Memtata
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 587
- 1,863
Kumbe na Wakristo mna haya mambo ya kulalamika kama wavaa kobazi 🤣Iyo haijafanyika bahati mbaya
Yanga na simba kwa muda mrefu zimekuwa religion oriented
Kuna nguvu kubwa ipo nyuma ya pazia inataka kubadilisha utamaduni wa nchi yetu
Hawa waarabu wa yanga wanatunza pesa za wanasiasa fulani wanaoiumiza nchi