Wakristo (baadhi) acheni Ulalamishi kuhusiana na Jersey za Yanga

Wakristo (baadhi) acheni Ulalamishi kuhusiana na Jersey za Yanga

Nmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.

Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?

Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Siku ile wanalipokea kombe si lilipokelewa kwa dua za mashehe wa kiislam?
 
...Kichwa habari umesema ' Wakristo walalamikia...wakati Aya kwanza ya bandiko lako Umeanza na ' Baadhi ya Wakristo.. '
Usichanganye Mambo. Baadhi ya Wakristo hauwezi ikawa Dini Nzima....!!
 
Japo mimi ni yanga lakini hiyo jearse imejaa makolokolo sasa msimu uliopita tuliwacheka simba sasa na sisi tumerudia kujaza makolokolo nguo

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Huo ni uzushi. Nje ya mada. Jezi ni za hovyo sana. Alitakiwa kushindanisha wabunifu na kuchagua iliyo bora. Inaonekana wamempa tu sheria hiyo tenda. Kwanza tenda ilitangazwa lini?
 
Nmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.

Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?

Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Toka zamani enzi za kina Mangara viongozi wa hivi vilabu walikuwa waisilamu na dua ndani ya vilabu ziliendeshwa kiisilamu ikiwa pamoja na majini kushirikishwa.
 
Wewe ni miongoni mwa wajinga, ukijielimisha kidogo utakaa sawa.

Wakristo wanapambana usiku na mchana kuurithi Ufalme wa Mbingu.

Leo tumekesha kwa Kiongozi Mwamposa kuusaka huo ufalme

We unahangaika na timu za mpira
Inaonekana hadi sasa hata hufahamu bado nani ni Wakristo.
 
Back
Top Bottom