Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Mnataka wasingizia Islamic wakati wa congo wanasema majeshi ya congo na burundi 🇧🇮 ndio waliohusika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wsmefika 140Wakristo 70 wamepatikana wakiwa wamekatwa vichwa katika kanisa moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika shambulio la hivi punde dhidi ya waumini kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Kulingana na vyanzo vya habari, mnamo saa nne asubuhi Alhamisi iliyopita (13 Februari) washukiwa wa wanamgambo kutoka Allied Democratic Forces (ADF) - kikundi chenye uhusiano na kile kinachoitwa Islamic State (IS) - walikaribia nyumba za Mayba katika eneo la Lubero, wakisema: "Ondoka, toka nje na usipige kelele yoyote." Wanaume na wanawake ishirini wa Kikristo walitoka nje na kukamatwa.
Wakitikiswa na tukio hili, watu kutoka jamii ya eneo la Mayba baadaye walikusanyika ili kupanga jinsi ya kuwaachilia wale waliokuwa wamefungwa. Hata hivyo, wanamgambo wa ADF walikizingira kijiji hicho na kuwakamata waumini wengine 50.
Wote 70 waliotekwa nyara walipelekwa katika kanisa la Kiprotestanti huko Kasanga ambako waliuawa kwa kusikitisha.
===================================================
Seventy Christians have been found beheaded in a church in the Democratic Republic of Congo (DRC), in what’s the latest devastating attack on believers in the north east of the country.
According to field sources, at around 4am last Thursday (13 February) suspected militants from the Allied Democratic Forces (ADF) – a group with ties to so-called Islamic State (IS) – approached homes in Mayba in the territory of Lubero, saying: “Get out, get out and don’t make any noise.” Twenty Christian men and women came out and were captured.
Shaken by this incident, people from the local community in Mayba later gathered to work out how to release those held captive. However, ADF militants surrounded the village and captured a further 50 believers.
All 70 of those kidnapped were taken to a Protestant church in Kasanga where they were tragically killed.
Muhindo Musunzi, director of the Kombo primary school [which belongs to the CECA20 church], says that prior to this incident, churches, schools and health centres had all shut their doors because of the chaotic security situation. “We had to move all activities towards Vunying,” he said.
Field sources report that, until yesterday (Tuesday 18 February), some families had not been able to bury their dead because of insecurity in the area. Many Christians have now fled the area for their safety.
“We don’t know what to do or how to pray; we’ve had enough of massacres,” says an elder of the CECA20 church. “May God’s will alone be done.”
Source: Open Doors
Ukiangalia kiwango cha ukurupukaji, upotoshaji, chuki na halafu uelewa mdogo katika hii forum unaweza pata picha ya madhara yanayoweza kutokea iwapo litatokea kundi lenye nia ovu na nchi. Watu wanakariri na kuna vibendera kufata upepo na matusi chungu mbovu halafu wanasingia kuwa inasababishwa na kula ugali 😒Wanatafuta wa kumlaumu
Vikosi vyote kuna wafadhili wanaowapa silaha
Majirani wanatuma majeshi hawasemi majeshi ya kikristo yanapambana
Wameona pa kulaumu sasa
Wapambane na hali yao
Huu mtego wengi wameingia na matusi kama yote
Kuna watu wana chuki tu za kijinga bila kuelewa nini kinaendelea duniani.Ukiangalia kiwango cha ukurupukaji, upotoshaji, chuki na halafu uelewa mdogo katika hii forum unaweza pata picha ya madhara yanayoweza kutokea iwapo litatokea kundi lenye nia ovu na nchi. Watu wanakariri na kuna vibendera kufata upepo na matusi chungu mbovu halafu wanasingia kuwa inasababishwa na kula ugali 😒
Natumiaga msemo huu Mizwazwa ni mzigo kwa Taifa !!!! Embu Wasaidieni wasomaji wa jamii forum Kwaiyo kufa watu KANISANI waislamu wanausikaje!!!!Unatumia nguvu nyingi sana kuutetea uislamu.
Shida ya dini yako ni kutaka kuwa na mamlaka ya kisiasa na si vinginevyo!Hao wa Isis,Boko harama, Kibiti na wengineo ndoto yao ni kuutawala ulimwengu kupitia uislamu.Watafanya kila hila ili azma yao itimie.
Hivi unajua wazungu na jews wana plan za miaka mia mbele siyo kama wewe unaweka malengo ya hela ya kulaWakiuua wanasema allah akbar huku waki-quote verse za quran
Uchangiaji wa mada wa baadhi ya members utasema wanaishi mashimoni.Kuna watu wana chuki tu za kijinga bila kuelewa nini kinaendelea duniani.
Ila hawanipi shida hao kama hawaniambii usoni humu wengi wanaishi double life, ambayo ni mbaya sana
🤣🤣🤣🤣Uislam ni mali halali ya shetani
Sehemu yoyote Maslahi ya mabeberu yakiguswa fasta hao jamaa wanakuja.
![]()
Nigeria Aid Under U.S. Probe for Alleged Boko Haram Links
The U.S. government has initiated an investigation into the utilization of past aid allocated to Nigeria and other countries, following President Donald Trump's January 20, 2025, decision to suspend all foreign aid for 90 days. This suspension was prompted by concerns over global destabilization...allafrica.com
Uzuri wa nyie jamaa hamjawahi kukubali kuna waumini wenu waliopotoka.Naona islamophobe wa JF mnapapatia pa kukimbilia. Isis has nothing to do with Islam, kuna Mamia ya articles na ushahidi kuonesha wapo Funded na Usa na Israel, kama unataka kuwalaumu walaumu hao wanaowapa silaha na hela badala ya kutoa chuki zenu kwa Dini.
Na mbona waislam wanaviunga mkono sasa.Hivi vikundi
Vya kigaidi vipo kwa ajili ya kuharibu Taswira ya uislamu! Boko haramu,alshababu,islamic state ni mashetani tu
Yes ni kama Hamas walivogeuza fedha za msaada na kuzipeleka kwenye ugaidi na matokeo yake Gaza imekua magofu huku maelfu ya raia wasiokua na hatia wameangamia.Kumbe hata huelewi unachoandika, na source zako za kubumba, hapo ni kuwa USAID walitoa msaada kwa waislam kwa ajili ya shule zao, kwa upumbavu wao wakazihamishia hizo hela kwenye shughuli za ugaidi, who is fool now?
Yes kule kibiti na mkuranga walijaribu kuanzisha harakati zao za ugaidi ila serikali ilichukua hatua mara moja na kuwadhibitiPopote kwenye Udhaifu, ndo walipo Mujaheedina.
Kuna vita kibao vya Taliban, Hamas, Sudan vipo, Morocco na western Sahara, Hizbollah etc kote vinajulikana waisilamu wanapigana.Uzuri wa nyie jamaa hamjawahi kukubali kuna waumini wenu waliopotoka.
Kama kawaida lawama zote kwa John.
Mpaka hurumaUchangiaji wa mada wa baadhi ya members utasema wanaishi mashimoni.
Mkuu hebu tuwekee sources.Mnataka wasingizia Islamic wakati wa congo wanasema majeshi ya congo na burundi 🇧🇮 ndio waliohusika