UN pale Kongo ipo kama picha ya kuchora tu.Ivi DRC napo kuna wanamgambo wa Islamic State kama Boko haram wa Nigeria 🇳🇬?
Huwa Najiuliza hawa waasi wanawashida vipi wanajeshi wa UN??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UN pale Kongo ipo kama picha ya kuchora tu.Ivi DRC napo kuna wanamgambo wa Islamic State kama Boko haram wa Nigeria 🇳🇬?
Huwa Najiuliza hawa waasi wanawashida vipi wanajeshi wa UN??
Wewe uko zako Tandale huko uniambie mimi naekwenda DRC aisee..Tukiwambia vita si nzur haichagui utasikia no reform no election that is after Math ya vita inagusa kila engle ya kijamii pole zao
Ukristo na uislamu ni dini za hovyo sana. Zinaamrisha kuua wenzao.Dini hizi ndio ushetani wenyewe.
Warlike kwa kwa mtu kutetea Ardhi yake?Nazungumzia waislamu km Warllke People
Hata hao maustadh wa Tandika I doubt,Maistadh wa Tandika,Umurushaka, Kyaka,Mpiga Miti, ....wakiona mtu kavaa Kanzu na takbiri wanajua huyu ni mwenzao ...hata akiiba! Unakumbuka suala la Uwekazaji w DP jinsi ambavyo kuna Waislam walikiwa wanalilitetea kipumbavu!
Ndie mwasisi wa hii imani.Uislam ni mali halali ya shetani
Hivi kwa akili yako unadhani marekani hajui anachokifanya , au unategemea atume hela throigh bank transfer kwenda kwa boko haram???Kumbe hata huelewi unachoandika, na source zako za kubumba, hapo ni kuwa USAID walitoa msaada kwa waislam kwa ajili ya shule zao, kwa upumbavu wao wakazihamishia hizo hela kwenye shughuli za ugaidi, who is fool now?
Nimesha fatilia wote hao ni wapuuzi tu viongozi wao ndio wanajua wanakula maisha kwa namna gani ndio maana hata Osama tuliambiwa katupwa baharini , hii ni aina ya maigizo tuNenda youtube kasome na kutazama video inayosema "Interview with Alshababu"
itakuonesha maisha wanayoishi Alshababu katika kata waliyoiteka na kuishi wao wakiwa viongozi wa hiyo kata.
wanaishi kwa kufuata Qurani inavyo sema. Sawasawa na wanavyoishi BokoHaram
halafu uje unipe jibu humu.
Wakiuua wanasema allah akbar huku waki-quote verse za quranNaona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Mi nikiua huku nasema mpigania uhuruu inamaanisha wewe ni Gaidi?Wakiuua wanasema allah akbar huku waki-quote verse za quran
Kwanini wasema allah akbar na sio jina lingineMi nikiua huku nasema mpigania uhuruu inamaanisha wewe ni Gaidi?
Mwislamu anayeshabikia haya makundi ya kigaidi ni yule ambaye hajaisoma vizuri dini yake au kaisoma kupitia walimu ambao sio sahihiSiku wakiingia hapa Tanzania hutosikia CHADEMA wala CCM. Hakutakuwa na kidumu chama wala peeples, zitatawala Allah Akbar kila kona.
Sasa kama lengo lao wanataka waonekane kama ni waisilamu unategemea watatumia neno gani? Mbona vitu virahisi kabisa hivi kufikiria ila mnajitoa ufahamu?Kwanini wasema allah akbar na sio jina lingine
Kwanini watumie verse za quran na sio kitabu kingine kama biblia
Hao ni waislamu wapotevu ambao aidha wameufahamu uislamu na Aya za Quran vibaya au wanayo nia ya makusudi ya kuchafua dini ya uislamu kwamba ni dini inayofundisha kuua watu wasio na hatia.Kwanini wasema allah akbar na sio jina lingine
Kwanini watumie verse za quran na sio kitabu kingine kama biblia
Wako wengi sana inasemekana wanatokea UgandaIvi DRC napo kuna wanamgambo wa Islamic State kama Boko haram wa Nigeria 🇳🇬?
Huwa Najiuliza hawa waasi wanawashida vipi wanajeshi wa UN??
Asante kwa kufurahia vifo vya makafiri. Wewe muislam Shetani.Makafiri wameuana wanawasingizia Waislamu!