Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mleta uzi pimbi sana...labda wakristo wa kijijini kwao ndo wanahuo mudaMbona haya umeyaleta wewe?
Nyie si mmejazana kwenye vitengo vya serikali, sasa unataka waislamu wafanye nini kama siyo kujikita ktk fani nyingine?Kwan ni uongo yanga na simba wamejaa Muslims, anzia akina gsm wote( hersi saidi, hasan bumbul, manara, omar,n.k)njoo, moo( try again, Barbara, Ahmed ali,kassim, rabi Hume,babchicharito,asha baraka n.k)
We ni mtu muongo sana, yaani wakristo wa wapi hao!? Sema ukiachana jezi nyeusi hizo jezi zenu ni mbovu hakuna mtu atalalamika aweke kwenye jezi mbovu hivyoNmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.
Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?
Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Kama wamefanya hivyo wamekosea sana tena sana kuweka picha za kidini kwenye jezi....ndiyo maana mimi nampinga hata aliye ruhusu wanafunzi kuvaa ijabu kwenye shule za serikali ...hizi dini sisi kizazi cha nyoka atuziwezi ...bali tukishupaza shingo kwa unafiki zitatufanya kitu kibaya kama taifa siku mojaNmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.
Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?
Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Nikweli kabisa nyuma ya haya mambo wapo WAISIHARAMU ambao wafanya juu chini kutuchafuria taifa kuna tofauti baina ya MUISIHARAMU NA MUISLAMUIyo haijafanyika bahati mbaya
Yanga na simba kwa muda mrefu zimekuwa religion oriented
Kuna nguvu kubwa ipo nyuma ya pazia inataka kubadilisha utamaduni wa nchi yetu
Hawa waarabu wa yanga wanatunza pesa za wanasiasa fulani wanaoiumiza nchi
Upuuzi wa dini hauna ila upuuzi wa kukosa vision ya mbali ndiyo ulionao ...ndiyo maana huoni madhara ya mambo kama hayo kwa taifaHahaha huyo mkristo anae lalamika kukosekana kwa kanisa ni chizi ..... Mm hata wangeweka kiarabu chao poa tu upuuuzi wa dini sina...
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app