchezo mchafu.
Hutokuja skia vitu kama hivi Tanzania kamwe mpaka siku Tanzania tunguwe uwepo wa massive natural resource zenye thamani kubwa na zisizo naujanja ujanja
 
Naona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Well said
 
Kumbe hata huelewi unachoandika, na source zako za kubumba, hapo ni kuwa USAID walitoa msaada kwa waislam kwa ajili ya shule zao, kwa upumbavu wao wakazihamishia hizo hela kwenye shughuli za ugaidi, who is fool now?
Ushaona Msaada Tanzania wa Madrasa ama Unajitoa tu ufahamu na wewe, tena cash na sio kwa ajili ya Vitabu ama infrastructure nyengine.
 
Kwamba waislam wao hawana pridence wakipewa fedha na makafiri wanaua tuu?
Nioneshe makala yako moja tu uliyowahi kuandika humu ukikemea mauaji yanayofanywa na waislamu wenzio nami nikuoneshe makala zako ukifurahia mauaji yanayofanywa na waislamu wenzio!
Sina makala hata moja ya kitu chochote, ukitaka speech za Isis za scholars wa Kiisilamu zimejaa kibao Isis wanajulikana kama Mbwa wa motoni, sijawahi ona scholar wa Kiisilamu anaye wasuport. Na nani kakuambia ni waisilamu? Wengi hata sio waisilamu kabisa.
 
Fikiria haya kwanza: pesa wanatoa wapi ? Je,wao ni asilimia ngapi ya waislamu wote duniani ,ISIS na makundi mengine wameua sana waislamu kuliko jamii nyingine kama hujui...Onesha wapi mtume aliamrisha kutumia bunduki .🤣🤣
Kiujumla waislamu ni watu makatili wenye roho mbaya mnooo
 
Yes, hao ni affiliated na Al Qaeda.
Wakati mwingine muwe wakweli hivi vita ya maswahaba baada ya kifo cha Mtume ilifadhiliwa na Marekani ? wanaopigana wakigombea misikiti huku kwetu wapo funded na Israel.. ifike mahali mkubali tu kuwa Uislamu haujajengwa kwenye misingi ya amani ..
 
Wakati mwingine muwe wakweli hivi vita ya maswahaba baada ya kifo cha Mtume ilifadhiliwa na Marekani ? wanaopigana wakigombea misikiti huku kwetu wapo funded na Israel.. ifike mahali mkubali tu kuwa Uislamu haujajengwa kwenye misingi ya amani ..
Vita vya masahaba na ugomvi wa msikitini unahusiana nini na kinachuzungumzwa hapa?
 
Wengi ni ma Agent hasa kwenye top Position, wanakua ni MOSSAD, Cia etc ama watu wao ambao wame kuwa trained miaka na miaka. Anafuga tu ndevu kidogo kudanganya watu.

Vita mbalimbali duniani vime expose hawa jamaa, hasa hasa vita ya Ukraine, jiulize kama kweli hawa jamaa wa natetea Maslahi ya waisilamu vita vya Ukraine vinawahusu nini? Tuliona maelfu kwa Maelfu ya Isis wakienda kusaidia Ukraine, does that even make sense?

Mfano wa Isis/Al qaeda ambao wamekamatwa ama kugundulika ni Abu Hafsa aka Benjamin Efraim, Alikamatwa Libya kama Kamanda wa Isis ila baada ya kuhojiwa ikawa revealed ni Agent wa MOSSAD.
Maistadh wa Tandika,Umurushaka, Kyaka,Mpiga Miti, ....wakiona mtu kavaa Kanzu na takbiri wanajua huyu ni mwenzao ...hata akiiba! Unakumbuka suala la Uwekazaji w DP jinsi ambavyo kuna Waislam walikiwa wanalilitetea kipumbavu!
 
Aisee ni hatari sana huko DRC damu zisizo na hatia zinamwagika tu bila sababu za msingi.
Tukiwambia vita si nzur haichagui utasikia no reform no election that is after Math ya vita inagusa kila engle ya kijamii pole zao
 
Back
Top Bottom