Wakristo (baadhi) acheni Ulalamishi kuhusiana na Jersey za Yanga

Wakristo (baadhi) acheni Ulalamishi kuhusiana na Jersey za Yanga

Nmekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika kuwa inaonekana jersey za Yanga ni kwa baadhi ya Waumini wa Dini nyingine.

Maana upo unaosemakena kuwa ni Msikitiki wa Idrissa. Ila hakuna jengo lolote la Kanisa. Na hapa wanataka kuzungumzia Udini. Kuwa Yanga basi ina waumini wote wa Kiislamu maana kama mpaka mnara wa Askari upo ,msikiti upo. Why iwe ngumu kuweka Kanisa?

Anyway....mimi nadhani ni kuepuka tu hizi imani kuingia kwenye clubs maana mwisho wake hautakuwa mzuri. Nashauri sana haya mambo wakae wayamalize viongozi. Hatutaki Migogoro isiyo na msingi.
Moja kati ya mada za kidwanzi kwa mwaka huu wa 2022.

Angalia tu hata mwanzo wake! "Nimekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika.........."!!!!

Huwezi ukawa mtu mzima na akili zako timamu, ukaandika ujinga kama huu.
 
Moja kati ya mada za kidwanzi kwa mwaka huu wa 2022.

Angalia tu hata mwanzo wake! "Nimekuta baadhi ya Wakristo wanalalamika.........."!!!!

Huwezi ukawa mtu mzima na akili zako timamu, ukaandika ujinga kama huu.
Una kifafa cha mimba? Au kichaa cha mimba? Mbona povu limekutoka sana? Shida nini mamieee....? Anyway yataisha tu omba uzima.
 
Umeanza mashambulizi na matusi badala ya kutoa hoja?!!.--- hujui usemalo na Yehova akusamehe.

Kumbuka kwamba Sio kila kitu kinachofanyika kwa misingi ya dini ni lazima kiwe kimetokana na dini husika kwani vitu vingine hufanywa na waumini kwa makosa au kwa kutimiza tamaa za nafsi zao, mfano huko Ulaya kuna baadhi ya mashoga wanasema ushoga wao wameupata kupitia Injili na USHAHIDI wanautoa, pia kuna baadhi ya wanajeshi wa America walipokuwa kule Iraq, Afghanistan nk, walipokuwa wanauwa raia wasiokuwa na hatia huko walikuwa wakinukuu Biblia (Mathayo 10:34), sasa nikuulize hao jamaa walikuwa wakitekeleza Mafundisho ya Ukristo au walikuwa wakitekeleza tamaa za nafsi zao kwa mgongo wa Ukristo??!!, hivyo hivyo ningependa uangalie katika dini zote kwamba sio kila jambo lifanywalo na waumini huwa limetokana na mafundisho ya dini husika.
Ili kujua mafundisho sahihi ya dini husika yakupasa kwanza usome na uulize kwa wanaojua dini husika kabla hujaanza matusi na shutuma kwani matusi na shutuma ni vitendo vya Shetani.
Nimesoma, dini kubwa nne. Ukristo, Budha, uislam na juda. Najua slogan zao siongei Kwa kubahatisha. Kuna baadhi ya jumbe pia huwa zinaandikwa kwenye magari Kwa lugha mbali mbali pia huwa nazisoma na kuzielewa vema.
 
Nimesoma, dini kubwa nne. Ukristo, Budha, uislam na juda. Najua slogan zao siongei Kwa kubahatisha. Kuna baadhi ya jumbe pia huwa zinaandikwa kwenye magari Kwa lugha mbali mbali pia huwa nazisoma na kuzielewa vema.


Kweli Umesoma Uisilamu vyema??!!--- Uisilamu mafundisho yake kwanza yanapatikana katika Qur'an na pili yanapatikana katika sunna na Hadithi sahihi za mtume Muhammad (saw), haya kwa kuusoma uisilamu kupitia vyanzo hivyo unasemaje juu ya Uisilamu??!!
 
Kweli Umesoma Uisilamu vyema??!!--- Uisilamu mafundisho yake kwanza yanapatikana katika Qur'an na pili yanapatikana katika sunna na Hadithi sahihi za mtume Muhammad (saw), haya kwa kuusoma uisilamu kupitia vyanzo hivyo unasemaje juu ya Uisilamu??!!
Uislam ni uislam Kwa mitazamo ya waislamu. Ila uislam si uislam Kwa mitazamo ya wasio waislam. Kama ukielewa wewe ni mwerevu Sana.
 
Uislam ni uislam Kwa mitazamo ya waislamu. Ila uislam si uislam Kwa mitazamo ya wasio waislam. Kama ukielewa wewe ni mwerevu Sana.


Wewe unadai umezisoma dini kuu 4 za dunia ikiwemo Uisilamu, swali ni hili; kwa huo usomi wako umeuelewa vipi Uisilamu??!!

Hilo swali ninataka kujua kama kweli unauelewa vyema uisilamu kwani yawezekana umeusoma uisilamu kupitia waisilamu wasioujua uisilamu au umeusoma kupitia maadui wa Uisilamu ambao hawapendi kusikia kwamba Uisilamu ndio dini inayokuwa kwa kasi kubwa kuliko dini zote duniani.
 
Human nature is the same as animal nature, but human nature have to be forged so as to accomplish morals, where then do morals accomplishments come from??!!, if all human races had their own morals values, according to human nature, you would have seen different moral values in different races of the world, probably some races would term fornication, theft, killings etc to be their own morals , therefore universal morals are those which are forged and universally accepted throughout the world thus they must be derived from the single source viz God through religious teachings via prophets.

All morals comes from the single source, God.
see, unasema all morals comes from the single source God... ni kweli kabisa ila nakazia kwamba hauhitaji kuwa na dini to have morals, kama unafanya mambo mema ili uje kulipwa siku ya kihama na haufanyi mambo mabaya kwa kuogopa adhabu ya kaburi na kuchomwa moto basi hiyo ni hofu ndo maana unatii.Dini nyingi zimecreate fear.
 
Ka
Wewe unadai umezisoma dini kuu 4 za dunia ikiwemo Uisilamu, swali ni hili; kwa huo usomi wako umeuelewa vipi Uisilamu??!!

Hilo swali ninataka kujua kama kweli unauelewa vyema uisilamu kwani yawezekana umeusoma uisilamu kupitia waisilamu wasioujua uisilamu au umeusoma kupitia maadui wa Uisilamu ambao hawapendi kusikia kwamba Uisilamu ndio dini inayokuwa kwa kasi kubwa kuliko dini zote duniani.
Kama kukua Kwa kasi ndio kipimo ni sahihi kabisaaa. Maana hata ushoga unakua Kwa kasi, mmomonyoko wa maadili unakua Kwa kasi, ugaidi unakua Kwa kasi, ubadhilifu unakua Kwa kasi, kuvujisha mitihani kunakua Kwa kasi, makosa ya kijinai yanaongezeka pia. Na wenyewe uache tu.
 
Mmbunifu wa jezi ya Yanga ni mkristo, ingekuwa vzr umuulize yeye kwanini hakuweka kanisa, lakini ktk uchochezi wako huu nikukumbushe tu kuwa kanisa siyo jengo ni neno.
 
K
Iyo haijafanyika bahati mbaya
Yanga na simba kwa muda mrefu zimekuwa religion oriented

Kuna nguvu kubwa ipo nyuma ya pazia inataka kubadilisha utamaduni wa nchi yetu

Hawa waarabu wa yanga wanatunza pesa za wanasiasa fulani wanaoiumiza nchi
Klabu zote kubwa zinafadhiliwa na Waislamu bila ubaguzi Punguza mihemko isiyo ya lazima
 
Nadhani Kama Kuna viashiria vya ubaguzi hiyo jezi itasitishwa, kwani wapenzi wa timu hiyo ni zaidi ya jezi zinazotengenezwa kila mwaka!
 
Ka

Kama kukua Kwa kasi ndio kipimo ni sahihi kabisaaa. Maana hata ushoga unakua Kwa kasi, mmomonyoko wa maadili unakua Kwa kasi, ugaidi unakua Kwa kasi, ubadhilifu unakua Kwa kasi, kuvujisha mitihani kunakua Kwa kasi, makosa ya kijinai yanaongezeka pia. Na wenyewe uache tu.


Hivi huwa unasoma kinachoandikwa na kuelewa au unapita tu??!!

Nani kasema kwamba kukukua kwa kasi kwa uisilamu duniani ndio kipimo sahihi (cha ukweli wa Uisilamu)??!!---- mimi nimesema watu hasa wasiokuwa waisilamu WANACHUKIA WANAPOSIKIA KWAMBA UISILAMU NDIO DINI INAYOKUWA KWA KASI KULIKO DINI ZOTE. umeelewa??.

Kama unata tuweke mada ya ubora wa dini sema.
 
Waambie hao waingie kwenye huo msikiti uliopo kwenye hiyo jezi waswali rakaa mbili Kwanza, afu ndio tuendelee na mujaddala
 
see, unasema all morals comes from the single source God... ni kweli kabisa ila nakazia kwamba hauhitaji kuwa na dini to have morals, kama unafanya mambo mema ili uje kulipwa siku ya kihama na haufanyi mambo mabaya kwa kuogopa adhabu ya kaburi na kuchomwa moto basi hiyo ni hofu ndo maana unatii.Dini nyingi zimecreate fear.


Mimi sijasema mtu anahitaji dini ili ajue Morals ninachosema ni kwamba Morals zote hata zile zinazotekelezwa na wasiokuwa na dini zimetoka kwa Mungu kupitia dini, swali ni hili mwanadamu amejuaje kwamba zinaa, wizi, uongo, uuaji, ushoga , Rushwa nk, ni makosa??!!, ni kupitia dini na manabii ndio tumejua universally kwamba mambo hayo ni uovu na hata serikali zetu nyingi zimetunga sheria dhidi ya mambo hayo kwa neno zima ni kwamba sheria za kidunia (secular laws) zinao msingi kutoka katika religious morals.

Watu wa nabii Luti walikuwa mashoga na Luti (as) alitumwa na Mungu kuwakataza uchafu huo kama Luti asingalitumwa basi watu hao wangaliona ushoga ni jambo la kawaida na ingalikuwa ni utamaduni wao na hata sisi leo tusingaliweza kujua kwamba ushoga ni kitu kichafu.

Kuhusu kushika morals za dini kutokana na uoga ni hivi; Kulingana na Qur'an Mungu anatoa nasaha kwa watu katika njia mbili, ya kwanza ni njia kuonyesha afhabu na njia ya pili ni njia ya kuonyesha faraja, njia zote hizo zinaweza kumjenga mtu Morally, mfano wewe unapokuwa unamlea mwanao sio siku zote utampa faraja kuna wakati inabidi uwe mkali ili akuelewe.na aeleke, mfano unaweza kumpa faraja kwamba akifauku mtihani shuleni utamnunulia baiskeli hii ni kumfanya afanye bidii na masomo na kuna wakati mwingine anapokuwa haelekei faraja hapo haitafaa kitu hapo sasa unaingiza ukali kwamba asipofaulu mtihani utamcharaza viboko, hizo njia ni kwa ajili ya kumjenga na hivyohivyo sisi binadamu tumeiga hiyo staili ya Mungu katika mambo yetu mengi, kumbuka kwamba binadamu anashika mazingatio ya wema kwa njia ya hofu na faraja.
 
Hivi huwa unasoma kinachoandikwa na kuelewa au unapita tu??!!

Nani kasema kwamba kukukua kwa kasi kwa uisilamu duniani ndio kipimo sahihi (cha ukweli wa Uisilamu)??!!---- mimi nimesema watu hasa wasiokuwa waisilamu WANACHUKIA WANAPOSIKIA KWAMBA UISILAMU NDIO DINI INAYOKUWA KWA KADI KULIKO DINI ZOTE. umeelewa??.

Kama unata tuweke mada ya ubora wa dini sema.
Ni Kama umefungiwa kwenye box la dini hivi, je huwezi kuwazq zaidi Kwa manufaa ya watanzania wote? Mimi Nina dini yangu ninayoiamini, lakini ninawaza Kwa ajili ya JMT. Na sipendi mtu apofanya Jambo Kwa maslahi ya watu wa dini yake tu. Ukiangalia Sana wenye dini sisi ndio tunaoliharibu taifa. Kuna wakati naona ni heri wote tungekuwa hatuna dini labda umoja wa kitaifa ungekuwa imara zaidi. Dini za kigeni wazungu, waarabu, wabudha na nyinginezo zinatugawa na kuharibu umoja wa taifa. KAMA ningekuwa na mamlaka ningeanzisha dini ya WATANZANIA KAMA ilivyo Kwa lugha ya Kiswahili. Uwe na amani ndugu nilitaka kukupa chalenji tu. Ubarikiwe Sana. Mimi na wewe ni marafiki Wala si vinginevyo
 
Wasomi mafisadi
Kwani huko kwenye mpira hakuna mafisadi? Si kila siku wanagombanaga huko! Unajua mwenzio akiwa na nacho hata kama ni halali utajua kaiba, kumbe sio alipiga umande wakati wengine wapo kwenye kubet[emoji23][emoji23][emoji23] aise mie simo humo hiyo jezi wenyewe chafu utazani mti wa mwarobaini
 
Back
Top Bottom